Uchaguzi 2020 Kumekucha Arusha Mjini: Kura za maoni za ubunge moto wawaka, Lema aibuka kidedea dhidi ya Bananga

Lema wananchi wanamchukulia kama msaliti hivi ...Alafu Bananga kajijenga sana ....
sio kumchukulia, yeye ni msaliti na zaidi hajafanya chochote arusha, nothing,hakuna, nasikia lema amepitishwa hapa sasa ni dhahiri shahiri kua tunaweza kusema karibu ccm arusha na rest in peace chadema.
 
Hata kama Bananga angemshinda Lema kwenye hizo kura uhakika ni kwamba angepigwa pin na Makao Makuu.
 
Umesahau mke wake ni mbunge wa viti maalum chadema na m/mwenyekiti sijui wa nn sijui wa wanawake msaidizi wa halima mdee kwa hiyo ni ngumu kuhama hata akipigwa chini kwenye kura za maoni hawezi kuhama asilani
 
sio kumchukulia, yeye ni msaliti na zaidi hajafanya chochote arusha, nothing,hakuna, nasikia lema amepitishwa hapa sasa ni dhahiri shahiri kua tunaweza kusema karibu ccm arusha na rest in peace chadema.
Rilaxx man, haka kamchezo huwa hakataki hasira, kunywa maji mengi utulie.

Halafu jaribu kuuliza watu wakufundishe nini maana ya msaliti.
 
Lema tena
Bananga 10%...

Chadema bwana,watu wake ni watu fulani hivi very smart,wanajua kutambua jitu nafiki!

Bananga kala kokoto!

Kesho utasikia limehamia CCM kwa mshika kichwa wake snake motherfvcker Msando!

These are a bunch of losers!

Msando kura za maoni huko CCM hatapata zaidi ya 1%....

Manafiki ni manafiki...

Fvck em!
 
Jimbo liko salama mikononi mwa Chadema hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…