T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Kumbe nchi ndio ya kibwege kupitiliza. Jiji kuu la kibiashara halina coverage ya huduma muhimu ya maji miaka 60 baada ya uhuru. Kwetu kuna kisima ila sikuwahi kuwaza majirani wasio na visima wanaishijeKwani Dawasa wanacover Dar nzima??..Ukonga G/Mboto, Temeke, Mbagala, Kigamboni unadhani huko Dawasa wapo kwa ukubwa huo hadi watoe ratiba?..
Dar asilimia kubwa watu wanatumia maji ya visima walivyovichimba wenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni jambo la kushangaza kwamba maji yanatoka Ruvu juu yaende Masaki saa 24 alafu vijiji vya njiani bomba lilipopita vinapata mgawo wa maji.Mbona tunaopata huduma kutoka mtambo wa Ruvu juu hatuoni ratiba maana eneo nilipo leo ni siku ya nne mfululizo maji hayajatoka.
😄😄 Andamaneni basi tuwaone, hivi yule aliyekua anajifanya mbabe wa nchi. Yuko wapi Siku hizi? Sikamsikia Muda sana.😄😄Unaongea kama nani? ndio maana unatekwa tekwa
Ka senge vileeeeBora kukosa Maji na umeme kuliko kutekana kidwanzi na mtu mmoja kujifanya ndio mungu mtu nchi nzima.
Kabisa tutabeba ndoo tukaombe maji kwa majirani zetu huko Kenya na uganda kabisa tuna amaniBora kukosa Maji na umeme kuliko kutekana kidwanzi na mtu mmoja kujifanya ndio mungu mtu nchi nzima.
😄😄 Na ndio maana ninaendelea kusherekea ubora wa CCM kwa hii migao ya maji na umeme.Huoni tu ubora wao inakuongoza hadi leo japo hutaki ila huna la kufanya tofauti na kubweka tu humu mitandaoni halafu bado unasema hauoni huo ubora wa ccm?
Baba ako unajua Kwanini anavalishwa diaper Sasa hivi?Maza ako unajua Kwanini fistula inamsumbua?Ka senge vileeee
Ndipo kwa watumiaji wakubwa wa maji.Mbona kuna maeneo hayapo Inamaana maeneo hayo tu kwa Dar ndo yanashida ya maji?
Acheni cheap politics ishu ndege si zipo na zinaonekana!? Hao watangulizi walishindwa nini kukopa wakanunua ndege na wao😄😄 hebu tuwekee hapa alikuta Deni la nchi Ni kiasi gani na ameacha Deni la nchi Ni kiasi gani?
😄😄😄 Jamani tunanunua ndege kwa hela zetu za ndani,sisi ni matajiriiii au Nasema uongo ndg zangu?😄😄😄
Hawa mbwa walishauriwa na Mnyika kipindi akiwa bungeni wajenge bwawa la kutosha la kuvuna maji. Ila kwa kuwa hawa kenge kila wazo la wapinzani wanalichukulia negative, matokeo ndiyo haya. Kwanza hatuna teknolojia nzuri ya ku harness maji. Maji mengi yanapotelea ardhini na kuingia baharini. Linchi la ovyoovyo tuJPM angekuwa hai angefanya nini na maji yapatikane na hiki kiangazi kilichopo nchi nzima?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nchi hii ina kundi kubwa la watu wasio na hata chembe ya uelewa wanasubiri kupata mlo, kushiba na mwisho wafe full stop.Utoto tu ndio ulikufanya uongee ulichoongea. Unapoingia katika mijadala ya kikubwa jaribu kuset akili yako iwe ya kikubwa otherwise kaa kimya comment yako haina umuhimu mkubwa kiasi hicho.
Halafu usiwe unatuhumu watu kwa mambo ya kusikia kwa uvumi hata kama huyo mtu haumkubali au haumuelewi. Kuna jinai inaitwa deformation, kuvumisha mambo ambayo hayana viambatanishi vya ushahidi kumhusu mtu.
