KUMEKUCHA! JNHPP Kuanza kujazwa maji Disemba 15, 2022

Leo 15 12 2022 nimewahi siti kwenye mawe ndani ya mto mkavu Ruaha niyaone vizuri maji yanayokwenda kulijaza bwawa la umeme la Julius Nyerere.
Wewe unafikiri Mto Rufiji unategemea chanzo kimoja?. Kuna mito mingi mikubwa inaingia Rufiji hasa kutoka Morogoro. Kilombero, Luwegu, Mbarangandu, Kihansi na mingine ambayo inatoka kwenye hari ya hewa inayotofautiana(Mingine milimani au mingine misituni). Kwahiyo kama Ruaha kuna ukame basi Kilombero au luwegu inarisha.
 
Labda aliyeleta uzi yupo busy anatafuta nini cha kusifia kwa sasa anasahau kuleta mrejesho wa aliyosema mwanzo...

Au bado hapajakucha....
 
Kubwa jingine kuhusu bwawa hili ni kwamba hata kuwe na ukame utakaodumu kwa miaka mitatu bwawa hili halito acha kuzalisha umeme kwani lina uwezo mkubwa sana wa kutunza maji.


Hapa inabidi wataalamu wakae na watufafanulie sie tusiojua, ukame wa miaka 3 sio mchezo, huu wa miezi kadhaa tu unatusumbua sembuse wa miaka 3 ?!!
 
Crane la Tani 26 halijafika, mnatuambia mnajaza maji😠😠
 
Ngoja na mm niweke kambi hapa... nisubiri kuona bwawa linavyojazwa maji...
 
Hakuna bwawa duniani linajaa kwa muda mrefu hivi hata kama mmefungulia maji ya bombardier ya nyumbani week limejaa
 
Leo ni siku mhimu sana kwa ukombozi wa kiuchumi wa taifa letu. Ilipaswa kuwa public holiday tukisherekea kujazwa maji JNHPP. Tunatarajia rais au waziri mkuu kuwepo kwenye tukio hilo akikata utepe na kuyafungulia hayo maji!
 
Sa100 yupo anatembeza bakuri..lingekua linaanza kujazwa leo..tungeona misafara ya wahuni huko kwenye bwawa wakishuhudia maji yakiruhusiwa kuingia bwawani..huku tukio likiwa live.

Nawakumbusheni tu viongozi wa ccm ni kikundi cha walaghai hasa hawa wa awamu hii ya wahuni.

#MaendeleoHayanaChama
 
kama waziri wa umeme atakuwa huyu huyu mtoto wa mropokaji si ajabu ikawa vinginevyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…