Kumekucha: Baraza la Mawaziri kivuli - Mbatia out

Wafuta miguu wa mwenyekiti unasikia misemo yao eti yupo SMART.

Alafu kesho watakuja kusifu uSMART wa mandela.



Roho ya visasi imewajaa si Ccm si Chadema hata wapiga kura ndo mana wana shindwa wamuamini nani.


#Bravo_mkuu.

 
Hapana, hii ni political message. Hii ni siasa, alichofanya KUB ni sahihi kabisa.

Pia. Kubwa zaidi, amemnyima Mbatia nafasi ya kutumia platform ya upinzani wakati wa kusoma hotuba mbadala ya upinzani katika bajeti hii ya mwisho. Angeitumia kuwafurahisha CCM kwa kufanya kazi waliyomtuma, kwa gharama za upinzani. Hotuba yake ingeshangiliwa sana na kusemwa ndio ya kuigwa na wapinzani. Mbowe sio zuzu kiasi hicho.
 
Mbatia kapigwa chini kwenye teuzi hahahaa
 
Hapo wamecheza mcheza nne wa hatari zaidi kwa upande wao,wametoa nafasi nzuri kwa CCM kuendelea kushinda,maana Chedema wakigomea chochote CUF,NCCRA,TLP watakubali.
Wapinzania sijui kuna pepo gani linawaandama.
 
Hao alowachukua Magufuli siyo wapinzani, bali ni wachumba tumbo. Wanapiga kulingana na matakwa ya anayewadhamini au kuwalipa. Lakini moyoni hawana sera zaidi ya tumbo.

Eehee! Kwaiyo Magufuli ana uvumilivu wa kisiasa? wangapi wametimuliwa kwa kutoa ushauri kinyume na matakwa yake?

Anawavumilia wapinzani ambao wapo kisheria? Hata kukutana nao tu hataki
 
Hata kama ungelikuwa wewe bondia ungeingia ulingoni kupigana wakati referee kakushikilia ili mpinzani wako akupige vizuri ?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…