Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lema hamna kitu kafanya Arusha zaidi ya kuota ilendoto kwamba prezidaa atakufa!! as if yeye hatokufa ndomana wanamwita nabii Tito!!
Safari hii hanachake bang zinampaga mihemuko sana huyu chalii
Wanalipa halmashauri ya arusha mkopo,barabara za nhc makao mapya,njiro atomic,uswahilini mpka kwa mrombo...ulifikiria zimejengwa na gambo ungekua unasoma vibao wakati zinajengwa ungejua mfadhili ni nanibarabara zipi? taja barabara
vituo vya afya vipi ...taja vituo hivyo vya afya
na habari bila udhibitisho sio habari bali ni porojo..naomba uweke link hapa kua adb waliwapa mkopo madiwani na mbunge kujenga barabara na vituo vya afya
Mleta mada kaleta bango linaeleza kabisa kuhusu kura za maoni za mbunge wa Jimbo na Viti Maalum. Navyojua Mimi mbunge wa Jimbo ambae anatetea kiti chake ni Lema na Viti Maalum ni Joyce Mukya. Sasa, maelezo ya humu yote yanaelezea kuhusu Lema na Bananga. Mimi nikaona siyo vibaya nikajua pia kuhusu Mukya kama anatetea nayeye kiti chake. Sasa hiyo nayo ni kejeli au ni ufahamu tu.Kejeli zinaeleweka boss, labda kama unadhani unaongea na watoto.
Mleta mada kaleta bango linaeleza kabisa kuhusu kura za maoni za mbunge wa Jimbo na Viti Maalum. Navyojua Mimi mbunge wa Jimbo ambae anatetea kiti chake ni Lema na Viti Maalum ni Joyce Mukya. Sasa, maelezo ya humu yote yanaelezea kuhusu Lema na Bananga. Mimi nikaona siyo vibaya nikajua pia kuhusu Mukya kama anatetea nayeye kiti chake. Sasa hiyo nayo ni kejeli au ni ufahamu tu.
As well against your lunatic motherBananga is a best for everythings against Idiot Lema.
Kama anavyojifurahisha babako magogonWanajifurahisha wote hao
We bad boy killaz killaz killazBananga 10%...
Chadema bwana,watu wake ni watu fulani hivi very smart,wanajua kutambua jitu nafiki!
Bananga kala kokoto!
Kesho utasikia limehamia CCM kwa mshika kichwa wake snake motherfvcker Msando!
These are a bunch of losers!
Msando kura za maoni huko CCM hatapata zaidi ya 1%....
Manafiki ni manafiki...
Fvck em!
Braza nakupenda sana siasa zako ni nzuri na hazina vurugu ... wewe ni CCM naekupenda mnooTunatambaaa na Banangaaaa
Sawa Mkuu nimekuelewa. Lakini yote haya aliyeniponza ni DJ.Hebu kaa kwa kutulia tafadhali.
Tusubiri Bananga ata rudi home au ana roho ngumu. Diwani wanguBraza nakupenda sana siasa zako ni nzuri na hazina vurugu ... wewe ni CCM naekupenda mnoo
Anayerest in peace ni wew na machoko yote yaliyoko ccmrest in peace chadema na wahuni wote kama wewe mnasapoti wahuni wenzenu hamna lenu mmekwishaaaaa kwishaaaa habari yenu