Unasema Magufuli aliteka watu na kuua, ukiambiwa ukasimame kizimbani kutestify against yeye unaweza kutoa maelezo gani kuhusu matukio yalivyyotokea?!
Learn to grow up.
".., kila awamu kuna visa vyake..."Atekwe wapi si basi story za mitandaoni maana utafikiri alikuwa akiishi kimashaka kwa kuogopa kutekwa, kila awamu kuna visa vyake sikuona wakizungumza hivi kipindi cha Ulimboka.
😄😄 Mzee wa critical thinkings nitajie destinations ambazo ATCL inazo aisee.Acheni cheap politics ishu ndege si zipo na zinaonekana!? Hao watangulizi walishindwa nini kukopa wakanunua ndege na wao
Yes,tunapaswa kuwaza hivi kama Mnyika alivyowaza.Hawa mbwa walishauriwa na Mnyika kipindi akiwa bungeni wajenge bwawa la kutosha la kuvuna maji. Ila kwa kuwa hawa kenge kila wazo la wapinzani wanalichukulia negative, matokeo ndiyo haya. Kwanza hatuna teknolojia nzuri ya ku harness maji. Maji mengi yanapotelea ardhini na kuingia baharini. Linchi la ovyoovyo tu
Tutaleta maji ya victoria hadi dar,, kwasasa yako igunga, vuteni subiri ,, mji umekua sana, mto Ruvu haukidhi mahitajiMbona kuna maeneo hayapo Inamaana maeneo hayo tu kwa Dar ndo yanashida ya maji?
Sawa tufanye upo sahihi, unataka kunambia tunabisha hapa na wewe unatumia hoja zinazozalishwa na takwimu mfu za hawa wachumia tumbo ambao wanatumia hali zetu za ukabwela kudanga mataifa ya ulaya wakiomba misaada kama watu wasio na akili ya kujenga vyanzo vya Mapato.Wakulima wamepanda mbegu ziko ardhini nchi nzima hakuna mvua maji yatapatikana wapi ikiwa vyanzo vyetu tunategemea mito inayojaa baada ya mvua kunyesha nyingi?
Sababu wanayotoa Dawasa kuwa kina cha mto Ruvu kimepungua ni uongo kwahiyo?..
Shida sisi wabongo wengi hatutumii akili,tunajadili vitu kishabiki shabiki tu..ilibidi tukubali hili swala limeletwa na ukame and then tuchachamae ni kwanini baada ya miaka 60 ya uhuru nchi haina maji ya uhakika kutoka vyanzo mbalimbali vya uhakika ambavyo hata mabadiliko ya tabia nchi yakitokea kutakuwa hakuna athari zozote kwenye upatikanaji wa maji.
Mimi nalima mchele hapa. Maji ya kumwagilia natoa mto ruvu nenda pale bagamoyo katazame schemenya mchele kama imesimama.Maji yamepungua mto Ruvu hakuna cha Magufuli angekuwepo wala nini acheni kumfanya huyo mtu kama Mungu, ilitokea bahati nzuri katika kipindi chake halikutokea tatizo kama hili basi.
Typing error dogo mbona unakuwa jeuri.Kwa hio umepaniki unaanza kulia Lia Sasa sio? Wewe Ni wa kunifundisha Mimi? Eti deformation? Hio Ni Nini Sasa umeandika?[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Na DEFAMATION itakua Ni Nini?
Maana hii deformation yako uliyoiandika utakua umeitoa huko Chato University labda. Jinga sana
Anakaa anatetea uzembe na wakati watu wanacheza na akili za wengine.Hamna mtu anajali khs sababu zao TUNATAKA MAJI, FULL STOP.
Kama hawawezi waachie ngazi tupate watu wanaoweza kujiongeza na kuleta maji.
Hongera kwa kulima mchele maana dunia nzima wakulima wote wanalima mpunga ndipo wapate mchele.Mimi nalima mchele hapa. Maji ya kumwagilia natoa mto ruvu nenda pale bagamoyo katazame schemenya mchele kama imesimama.
Msiwe mnakubali mambo kirahisi .