Kumekucha: Baraza la Mawaziri kivuli - Mbatia out

Kumekucha: Baraza la Mawaziri kivuli - Mbatia out

Mkuu Tindo, that is selfishness!.
Politics is a science, political science, nimewashauri Chadema wafanye SWOT na PEST ya wabunge wao wote. Matokeo yakionyesha mfano Lema anakubalika Arusha as Lema, Selasini Rombo as Selasini, Sugu Mbeya as Sugu, Prof. J Mikumi as J wa Mitulinga, hawa jamaa watachaguliwa tena vyama vyovyote watakavyo simama. Hivyo wakihama Chadema, Chadema ikubali ikatae itapoteza jimbo hilo. Wakihamia CCM, then Chadema isimamishe watu kuwapinga, lakini wakihamia NCCR, then Chadema usisimamishe mtu, maana ikisimamisha, hii itakuwa ni vita vya panzi, furaha kwa kunguru, kura za opposition zita split na wote watakosa na CCM kuibuka mshindi kwa kura chache kama ameokota dodo chini ya muembe.

Ni bora warejee Bungeni as NCCR kuliko kukosa wote na CCM kutwaa viti vyote. Hata kama Chadema na NCCR hawapikiki chungu kimoja, lazima wafanya political managing Diversity zao and work together against a common enemy.
Kwa hapo ilipo Chadema is already done, the only way out kwa Chadema to keep existing is towards working together, otherwise Chadema will perish na opposition Tanzania will perish, Bunge lijalo kwa huku bara litakuwa ni Bunge la CCM and CCM only!.
P
Kuliko kuwa na bunge la "opposition" NCCR, bora kujipanga tuanze upya 2025, Magufuli atapita, upinzani halisi utarejea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siasa za Tanzania kichekesho sana.
Si upinzani wala CCM ni vituko tupu.

Sasa bunge lenyewe ni la mwisho kabla ya serikali mpya, hao mawaziri vivuli wapya watakao ziba nafasi hizi watafanya nini?
Na wa zamani waliotemwa wangekuwa na athari gani?

Kuna wakati unatakiwa kuwaacha watu kama hao na kutumia nafsi hiyo kujiimarisha kisiasa kwa kujisifu majukwaani hawa walitutendea ubaya huu lakini kwa vile sisi wakomavu wa kisiasa na sio watu wa visasi tumewaacha kwenye nafasi hizi ingiwa sababu na uwezo wa kuwatosa kama kisasi tulikuwa nao.

Mambo madogo kama haya ya uvumilivu ndiyo yana kuwezesha kuvuna pointi muhimu kwenye siasa, hasa kwenye masanduku ya kura.
You can act like you live what you preach.

Wapiga kura ni watu wa ajabu sana, wanaweza kukupa kura sababu umewataja kwa majina angalau watu wawili tu wa kawaida wa eneo lao, au umewapa msamaha watu waliokutendea ubaya.

Huenda sipo sahihi kabisa katika hili, ngoja niamini KUB yupo sahihi.
Hakuna uhakika wa 100% wa uwepo wa uchaguzi Octoba 2020 kama hali ya maambukizi ya CORONA itazidi
 
Naunga mkono hoja, Chadema pekee yao hawawezi na haitakuja kutokea wakaweza!. Sisi Tanzania tuna tatizo kubwa la kitu kinachoitwa "Managing The Political Diversity" from both parties, CCM na Wapinzani, hadi ndani ya mihimili Bunge, Serikali na Mahakama.

Kwa muda uliobakia, hata kama Chadema inajua NCCR imenunuliwa na CCM, hivyo itajitenga nao, na Wabunge wote wa CUF wanasubiria tuu Bunge livunjwe watur rasmi ACT Wazalendo, Chadema walipaswa wawavumilie tuu, sometimes its good kumvumilia adui yako ili usiwaudhi wale waliokuja kwako kwasababu ya huyo adui yako. Kura milioni 6 za Lowassa ile 2015 sio za wana Chadema pekee.

