Oya Jisome upya sasa umeongea nini?ππππBaba ako unajua Kwanini anavalishwa diaper Sasa hivi?Maza ako unajua Kwanini fistula inamsumbua?
Watajie jina langu watakwambia nilichowafanya mtoto mzuri.
Mitano tena, kaletwa na MunguKazi iendelee
Nenda baharini kajizimisheEeh nchi inafunguliwa bwana toka kwa dhalimu jiwe π !!!
Dhalimu ambaye hajawahi kuwalaza gizani zaidi ya masaa 24 katika siku zote ambazo alikuwa madarakani! Maji hayakuwahi kukatika katika namna yeyote isioelewekaπ
βSote tu watu wazima haina haja ya kufatiliana na kutumbuana kila mtu afanye majukumu yake kwa moyoβ~Amiri jeshi
Ha ha ha ha ha ha! Wacha nifike mlimani nikajipooze na AC za umma kwanzaπ hii joto ya huku uswahilini haifai!
Wakati wa jpm haya mamigao yalikuwepo ila hakukuwa na mtu mwenye ujasiri wa kusema.Seriously?... By the way kila binadamu ana dhambi zake kutokuzijua haimaanishi yeye ni msafi sana. Sidhani Kama unaeza kuishi eneo ambalo maji yamekata almost wiki nzima halafu ukaongea eti nafuu. Hii nchi watu wengi maskini mkuu kuanza kununua maji dumu moja la lita 20 kwa buku inaumiza Sana.
Oya Jisome upya sasa umeongea nini?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We mvuta BANGI ama?
Na huku Kahama maji yamekatika bila taarifa sijui ndio mgao na hiv tumezoea maji huwa hayakatik hivyo kwa upande wangu sina kbs maji[emoji24]
Tuliambiwa tutaisoma namba sasa tutaisomaTulikuwa tushazoea hatutunz maji yakirud naanza utaratibu wa kujaza vyombo maji
Wewe ilitakiwa utokomezwe kabisa...
Sawa aliwa wa nyamazisha wasema ukweli ila maji yalikuwa yana patikana.Wakati wa jpm haya mamigao yalikuwepo ila hakukuwa na mtu mwenye ujasiri wa kusema.
Msimuone jpm kama alifanya ya maana, alikuwa hopeless tu aliweza tumia vyombo vya dola kunyamazisha wasema ukweli.
Wakupime mkojo wewe sio mzima..ukosefu wa maji unajua madhara yake wangapi wanaweza kufa?Bora kukosa Maji na umeme kuliko kutekana kidwanzi na mtu mmoja kujifanya ndio mungu mtu nchi nzima.
Wewe si umesema kutekana tekana Mkuu Ndugu yangu, maana yake ulitekwa, sasa hao walio kutekana inawezekana walikufanya kitu kibaya.......... sana labda iinawezekana walitatua linda ndio maana, unaona bora mgao wa maji kuliko kutekana tekana.
Huyo jamaa atakua anaishi na kimba.. Huna maji kimba utaflashi vipi afu inasema bora kukosa majiSeriously?... By the way kila binadamu ana dhambi zake kutokuzijua haimaanishi yeye ni msafi sana. Sidhani Kama unaeza kuishi eneo ambalo maji yamekata almost wiki nzima halafu ukaongea eti nafuu. Hii nchi watu wengi maskini mkuu kuanza kununua maji dumu moja la lita 20 kwa buku inaumiza Sana.
[emoji23][emoji23][emoji1787]Kuna jamaa kaoga maji ya mrefejini kapauka then ananukia kama chura
Wakupime mkojo wewe sio mzima..ukosefu wa maji unajua madhara yake wangapi wanaweza kufa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nchi imefunguliwa.
Huyo jamaa atakua anaishi na kimba.. Huna maji kimba utaflashi vipi afu inasema bora kukosa maji