Wahanga wote wako hivyoNina mpango wa kumfungulia mkewangu biashara, Namuamini mkewangu kitabia sina shakhanae ata kdg.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini wanawake hupenda kulala tena chini kabisa kwenye maeneo yao ya biashara?
Unakuta katandika mtandio /kanga analala chini eneo la biashara
Nina mpango wa kumfungulia mkewangu biashara, Namuamini mkewangu kitabia sina shakhanae ata kdg.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana FamilyUshauri ni rahisi tu fungua biashara ya familia asimamie mkeo, kwanini unataka iwe biashara yake binafsi?
[emoji23]Ni mchumba siyo mke. Somesha mkeo halali ila vijana wa chuo lazima wakapone hosteli huko.
Baishara za kaqaida kwenye ma feemu, duka, stationery uwakala saloon etc.Unaongelea biashara gani? Usijekuwa unachanganya na ile biashara yao pendwa ambayo hujipatia pesa kwa kulala.
Huku wanalala mzee ....Labda wanawake wa buza Kwa mama kibonge mwanamke wa kichaga huwezi kuta kalala dukani miaka Milioni
We jamaa mawazo yako 😀Halaf ukute anamsambwana was mama zuchu Sasa....Tako Kama kichuguu Cha Mbagala...hatari sana
Hao kwenye mshahara midogo anaweza akawa mzuri lakini Maofisini huku wanagongwa sana tena zaidi ya sana.Hata kama anafanya kazi lkn anapata mshahara mbuzi huyo anaweza kuwa mke. Kwasabb hana financial security
tupe_na_muongozo_ukioa_mwanamke_mwenye_kazi_yake_tayari_na_alikuwa_anajitegemea_kiuchumi,vipi_nijiandae_kuachwa..
Kwasabb yupo pale kusukuma muda na siyo biasharaKwanini wanawake hupenda kulala tena chini kabisa kwenye maeneo yao ya biashara?
Unakuta katandika mtandio /kanga analala chini eneo la biashara
Asante mkuuNakubali kwa asilimia zote
Ujiandaye kuleta mrejesho wa majutoNina mpango wa kumfungulia mkewangu biashara, Namuamini mkewangu kitabia sina shakhanae ata kdg.
Sent using Jamii Forums mobile app