The Wolf
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,412
- 20,685
Bananga mtupu kwenye siasa?utakuwa haumfahamu vizuriBananga ni msando
Wawili hawa wanajua wanachokifanya
Bananga ni mtupu sana kwenye siasa
Hana na tofauti na waunga juhudi
Lema ni bora zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bananga mtupu kwenye siasa?utakuwa haumfahamu vizuriBananga ni msando
Wawili hawa wanajua wanachokifanya
Bananga ni mtupu sana kwenye siasa
Hana na tofauti na waunga juhudi
Lema ni bora zaidi
Kazi imekwishaKushindana na lema kunahitaji akili sana ....twende na lema wanacdm
We mtoto uwe unatulia tu, huu mchezo ni zaidi ya hisia zako.Tunatambaaa na Banangaaaa
Huku chamani hawamtaki ni mjivuni anaona yeye ndio kaibeba ccm ar,double kola ndio mhongaji wake ila bashiru na timu yake watammaliza,muda ni ukutaMkikosea kumpa Lema, Gambo anapita bila kupingwa
Hahahaaaaa....Arusha tunasubiri mtupe raha bana .....Twende na Kamanda Bananga ....
Hope umeshayapata....!!!Tunasubiri matokeo .....
Ngumi za nini wakati mtu anapigwa round ya kwanza kwa TKO!!Leo Arusha ngumi zisipowaka sijui ...[emoji41][emoji41]
Ccm wajipange kwa tahadhari kabisa kumuangusha lema kunahitaji kitu cha kitofauti lakini sio kina gambo,wala huyu tajiri wa unga anamfaham vizuri lemaKazi imekwisha
Wewe ni shabiki mandazi tu wa Bananga, rudini ile bar yenu mkanywe bia zenu na kina Msando, msichezee watu akili.Lema wananchi wanamchukulia kama msaliti hivi ...Alafu Bananga kajijenga sana ....
sio kumchukulia, yeye ni msaliti na zaidi hajafanya chochote arusha, nothing,hakuna, nasikia lema amepitishwa hapa sasa ni dhahiri shahiri kua tunaweza kusema karibu ccm arusha na rest in peace chadema.Lema wananchi wanamchukulia kama msaliti hivi ...Alafu Bananga kajijenga sana ....
Umesahau mke wake ni mbunge wa viti maalum chadema na m/mwenyekiti sijui wa nn sijui wa wanawake msaidizi wa halima mdee kwa hiyo ni ngumu kuhama hata akipigwa chini kwenye kura za maoni hawezi kuhama asilaniI think hakwenda sababu,alitaka amalizie Udiwani wake then ajaribu Ubunge,etc...
Na pia waunga juhudi madiwani walikua wanapewa dau kidogo,akipiga hesabu ya remaining time na hela atakayolipwa baada ya kustaafu udiwani na salio analopewa now na CCM,it doesnt make sense to him.
That nigga is a snake of some kind....
Sina ushahidi,ila mimi binafsi kwa machale yangu,najitahidi sana nimuamini ila sijafika 100% aisee!
I dont know why!
Hongera sana Mh. Lema, inadhihirisha wana Arusha bado wana Imani kubwa kwako. Ama hakika chema na chajiuza kibaya chajitembeza.View attachment 1510150
View attachment 1510151
Mwitikio si haba kama mnavyojionea wenyewe .
UPDATES: View attachment 1510291
Nobody!Who's Chadema?
Rilaxx man, haka kamchezo huwa hakataki hasira, kunywa maji mengi utulie.sio kumchukulia, yeye ni msaliti na zaidi hajafanya chochote arusha, nothing,hakuna, nasikia lema amepitishwa hapa sasa ni dhahiri shahiri kua tunaweza kusema karibu ccm arusha na rest in peace chadema.
Bananga 10%...Lema tena
Jimbo liko salama mikononi mwa Chadema hili.Bananga 10%...
Chadema bwana,watu wake ni watu fulani hivi very smart,wanajua kutambua jitu nafiki!
Bananga kala kokoto!
Kesho utasikia limehamia CCM kwa mshika kichwa wake snake motherfvcker Msando!
These are a bunch of losers!
Msando kura za maoni huko CCM hatapata zaidi ya 1%....
Manafiki ni manafiki...
Fvck em!