Kumekuwa na wimbi la wanawake wengi kutokujua kupika wakuu nn chanzo mana inakera

Kumekuwa na wimbi la wanawake wengi kutokujua kupika wakuu nn chanzo mana inakera

Mtu kutokujua kupika ni maamuzi tu.

Yani uwe na dhamira kabisa ugali, wali maharage vikushinde kupika!
 
Haya mambo ya urembo ndio tatizo kubwa sana saivi. Yaan mwanamke amepaka kucha rangi sijui amebandika za bandia anaona kupika kama anajichafua basi atapika ilimradi tu amepika
 
Kiuno, tako na kucha havimzuii mwanamke kupika, acha ushamba wakutaka twende wote vijijini kutafuta wake.
Boss, Binadamu ana vipaumbele. Chukua wanawake 5 ingia nao super market waambie wachukue chochote mwezi mzima huku ukiwachunguza wanachukua nini utaelewa kwanini kipaumbele kikiwa kucha, kope, tako basi muda wa iliki, tangawizi, samaki hauwezi kuwepo.

Ukumbuke, mwanamke atapika kwa ajili yako ila kwa % kubwa hawi mrembo kwa ajili yako tu.

Halafu kuna wanawake hapa hapa mjini ambao mume na watoto ndo kipaumbele kisha kucha kope ndo zinauata.
 
Una maneno mengi yasiyo na maana.

Labda tuanze kwa kufahamu wewe umeishi na wanawake wangapi ambao hawajui kupika?
Demi Tuna wanawake wana hela kutuzidi ila wanaingia jikoni! Hawa ni vijana ambao hawajaoa ujue. Too theoretical
 
Boss, Binadamu ana vipaumbele. Chukua wanawake 5 ingia nao super market waambie wachukue chochote mwezi mzima huku ukiwachunguza wanachukua nini utaelewa kwanini kipaumbele kikiwa kucha, kope, tako basi muda wa iliki, tangawizi, samaki hauwezi kuwepo.

Ukumbuke, mwanamke atapika kwa ajili yako ila kwa % kubwa hawi mrembo kwa ajili yako tu.

Halafu kuna wanawake hapa hapa mjini ambao mume na watoto ndo kipaumbele kisha kucha kope ndo zinauata.
Kwako mwanamke akijipenda automatically anakuwa hajui kupika wala kumuangalia mume na watoto, na akikata kucha kila siku huyo kwako ndio mpishi mzuri!.

Wacha kuishi kwa kukariri, maisha hayako hivyo.

Na hilo la kusema mwanamke hawi mrembo kwa ajili yangu tu umelitoa wapi? una tatizo la kutojiamini kumbe...

Ndio maana unaogopa mwanamke anayejipenda kwasababu unajua utaibiwa, sasa nikwambie kitu, hata huyo wa kijijini unayejidai nae ananyoa upara nae watamchapa tu!
 
Kabla ya kuoa mpeleke kwenu akapike akioosea msaidie ajue then oaa

Kama ushaoa siwezi kukusaidia huyo wakoo tu

Wengine ukithubutu kulalamika wanakuchanganyia na mkojoo wa asbh

Na rojekaaaa utashaa tumboo
 
Kwako mwanamke akijipenda automatically anakuwa hajui kupika wala kumuangalia mume na watoto, na akikata kucha kila siku huyo kwako ndio mpishi mzuri!.
Tafsiri ya kujipenda inatofautiana. Sijui kwako unaitafsirije. Tukikubaliana kujipenda ni nini tunaweza kufika muafaka otherwise tutatofautiana tu. Mfano mm naweza sema kujipenda ni kuoga uwe msafi uchane nywele ila wewe ukasema kujipenda ni kuweka kucha za bandia na kung'oa nyusi upake hina kila baada ya siku mbili hapa hatutafika muafaka, tutabishana badala ya kujadili sababu tafsiri ya kujipenda ni tofauti.
Wacha kuishi kwa kukariri, maisha hayako hivyo.
Maisha hayapo fixed kama mwamba, yapo tofauti tofauti ndo maana hapa tumetofautiana tayari mtazamo.
Na hilo la kusema mwanamke hawi mrembo kwa ajili yangu tu umelitoa wapi? una tatizo la kutojiamini kumbe...
Mwanamke ambaye kipaumbele chake ni kope, nyusi, kucha, kigodoro hafanyi hayo kwa ajili yako tu, ni either kazi yake inamlazimsha au anataka kuvutia wanaume. Huwezi niambia asubuhi mkeo atatumia nusu saa kurekebisha kigodoro kikae sawa kwa ajili yako kwa gharamaya kukosa muda wa kuandaa chai ambayo ungeinywa, Suala la kujiamini ni suala lako umelifikiri tu.
Ndio maana unaogopa mwanamke anayejipenda kwasababu unajua utaibiwa, sasa nikwambie kitu, hata huyo wa kijijini unayejidai nae ananyoa upara nae watamchapa tu!
Hakuna sehemu yoyote nimesema mwanamke wa kijijini, sijasema kuibiwa, sijaongelea kuchapiwa. Ni assumption ulizojitengenezea, scenario za kufikirika ulizojitengenezea. Hapa tunaongelea vipaumbele vya mwanamke. Kama kipaumbele ni kucha, kope, kigodoro usitegemee atatenga muda wa iliki, nazi, mdalasini zaidi ya hivyo vitu ambavyo ni kipaumbele kwake. Na hivyo vitu si kwa ajili yako wewe mume wake tu.
 
Siku niliosikia kwamba serikali imefuta boarding for primary schools nilifurahi sana. Tulikua tunaua kabisa utamaduni wa Kitanzania kwa wajukuu zetu. Mungu ambariki sana aliyetoa lile wazo na likatekelezwa
 
Back
Top Bottom