Uchaguzi 2020 Kumekucha Arusha Mjini: Kura za maoni za ubunge moto wawaka, Lema aibuka kidedea dhidi ya Bananga

Uchaguzi 2020 Kumekucha Arusha Mjini: Kura za maoni za ubunge moto wawaka, Lema aibuka kidedea dhidi ya Bananga

Lema hamna kitu kafanya Arusha zaidi ya kuota ilendoto kwamba prezidaa atakufa!! as if yeye hatokufa ndomana wanamwita nabii Tito!!
Safari hii hanachake bang zinampaga mihemuko sana huyu chalii

Sio kwa kura, labda kwa maagizo ya rais.
 
Aisee nampenda Lema.. ila ikipendeza amuachie Binamu Bananga

Kama mkazi niliyozaliwa Arusha, napenda kuona kuna mabadiliko fulani ya kuachiana vijiti, mimi sio muumini wa 'umimi', nadhani ni wakati Lema akamuachia Bananga, Lema apumzike tu kama Mnyika.

Mchuano wa Binamu Bananga (CHADEMA) na Mrisho Gambo (CCM) utatupatia watu bora sana kwa Arusha maana wote nimewapima kwa mizani yangu, ni viongozi wanaofaa, wana mitizamo fulani ya kimaendeleo na kupiga hatua.

Arusha msifanye makosa CHADEMA na CCM ni either Bananga au Mrisho Gambo
Sawa kabisa, na upo sahihi

Akibaki LEMA kwakweli ataipa picha mbaya sana CHADEMA kwasababu wananchi wengi hata wa Chadema wanalalamikia baadhi ya mambo mengi kuhusu Lema. Sina sababu ya kuyataja

Ila, akigombea Lema, CHADEMA itakuwa katika hali mbaya, Trust my words.
 
Ukitoka kwenye mwanga ukaingia kwenye giza tegemea vitu vyenye ncha kali. Ukija kwa ustaarabu utapata mrejesho wa kistaarabu fustop.
Kwahiyo kumuulizia mukya, nimekua siyo mstaarabu?
 
Sawa kabisa, na upo sahihi

Akibaki LEMA kwakweli ataipa picha mbaya sana CHADEMA kwasababu wananchi wengi hata wa Chadema wanalalamikia baadhi ya mambo mengi kuhusu Lema. Sina sababu ya kuyataja

Ila, akigombea Lema, CHADEMA itakuwa katika hali mbaya, Trust my words.

Ni kweli kabisa cdm inaweza kuwa katika hali mbaya, ila sio kwa sababu unazozisema ww. Mimi sio muumini wa kiongozi kukaa madarakani zaidi ya miaka kumi, lakini hao watu toka ccm wameshachafua sana hali ya hewa kwa kwenda kuunga juhudi.
 
Hizo barabara zote madiwani na mbunge ndio waliomba mkopo ADB wakajenga vituo vya afya,miaka yote toka enzi ya batilda,mrema hela ilikua inatafunwa tu
barabara zipi? taja barabara
vituo vya afya vipi ...taja vituo hivyo vya afya

na habari bila udhibitisho sio habari bali ni porojo..naomba uweke link hapa kua adb waliwapa mkopo madiwani na mbunge kujenga barabara na vituo vya afya
 
Aisee nampenda Lema.. ila ikipendeza amuachie Binamu Bananga

Kama mkazi niliyozaliwa Arusha, napenda kuona kuna mabadiliko fulani ya kuachiana vijiti, mimi sio muumini wa 'umimi', nadhani ni wakati Lema akamuachia Bananga, Lema apumzike tu kama Mnyika.

Mchuano wa Binamu Bananga (CHADEMA) na Mrisho Gambo (CCM) utatupatia watu bora sana kwa Arusha maana wote nimewapima kwa mizani yangu, ni viongozi wanaofaa, wana mitizamo fulani ya kimaendeleo na kupiga hatua.

Arusha msifanye makosa CHADEMA na CCM ni either Bananga au Mrisho Gambo
Kuachiana? Dah! Akili zetu hizi
 
Back
Top Bottom