Gol D Roger
JF-Expert Member
- Sep 16, 2023
- 2,316
- 6,082
Sawa, hayana maana.Una maneno mengi yasiyo na maana.
Labda tuanze kwa kufahamu wewe umeishi na wanawake wangapi ambao hawajui kupika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa, hayana maana.Una maneno mengi yasiyo na maana.
Labda tuanze kwa kufahamu wewe umeishi na wanawake wangapi ambao hawajui kupika?
Haina shida. Restaurants zipo😀😂😂 mi mwenyewe kwa kweli sijui na sina mpango!
Ukute hana mikono mwenzio😄Kama ni rahisi pika wewe
Tupo wengi kumbe🤣😂😂 mi mwenyewe kwa kweli sijui na sina mpango!
Hii imeenda na uzi ufungwe. Au unasemaje binti kiziwi ?Hapo ni kumfundisha namna ya yeye kupika
Chanzo maisha ya kibwege ndani ya familia zetu.JANGA JIPYA LA WANAWAKE WENGI KUTOKUJUA KUPIKA NN CHANZO!
😀😀 Si ndio!Haina shida. Restaurants zipo😀
Asa je! 😂Tupo wengi kumbe🤣
Aajiri mwanaume wa kumpikia. Wapo wanaowezaUkute hana mikono mwenzio😄
Nimecheka sana mpaka nikapaliwa na maji mdomoniKama ni rahisi pika wewe
Ukimpata wa ivo unamfundisha weweJANGA JIPYA LA WANAWAKE WENGI KUTOKUJUA KUPIKA NN CHANZO!
Ivo tu!Hii imeenda na uzi ufungwe. Au unasemaje binti kiziwi ?
Ukiuza karanga kwenye hospitali ya meno labda muuguzi ndo anunue. Watu hawajalala jana usiku unawauliza kama wanapenda karanga? Ukitaka mwanamke jua unataka nini kwake, unataka mapishi huku kigezo ulichomchagulia ni makalio wewe ni muuza karanga kwenye wodi ya meno, ukipata mteja ni bahati tu. Hii dunia inakupa kila kitu ni wewe tu na vipaumbele vyako.Mabinti wengi wamejikita kwenye Mitandao ya kijamii, kupiga picha kali na kuzipost. Furaha yake akisifiwa ni mzuri au anatako kubwa, baasi ndo hayo. Muda wa kujifunza kupika haupo.
Kuna haja ya binti kua na cheti cha mapishi ku qualify kuingia ndoani.
Naaam🙏🏼Mama zao na baba zao waliowazaa ni kiini Cha tatizo
Wamewakuza katika kufuga kucha ndeefuuu (majini)
Pressure cooker ni kupunguza gharama na muda, maharage badala ya kupika masaa mawili dakika 30 yapo tayari mnakula.Chanzo ni pressure cooker na rice cooker, zimewafanya wanawake wawe wavivu sana, hapa nadaiwa 120,000/= ya kununua pressure na siitoi leo wala kesho mpaka mtu anyooke.