Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oooh kumbe! Basi iendelee tu kuwa ajabu. Sipendi kupika na kufua.Kwasababu ni ajabu kwa mwanamke wa kiafrica
🤣🤣🤣🤣🤣Mume wangu anahitaji mke wa pili maana nimeshazeeka. Njoo uchangamkie fursa fasta kabla hujachacha.
Hongera sanaOooh kumbe! Basi iendelee tu kuwa ajabu. Sipendi kupika na kufua.
Sahihi.Shida wanawake wengi, wanajua mwanamke kupika anazaliwa nako, kumbe kupika ni elimu, usipoipata chuoni, unatakiwa ujifunze kwa wanajua.
Asante sana.Hongera sana
Sasa hujui kupika unakuja kuishi na mimi ili nini? Kama p si napata tu popote.Heeeeh!! Kama rahisi pikeni na nyie.
Nadhani she is pretending mkuu, Kaa nae wiki tu atakua amechoka kupika huyoo..Wengine wako vzr.
Kuna huyo Gen Z, alikuja home kwangu.
Nikamwambia tukale mgahawani, akagoma.
Akasema si una jiko, unataka kula nini, nikajibu ndizi nyama.
Nikapewa list ya hivyo viungo, mpka vingine nilisahau.
Chakula kilikuwa bomba sana.
Huyu inaonekana kafundishwa vzr.
Hatushangai ila jibu ulilotoa kama ndio mumeo unamfanyia hivyo kazi anayo.Sie ndo tupo utajua mwenyewe. Mbona mwanamke akiolewa kwaajili ya pesa mnashangaa. Pambaneni na hali zenu.
Tsh 10,000Umemuachia shingapi?
Napika ninachoweza kupika. Kama ataona chakula kibaya atafute alternative. Wakati anataka niwe mke wake hakuuliza kama najua kupika.Hatushangai ila jibu ulilotoa kama ndio mumeo unamfanyia hivyo kazi anayo.
Au nami sijaelewa mada japo mmesoma cuba[emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji1783]Enzi izi za magesi, mapresha kuka na majiko ya umeme bado unasubiri mwanamke akupikie, auna njaa wewe[emoji1783][emoji1783][emoji1783]
Kwani hata vyakula si vipo tu?Sasa hujui kupika unakuja kuishi na mimi ili nini? Kama p si napata tu popote.
Kama ni hivyo sawa ila sio uache kupika kwa kisingizio cha apike yeye.Napika ninachoweza kupika. Kama ataona chakula kibaya atafute alternative. Wakati anataka niwe mke wake hakuuliza kama najua kupika.
Chakula cha mke kitamu sana...Kwani hata vyakula si vipo tu?
Wacha bwana!Chakula cha mke kitamu sana...