Kosa kubwa la Chadema kuelekea 2020 ni kujidhania kwenye kambi ya upinzani, Chadema bado ni determinant, it's not!. Kuendelea 2020, Chadema is a dying horse, hivyo kitendo kama hiki cha kuihodhi kambi rasmi ya upinzani Bungeni, it's like a final kick of a dying horse.

Ili upinzani uweze kuvuna mavuno yoyote ya maana 2020 kwanza lazima Chadema wakubali kugawana himaya yake kwa kukubali ku share na vyama vingine vya upinzani.

Kabla ya Bunge kuvunjwa, Chadema ambacho kwa sasa ndio chama kikuu cha upinzani, kifanye SWOT na PEST analysis kwa Wabunge wake wote, matokeo ya analysis hiyo yakionyesha Mbunge huyu anachaguliwa kama mtu na sio chama, then Chadema ikubali matokeo, wabunge wote wa Chadema watakaojiunga CCM, Chadema ijihesabu hayo majimbo yamepotea unless wana CCM wenyewe ndio waipigie Chadema kura za chuki kutokubali wapinzani waja leo na kusimamishwa kugombea CCM.

Pili wabunge wote wa Chadema watakao hamia vyama vingine, Chadema ikubali to share them na wapinzani wengine kwa kutosimamisha wagombea wengine ili kila jimbo na kila kata mgombea wa CCM apambane na mpinzani mmoja tuu. Ikitokea jimbo lilikuwa Chadema kama Moshi Vijijini na Rombo, wabunge wake wwkahamia NCCR Mageuzi, Chadema ikubali matokeo. Ikisimamisha wagombea wapya, hii itakuwa ni vita vya panzi, furaha ya kunguru, wapinzani wata split kura zao, CCM atayatwaa majimbo ya upinzani kama ameokota dodo chini ya muembe.

Upinzani pamoja na tofauti zao za ndani, lazima wavumiliane by managing diversity kwa kushirikiana hivyo hivyo pamoja na tofauti zao, wasimame united and stand as one against a common enemy, vinginevyo kwa huku bara, tunarudi kuwa nchi ya chama kimoja CCM only and only CCM!.
P
Pascal,umetoa point nzuri na pia tuangalie upande mwingine mpaka hili linafanyika yawezekana hao mawaziri vivuli wa vyama vingine kwa uzembe,au kwa maelekezo hawajaandaa budget mbadala.je ungekuwa wewe ndio KUB ungefanyaje ?
 
Siasa za Tanzania kichekesho sana.
Si upinzani wala CCM ni vituko tupu.

Sasa bunge lenyewe ni la mwisho kabla ya serikali mpya, hao mawaziri vivuli wapya watakao ziba nafasi hizi watafanya nini?
Na wa zamani waliotemwa wangekuwa na athari gani?

Kuna wakati unatakiwa kuwaacha watu kama hao na kutumia nafsi hiyo kujiimarisha kisiasa kwa kujisifu majukwaani hawa walitutendea ubaya huu lakini kwa vile sisi wakomavu wa kisiasa na sio watu wa visasi tumewaacha kwenye nafasi hizi ingiwa sababu na uwezo wa kuwatosa kama kisasi tulikuwa nao.

Mambo madogo kama haya ya uvumilivu ndiyo yana kuwezesha kuvuna pointi muhimu kwenye siasa, hasa kwenye masanduku ya kura.
You can act like you live what you preach.

Wapiga kura ni watu wa ajabu sana, wanaweza kukupa kura sababu umewataja kwa majina angalau watu wawili tu wa kawaida wa eneo lao, au umewapa msamaha watu waliokutendea ubaya.

Huenda sipo sahihi kabisa katika hili, ngoja niamini KUB yupo sahihi.

