Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
Urembo wakuachie ww kutwa kwenye vioo na makucha kama kwareJANGA JIPYA LA WANAWAKE WENGI KUTOKUJUA KUPIKA NN CHANZO!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Urembo wakuachie ww kutwa kwenye vioo na makucha kama kwareJANGA JIPYA LA WANAWAKE WENGI KUTOKUJUA KUPIKA NN CHANZO!
Daah kuna Dada mmoja tupo naye sehemu, amepata mchumba na jamaa yupo serious kuoa,huyu Dada hajui kupika,kila jioni anaingia darasa la kupika 😀. Na ni 34 now ,hata ndizi zao za kichaga hajuiJANGA JIPYA LA WANAWAKE WENGI KUTOKUJUA KUPIKA NN CHANZO!
Sasa itakuwaje mimi napenda ubwabwa na maharage vya kupikwa kwa mkono ndio vitamu, mwanamke sifa yake utundu wa jikoni bana.Pressure cooker ni kupunguza gharama na muda, maharage badala ya kupika masaa mawili dakika 30 yapo tayari mnakula.
Rice cooker usimnunulie atakua anakuchemshia ubwabwa, ninunulie mimi mwaya 😊
Kuyachemsha kwa pressure cooker haina shida mbona si baada ya hapo anayapika sasa na manjonjo au.....Sasa itakuwaje mimi napenda ubwabwa na maharage vya kupikwa kwa mkono ndio vitamu, mwanamke sifa yake utundu wa jikoni bana.
Eve wala usihangaike kuelewesha, tatizo wakati wa kuchagua vipaumbele si mapishi ni kucha, kiuno, wowowo n.k halafu tunataka tukishaweka ndani akate kucha akune nazi na kuponda tangawizi kwenye kinu.Pressure cooker ni kupunguza gharama na muda, maharage badala ya kupika masaa mawili dakika 30 yapo tayari mnakula.
Rice cooker usimnunulie atakua anakuchemshia ubwabwa, ninunulie mimi mwaya 😊
Eve wala usihangaike kuelewesha, tatizo wakati wa kuchagua vipaumbele si mapishi ni kucha, kiuno, wowowo n.k halafu tunataka tukishaweka ndani akate kucha akune nazi na kuponda tangawizi kwenye kinu.
Hii dunia inakupa yote mkuu. Ukitaka wa hivi we oa mwanaharakati wa haki za wanawake. Mtafanya kwa zamu ufurahi. Yaani hakuna sababu ya kulalamika, kila kitu kipo ni uchaguzi wako.Kwann mwanaume kutokujua kupika haiwi issue? Kwann mwanamke aandaliwe kumpikia mwanaume?
Kwenye ndoa kama hakuna house girl, basi kupika ni kwa zamu. Kama mna uwezo wa kuajiri house girl basi ndiyo itakuwa kazi yake. Siku house girl akiugua hotel zipo
Na ubwabwa awe mtundu hivyo hivyo, maharage akimaliza kuyachemsha najua kwenye kuunga lazima utundu uwepo.Kuyachemsha kwa pressure cooker haina shida mbona si baada ya hapo anayapika sasa na manjonjo au.....
Shekheee kalenga mule mule. Unataka fahari ya macho weka ndani ila usianze lawama kuwa hajui hichi sijui kile, hivyo ni ziada, kipaumbele ilikiwa fahari ya macho.
We unakua unamuonesha utundu gani ye akifanya hayo.....😹Na ubwabwa awe mtundu hivyo hivyo, maharage akimaliza kuyachemsha najua kwenye kuunga lazima utundu uwepo.
Vitu vingi vimerahishwa kwenye mambo ya jikoni kama rice cooker,tea maker,sandwich maker,lakini labda useme wawe wabunifu kwenye aina gani za misosi siziwe zile zile zina boa kwakweli,but pia ni mtu binafsi kujifunza na kuwa na hobby ya ishu za jikoni au upishiJANGA JIPYA LA WANAWAKE WENGI KUTOKUJUA KUPIKA NN CHANZO!
Kiuno, tako na kucha havimzuii mwanamke kupika, acha ushamba wakutaka twende wote vijijini kutafuta wake.Eve wala usihangaike kuelewesha, tatizo wakati wa kuchagua vipaumbele si mapishi ni kucha, kiuno, wowowo n.k halafu tunataka tukishaweka ndani akate kucha akune nazi na kuponda tangawizi kwenye kinu.
Subiri watoto wakilala nitakwambia.We unakua unamuonesha utundu gani ye akifanya hayo.....😹
Wazee wa kujipakulia minyamaSubiri watoto wakilala nitakwambia.
Kuna mwanamke alikuwa ni rafiki yangu sasa siku nikiwa nataka kula na marafiki nilikuwa nanunua kuku then namuandaa inabaki kumpika tu
Sasa alikuwa akija anapika mboga then Mimi napika wali n.k
Alipokuwa akiivisha wakati wa kula anajisifu Kuwa anajua Sana kupika kuku.
Wakati kuku inajulikana hata umchemshe anabaki kuwa mtamu umkaange anakuwa mtamu, umchome au kumbanika anakuwa mtamu.
So ukisema unajua kupika au haujui tuambie na aina ya vyakula.
Unakwama wapi 😁😂😂 mi mwenyewe kwa kweli sijui na sina mpango!
Nikisema napenda minyama kuna mswahili hapa atasema nilijua tu huyu anapenda wowowo!Wazee wa kujipakulia minyama