Messenger RNA
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 1,411
- 3,712
Hongereni na mwaka mpya.
Nimeona nilete mtazamo wangi kuhusu Mawaziri waliofanya vizuri sana kwa mwaka 2024.
1. Hussein Bashe - Kilimo
2. Dorothy Gwajima - Maendeleo ya jamii.
3. Jerry Silaa (Wa ardhi, nyumba na makazi sio kwenye Wizara ya sasa)
4. Jumaa Aweso-Maji
5. Ummy Mwalimu-Akiwa Afya
6. Innocent Bashungwa-Ujenzi
7. Stergomena Taxi - Ulinzi
8. Mohamed Mchengerwa-Tamisemi
9. Prof. Adolf Mkenda-Elimu
10. Mwigulu Nchemba-Fedha
NB:
Mawaziri wengine wamefanya vizuri lakini si kwa kiwango cha watajwa hapo juu.
Ninaomba kuwasilisha.
Nimeona nilete mtazamo wangi kuhusu Mawaziri waliofanya vizuri sana kwa mwaka 2024.
1. Hussein Bashe - Kilimo
2. Dorothy Gwajima - Maendeleo ya jamii.
3. Jerry Silaa (Wa ardhi, nyumba na makazi sio kwenye Wizara ya sasa)
4. Jumaa Aweso-Maji
5. Ummy Mwalimu-Akiwa Afya
6. Innocent Bashungwa-Ujenzi
7. Stergomena Taxi - Ulinzi
8. Mohamed Mchengerwa-Tamisemi
9. Prof. Adolf Mkenda-Elimu
10. Mwigulu Nchemba-Fedha
NB:
Mawaziri wengine wamefanya vizuri lakini si kwa kiwango cha watajwa hapo juu.
Ninaomba kuwasilisha.