Mbowe anaendeshwa na mihemko, hisia na wapambe.

CDM inaporomoka, bado wanamsifia

nyakati zaja ambazo atakuwa 'joker'
 
Na huu ndio ukweli mchungu ambao huwez kuta unajadiliwa kwa uwazi na chombo chochote cha habar hapa bongo.
Wakati mwingine Mazingira na yana ashiria Na kuonesha kitu katika uhalisia wake, Na kisheria ushahidi wa kimazingira unaweza kumtia mtu hatiani na akahukumiwa hata kifo.
katika suala la T.A.L kuna vielelezo vingi vya mazingira ya kuwaficha hao wasiojulikana. kiasi ambacho Lamri zote zinaonesha hao watu ni washirika wa Team wafuga chatu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu upuuzi wa pasco eti 'managing diversity', juzi ccm wamemtimua Membe na kuwakaripia wazee sikuona Uzi wa pasco kuishauri ccm management of diversity

Mkuu P unachemka
Mkuu Mliberali, tunaweza kujadiliana kwa hoja bila kutukanana.
Hili somo la managing Diversity sikulianza leo.
Kwa Membe nimelisema
Membe, Japo Umeonewa, Usifanye Kosa la Lowassa!, Ila CCM ya Ajabu!, Uamuzi based on Illegal Evidence ni Void Ab Initial!. - JamiiForums

Na kabla ya hapo pia nimelisema
Rais Magufuli, somo la managing diversity kwa Serikali yako linahitajika - JamiiForums
P
 
Pascal,umetoa point nzuri na pia tuangalie upande mwingine mpaka hili linafanyika yawezekana hao mawaziri vivuli wa vyama vingine kwa uzembe,au kwa maelekezo hawajaandaa budget mbadala.je ungekuwa wewe ndio KUB ungefanyaje ?
Wewe ni baba, hao ni watoto wako, wakikuny.a mkono hauukati, unausafisha na kuendelea kumbeba mtoto, kama hawaja andaa unawaandalia na sio kuwatumbua.
P
 
Mkuu Tindo, that is selfishness!.
Politics is a science, political science, nimewashauri Chadema wafanye SWOT na PEST ya wabunge wao wote. Matokeo yakionyesha mfano Lema anakubalika Arusha as Lema, Selasini Rombo as Selasini, Sugu Mbeya as Sugu, Prof. J Mikumi as J wa Mitulinga, hawa jamaa watachaguliwa tena vyama vyovyote watakavyo simama. Hivyo wakihama Chadema, Chadema ikubali ikatae itapoteza jimbo hilo. Wakihamia CCM, then Chadema isimamishe watu kuwapinga, lakini wakihamia NCCR, then Chadema usisimamishe mtu, maana ikisimamisha, hii itakuwa ni vita vya panzi, furaha kwa kunguru, kura za opposition zita split na wote watakosa na CCM kuibuka mshindi kwa kura chache kama ameokota dodo chini ya muembe.

Ni bora warejee Bungeni as NCCR kuliko kukosa wote na CCM kutwaa viti vyote. Hata kama Chadema na NCCR hawapikiki chungu kimoja, lazima wafanya political managing Diversity zao and work together against a common enemy.
Kwa hapo ilipo Chadema is already done, the only way out kwa Chadema to keep existing is towards working together, otherwise Chadema will perish na opposition Tanzania will perish, Bunge lijalo kwa huku bara litakuwa ni Bunge la CCM and CCM only!.
P

