Ninacho shangaa wanadai kupeleka umeme vijijini yaan mawazo ya mwigulu anadhan watanzania bado wajinga miaka yote tunachangia REA sasa hiki walicho leta cha kazi ganiMagufuli asingeruhusu upuuzi wa aina hii, watu walikuwa wanaogopa kupeleka proposal za kipumbavu maana angezipiga chini tu😅!
Watamkumbuka sana tu maana sahizi wapigaji hawatakuwa wanawajibishwa zaidi ya kuandikishwa barua tu
Maji tyr kwani?Ninacho shangaa wanadai kupeleka umeme vijijini yaan mawazo ya mwigulu anadhan watanzania bado wajinga miaka yote tunachangia REA sasa hiki walicho leta cha kazi gani
Extrovert:Watazimaliza nyumba za Kimara sasa 😅😅😅 watawaua akina Mangi aisee!!!
kumbe Tenga ni mchaga aiseeTENGA ANAWANYOOSHA WACHAGA WENZIE AISEEE.....NAONA WALIKUWA WANAMSUBIRI ENGN MFUGALE AFE EAFANYE YAOOO KWIKWI
View attachment 1848231
Umenikumbusha Scorpion aliyemtoboa mwenzie enzi za konda boyBen pub imevunjwa,nimeingia dar juzi nmepita mitaa hiyo kuelekea scorpion bar
Ila wote walijenga kwenye barabara
Bwasheh nmeingia mjini lazima nkusake unitie mapene,ukintosa itabd nkutapeli tu[emoji23][emoji23]
Ova
Jamaa yetu alishawahi kutuambia alilipwa mara ya kwanza lakini hakuhama aliendelea kuishi hapo tena, baadhi ya majirani walihama na kuuza maeneo yao kwa watu wengine. Ukapita muda mrefu ikaja tathimini nyingine wakalipwa tena baadhi ya majirani wakauza tena maeneo yao. Asilimia kubwa ya watu waliokuwa wanaishi maeneo hayo kabla ya bomoa bomoa ni wale waliouziwa yale maeneo kutoka kwa watu ambao waliokwisha kulipwa.Hawapewi hata mia maana inasemekana huko nyuma walishapewa wengine wakajauzia hao waliopo sa hivi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo wengi hawajui kama wale wazee wa mwanzo washakulaga helaJamaa yetu alishawahi kutuambia alilipwa mara ya kwanza lakini hakuhama aliendelea kuishi hapo tena, baadhi ya majirani walihama na kuuza maeneo yao kwa watu wengine. Ukapita muda mrefu ikaja tathimini nyingine wakalipwa tena baadhi ya majirani wakauza tena maeneo yao. Asilimia kubwa ya watu waliokuwa wanaishi maeneo hayo kabla ya bomoa bomoa ni wale waliouziwa yale maeneo kutoka kwa watu ambao waliokwisha kulipwa.
Extrovert:Walipe fidia sasa sio kujivunjia kiboya tu
Kwa nini mnakimbilia kusema wanataka kumgombanisha na Raisi? Yeye so aingilie kato? Na kama unakumbuka wote humu tulikuwa tunamsifu kwa kuunda timu yake, kama hao watendaji hawamheshimu huo uraisi atauweza vipi tena?Mama inampasa apate mtu kama Sabaya na ubaya wake wote ili amsaidie.kuna vitu vya kuhoji kizalendo.
Hizi wiki mbili za kumalizia mafungu kwa morogoro nimeshuhudia barabara ya old dsm road ikiwekwa changalawe za kutosha juu ya rami na baadhi ya maeneo yakitanuluwa kwa kumwagiwa lami nyepesi kama maji huku ikiachwa barabara ya mjimpya ambayo ina mashimo na ilijengwa ndani ya miaka 10 iliyopita.barabara ya mjimpya haikuwa na lami nzito na imebanduka banduka na kuacha mishimo halafu leo hii sehemu ambayo ina lami kama mkeka ina mwagiwa tena changalawe.
Kuna mawili inawezekana wanataka kumgombanisha mama na wananchi au wanaopanga hizi kazi hawapiti maeneo husika bali wana letewa na maofisa ambao wao wana waza 10 %kutokana na mishahara yao midogo.
Morogoro barabara ya kihonda manyuki nayo ni mbovu,yepsa ukiwa na gari ndogo unajuta,
Gwajima anaondokaPamoja na kuwa Barabara ya Ubungo—Kimara (stop over) zimepigwa X jioni hii hadi usiku huu. Wananchi wamepewa siku 30 waondoke kupisha upanuzi wa barabara.
Pia kuanzia Kimara Bucha mpaka Kimara resort wamepewa Notisi ya kobomoa na kuvacate kwa walio ndani ya Mita 90 za hifadhi ya barabara kama barua inavyoonesha.
Hii yote ni kwa ajili ya kuendelezwa kwa barabara hiyo na wakala wa barabara TANROADS. Nakala ya notisi hiyo ni kama inavyoonekana hapo chini:
View attachment 1847872
Ila si wako reserve?Sukuma gang chato gang at work..ila they will perish soon
Acha unafiki, kama umejenga road reserve umekoseaHii ndio CCM katika ubora wake.
hawa walishabomolewa na alama za x ziliwekwa kama walirudi ni kosa lao maana tanroads waliwawekea x toka mwaka 2017WAENDE WAKAWAWEKEE ALAMA YA INAPOISHIA HIO MT ZAOO WASIWAFANYE WATZ WAJINGA ....UWEZI MWAMBIA MTU UKO TISINI AMA 120 WEKA ALAMA ISOME HAPA.MTU AJUE ANAISHIA WAPI KUVUNJA.........
HAPO NDIO MTAELEEWA WIMBO WA TUONANEEE PARADISOOO TUONANEEE PARADISOOO X3 KWENYE MJI WA RAHA KWANN INAIMBWA MSIBA NI TU..
Watu wanaingiza siasaKwani sheria inasemaje kuhusu kujenga kwenye hifadhi ya barabara? Siyo kila kitu kulalama tu, wabongo bana, hatunaga jema
Kuvunjiwa hakuna chama, hata ingekuwa cdm bado ingewaondoa tuCCM ni laana !