Kumekucha: Marekani yakiri kutuma makombora maalumu ya kutungua rada Ukraine

Mkuu USA hanunui gas Kwa Mtu yoyote ana Gas yake tena ya kutosha na ndo msambazi mkubwa wa Gas huko Ulaya Kwasasa baada ya Russia kupunguza kiasi anachowauzia Europe.
Na hii vita imemsaidia Sana maana hilo soko la Gas Ulaya alikua analitaka kitambo sana mpaka akaweka vikwazo kwenye Nord stream 2.

Hivi mnadhani huyo Putin haogopi kutumia hizo nyuklia,juzi hapa yeye mwenyewe alikiri kwenye nuclear war hakutakua na mshindi

Putin says no one can win a nuclear war
 
baada ya kumuogopa anaeturudisha kwenu ukoloni , unawezaj kuvamia nchi bila sabab za msingi eti kisa inataka kujiunga na NATO , yaan nchi ilikuvumilia miaka 20 ipo neutral bado ukaona haitosh ukapandikiza na rais kibaraka , ukaona haitosh ukapola jimbo pia ukaona haitosh ukapandikiza waasi pia ikawa haitosh ukaivamia kabisa , HUYU NDO WASWAHILI WANAMSHABIKIA NA KUMPONDA USA AMBAE NDO ANAWASAIDIA VITU VINGI TU ngoz nyeus itabakia kuwa maskin maana wanaish bila mipango yaan akili hazifikil wap pana maslai na mm , huyo china hajawai fanya chochote bure , ila hao west mnakula pesa zao za chanjo 1b then mmeletewa misaada mingi tu
 
kwa akili hz ndio maana mlitawaliwa mkashindwa hata kupigania uhuru wenu mpk wao walipochoka ndo wakawaacha na kuwapa uhuru kwa wao kupenda
 
kwann ashambulie makaz ya watu ? kwann asiende kuwawinda wauza madawa wa huko Urusi ?
 
una akili fupi sana nina mashaka hata civics ulipata F , hakuna nchi yenye mamlaka ya kuingiza jeshi lake kwenye nchi nyingine bila kujali migogoro yao ya ndan imewashinda au laah , pili Ukraine alitaka kujiunga na NATO baada ya Urusi kuvunja makubaliano ya kutovamiana . Huwa namshangaa mtu kutoka nchi maskini kutetea uvamiz km vile nchi yako inaweza kukabiliana na uvamiz kutoka mataifa makubwa , ngoz nyeus tunaish bila kuweka maslai yetu mbele ndio maana hatupig hatua kbs
 
dah akili za mswahili hz unaipenda USSR kuliko Dona country yetu
 
akili za mswahili anashabikia mbakaj wkt hata yeye anaeza kubakwa , Urusi haijui diplomasia , ni kituko kumshabikia mtu asieweza kuish vzr na ndg zake hlf utegemee aje kuish vzr na ww mswahili wa malamba mawili
 
akili za mswahili anashabikia mbakaj wkt hata yeye anaeza kubakwa , Urusi haijui diplomasia , ni kituko kumshabikia mtu asieweza kuish vzr na ndg zake hlf utegemee aje kuish vzr na ww mswahili wa malamba mawili
Urusi haina mambo ya kishoga kama USA. Halafu hio diplomasia aliyonayo Marekani ni ipi? Ya kutengeneza virusi ili kuangamiza Ulimwengu? Au ya kuchochea vita?

Angekuwa mtu wa diplomasia asingepeleka silaha Ukraine. Angeomba wayamalize kwa Amani.
 
What a Childish comments!! Nikwambie kitu mkuu, kitu cha kwanza leta hoja mbadala na sio kukimbilia kutukana tukana watu ambao huwajui vizuri, yaani utaki kabisa watu walete maoni tofauti na ya kwako, kisaikolojia unaonekana wazi wazi una traits za a bully type and overly arrogant, masaa yote kuwasema /kuwatukana members ambao hawakubaliani na maoni yako unawatukana kwamba wana akili finyu!! Usione watu hawakujibu kwa kutumia abrasive language kama ya kwako ukafikiri na wanakuogopa au ni wajinga, mwanzo nilikuwa naku-ignore tu, lakini hivi sasa umezidi - Mark you, sio kwamba nasema mambo ya kutunga tu au ya kiuonezi, ukitaka kujijua ulivyo please revisit all your asinine laden remarks herein - what do they tell you psychologically, ni wazi una tatizo si bure, sikusemi vibaya lakini ukweli ndio huo may be ukijirudi behavior zako zitakuwa 4 the better na sio kujiona you can play binadamu wenzako on your little finger and get away unscathed!!

Labda niongezee kwa kusema kwamba usichukulie every member hapa kwamba ni average Joe - ukitulizana akili na kuheshimu binadamu wenzako utajifunza mengi kutoka kwa JF members ambao ni knowledgeable kwa mambo/masuala mengi tu, si lazima ukubaliane na maoni yao lakini usiwatukane - learn to agree to disagree without offending anyone,kama uwezi basi hapa hapakufai. Goodday Amigo.
 
RUSSIA kamatia hapo hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi vimaneno havitafanya SMO isimame hata kama mtaongea kwahuruma kiasi gani basi UKRAINE ataendelea kuchapika tuuu mpaka awe sehem ya RF
Hio misaada sio lazima si wasitishe kwani walilazimishwa nanani
RUSSIA KAMATIA HAPO HAPO

Sent using Jamii Forums mobile app
 
akil zako ndo ttzo vita sio kama shule kwamba ukivuka madarasa huez rudishwa nyuma , kabla USA hajajiingiza kweny WW2 warusi waliuliuliwa sana na HITLER alibakisha sio chin ya km 400 kuingia Moscow , ila vita ilibadilika na ikaishia Berlin
RUSSIA sio GERMAN kaa kwakutulia MKUU nauache kuota nakujidanganya
Malengo ya SMO lazima yafikiwe upende usipende kwahiari yalishindikana basi kwalazima nilazima yafikiwe
Bring Back Our USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…