Twende taratibu ili unapotoa ushauri usitoe ili ionekane umetoa ushauri, huku ushauri wako ukiwa unafumbia macho ukweli. NCCR ni sehemu ya Ukawa, na sasa bunge linaenda kufikia mwisho. Common enemy wa Ukawa ni ccm. Iweje Mbatia akutane na Magufuli, halafu ndani ya masaa 24 aanze kupewa favour ambazo hakupewa huko nyuma na serekali, kisha sehemu ya siasa zake aanze na madiwani waliotoka cdm? Ngoja nikupe mfano mzuri, ww na jirani yako mnadai shamba, kimsingi hilo shamba kila mtu anaweza kulipata kivyake, lakini mazingira yanaonyesha mnaweza kulipata kirahisi iwapo mtalidai mkiwa pamoja. Wakati mkiendelea kulidai shamba, ghafla unaona jirani yako anakutana na mnayemdai shamba, halafu huyo jirani yako baada vya kukaa na huyo adui anakuchukulia mkeo! Katika mazingira hayo unamfumbia macho huyo jirani yake ili iweje?

Hivi Paskali unaposema selfishness unamaanisha nini? Maana cdm kama cdm wamelazimishwa kuchukua hatua baada ya kuona hakuna umoja tena. Kuna umoja gani katika mazingira hayo kama sio wendawazimu? Unataka hao walioondoka cdm, au cdm iachie wagombea wanaokubalika wa wapinzani wengine, je hilo lifanyike kwa makubaliano gani na kipimo gani? Halafu sikuelewi unaopoonyesha kuwa wapinzani wasipoungana basi mfaidika ni ccm. Ccm hii ambayo tunaona mabox ya kura yakitolewa vituoni kwenda kujazwa kura za ccm, kwa uratibu wa vyombo vya dola? Paskali nadhani ni vyema tukadai tume huru ya uchaguzi, then baada vya hapo kila mtu ashinde mechi zake.
 
Hapa hata magufuli kawapiga bao. Maana kwenye nafasi za uongozi anao hadi waliokuwa upinzani na kugombea uraus kama kina anna mghwira.
Mbowe ye ukitofautiana nae tu ujue out. Hana uvumilivu wa kisiasa. Acha Magufuli awanyooshe tu maana wao wangeshika dola wangenyanyasa sana watesi wao.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kipi kilifanya Nape au January wapoteze uwaziri kama utetezi wako ndio huo?
 
Siasa za Tanzania kichekesho sana.
Si upinzani wala CCM ni vituko tupu.

Sasa bunge lenyewe ni la mwisho kabla ya serikali mpya, hao mawaziri vivuli wapya watakao ziba nafasi hizi watafanya nini?
Na wa zamani waliotemwa wangekuwa na athari gani?

Kuna wakati unatakiwa kuwaacha watu kama hao na kutumia nafsi hiyo kujiimarisha kisiasa kwa kujisifu majukwaani hawa walitutendea ubaya huu lakini kwa vile sisi wakomavu wa kisiasa na sio watu wa visasi tumewaacha kwenye nafasi hizi ingiwa sababu na uwezo wa kuwatosa kama kisasi tulikuwa nao.

Mambo madogo kama haya ya uvumilivu ndiyo yana kuwezesha kuvuna pointi muhimu kwenye siasa, hasa kwenye masanduku ya kura.
You can act like you live what you preach.

Wapiga kura ni watu wa ajabu sana, wanaweza kukupa kura sababu umewataja kwa majina angalau watu wawili tu wa kawaida wa eneo lao, au umewapa msamaha watu waliokutendea ubaya.

Huenda sipo sahihi kabisa katika hili, ngoja niamini KUB yupo sahihi.
Halafu anashangiliwa..
 
Wewe ni baba, hao ni watoto wako, wakikuny.a mkono hauukati, unausafisha na kuendelea kumbeba mtoto, kama hawaja andaa unawaandalia na sio kuwatumbua.
P

Mkuu umetoa jukumu, mtu hajalitekeleza, na unaona kabisa mwenendo wake una walakini, hapo unamuacha na hilo jukumu ili iweje? Paskali ni kwamba kuna mahali unaenda, hivyo unachangia tu ili uwahi huko uendako? Ni kwanini usiende kisha ukirudi ndio uchangie?
 
Back
Top Bottom