Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 9,164
- 18,402
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na leo ukila hlf ukanyamaza kimya kesho utakuta kanunua chips kabisa kaweka kwa hotpot....Kizazi Cha ef2 au Generation Z
Wife angu nikizaz ch ef2 ayo mambo nagombana naye Kila siku, Leo kanunua kuku bloiler nusu aliekaangwa kanipikia na ugali, hii nimekuta kwenye hotpot nilivorudi mishee wazee..😄 Af kimelala na kinataka mambo.
Unajua kupika biriani?Ni hao wa kwako
Hicho ndo kipimo cha kujua kupika au kuchanganya viungo?Unajua kupika biriani?
Tupo wengi kumbe🤣
Mnasikitisha sana.Asa je! 😂
Mi sijawahi kula birian nilifikiri unajua unialikeHicho ndo kipimo cha kujua kupika au kuchanganya viungo?
Wewe mikono huna ?JANGA JIPYA LA WANAWAKE WENGI KUTOKUJUA KUPIKA NN CHANZO!
Mi sitanii 😂Mnasikitisha sana.
Huenda mnatania tu.
Mtoto wa kishua wewe hata kuchemsha maji ya kuoga hujui.Mi sitanii 😂
Kwanini tusikitishe?Mnasikitisha sana.
Huenda mnatania tu.
Wengine wako vzr.Kizazi Cha ef2 au Generation Z
Wife angu nikizaz ch ef2 ayo mambo nagombana naye Kila siku, Leo kanunua kuku bloiler nusu aliekaangwa kanipikia na ugali, hii nimekuta kwenye hotpot nilivorudi mishee wazee..😄 Af kimelala na kinataka mambo.