Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
View attachment 1510150
View attachment 1510151
Mwitikio si haba kama mnavyojionea wenyewe .
UPDATES: View attachment 1510291
Japo mimi sio muumini wa kiongozi kukaa madarakani za ya miaka kumi, lakini huyo Bananga ni wale waunga juhudi. Kama Lema atafanikiwa kuwa mbunge kipindi hiki, atangaze kutogombea tena baada ya miaka 15.