2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 3,130
- 4,735
Kwanza kabisa msimamo wangu, kama huo ni upendo naukataaa.
Uko kazini, unaulizwa unarudi saa ngapi? Umefika wapi? Mbona umechelewa kurudi? Angalia muda lakini!! Nashindwa kulala sababu yako.
Uko na nani? Mko Baa gani? Leo mpira unaangalia wapi? Usichelewe kurudi lakini, mtoto anasumbua amekumiss, anakutaka wewe.
Hujakaa sawa kapigiwa mshkaji ambaye uko naye, anaanza kuulizwa, "shem uko na fulani". Hii kitu imenishinda kwa kweli.
Wake mliopo ndoani au mnaishi na waume nauliza maswali kwenu naomba majibu.
1. Mume anapaswa kurudi nyumbani saa ngapi?
2. Ni sehemu gani inamfaa kuangalia mpira, banda umiza Baa yenye watoto wazuri?
3. Ikiwa umeagwa na kupewa location aliyopo kuna haja ya kucomfirm yuko na fulani kweli kwa kupiga simu?
Binafsi naona kwa level hii ni utumwa kwa mume na ni udhalilishaji pia.
Niko sawa au nazingua kwa mtazamo wangu?
Uko kazini, unaulizwa unarudi saa ngapi? Umefika wapi? Mbona umechelewa kurudi? Angalia muda lakini!! Nashindwa kulala sababu yako.
Uko na nani? Mko Baa gani? Leo mpira unaangalia wapi? Usichelewe kurudi lakini, mtoto anasumbua amekumiss, anakutaka wewe.
Hujakaa sawa kapigiwa mshkaji ambaye uko naye, anaanza kuulizwa, "shem uko na fulani". Hii kitu imenishinda kwa kweli.
Wake mliopo ndoani au mnaishi na waume nauliza maswali kwenu naomba majibu.
1. Mume anapaswa kurudi nyumbani saa ngapi?
2. Ni sehemu gani inamfaa kuangalia mpira, banda umiza Baa yenye watoto wazuri?
3. Ikiwa umeagwa na kupewa location aliyopo kuna haja ya kucomfirm yuko na fulani kweli kwa kupiga simu?
Binafsi naona kwa level hii ni utumwa kwa mume na ni udhalilishaji pia.
Niko sawa au nazingua kwa mtazamo wangu?