Kumi(10) bora ya Mawaziri waliofanya vizuri sana 2024 hii hapa

Kumi(10) bora ya Mawaziri waliofanya vizuri sana 2024 hii hapa

Hongereni na mwaka mpya.

Nimeona nilete mtazamo wangi kuhusu Mawaziri waliofanya vizuri sana kwa mwaka 2024.

1. Hussein Bashe - Kilimo
2. Dorothy Gwajima - Maendeleo ya jamii.
3. Jerry Silaa (Wa ardhi, nyumba na makazi sio kwenye Wizara ya sasa)
4. Jumaa Aweso-Maji
5. Ummy Mwalimu-Akiwa Afya
6. Innocent Bashungwa-Ujenzi
7. Stergomena Taxi - Ulinzi
8. Mohamed Mchengerwa-Tamisemi
9. Prof. Adolf Mkenda-Elimu
10. Mwigulu Nchemba-Fedha

NB:

Mawaziri wengine wamefanya vizuri lakini si kwa kiwango cha watajwa hapo juu.

Ninaomba kuwasilisha.
Aweso una nyota kali. Maji tunahangaika mjini Dar bado unasifiwa. Sawa bwana.
 
Mama Gwajima anastahili kabisa kuwa miongoni mwa Mawaziri waliofanya vizuri
 
Hongereni na mwaka mpya.

Nimeona nilete mtazamo wangi kuhusu Mawaziri waliofanya vizuri sana kwa mwaka 2024.

1. Hussein Bashe - Kilimo
2. Dorothy Gwajima - Maendeleo ya jamii.
3. Jerry Silaa (Wa ardhi, nyumba na makazi sio kwenye Wizara ya sasa)
4. Jumaa Aweso-Maji
5. Ummy Mwalimu-Akiwa Afya
6. Innocent Bashungwa-Ujenzi
7. Stergomena Taxi - Ulinzi
8. Mohamed Mchengerwa-Tamisemi
9. Prof. Adolf Mkenda-Elimu
10. Mwigulu Nchemba-Fedha

NB:

Mawaziri wengine wamefanya vizuri lakini si kwa kiwango cha watajwa hapo juu.

Ninaomba kuwasilisha.
Nilikuwa natafta jina la Bashe, maadamu halipo list yako naipitisha kWa asilimia zote.

Samia inabidi ashtuke kuhusu haka kafisadi katoto
 
Hongereni na mwaka mpya.

Nimeona nilete mtazamo wangi kuhusu Mawaziri waliofanya vizuri sana kwa mwaka 2024.

1. Hussein Bashe - Kilimo
2. Dorothy Gwajima - Maendeleo ya jamii.
3. Jerry Silaa (Wa ardhi, nyumba na makazi sio kwenye Wizara ya sasa)
4. Jumaa Aweso-Maji
5. Ummy Mwalimu-Akiwa Afya
6. Innocent Bashungwa-Ujenzi
7. Stergomena Taxi - Ulinzi
8. Mohamed Mchengerwa-Tamisemi
9. Prof. Adolf Mkenda-Elimu
10. Mwigulu Nchemba-Fedha

NB:

Mawaziri wengine wamefanya vizuri lakini si kwa kiwango cha watajwa hapo juu.

Ninaomba kuwasilisha.
Takatakaaa
 
Hongereni na mwaka mpya.

Nimeona nilete mtazamo wangi kuhusu Mawaziri waliofanya vizuri sana kwa mwaka 2024.

1. Hussein Bashe - Kilimo
2. Dorothy Gwajima - Maendeleo ya jamii.
3. Jerry Silaa (Wa ardhi, nyumba na makazi sio kwenye Wizara ya sasa)
4. Jumaa Aweso-Maji
5. Ummy Mwalimu-Akiwa Afya
6. Innocent Bashungwa-Ujenzi
7. Stergomena Taxi - Ulinzi
8. Mohamed Mchengerwa-Tamisemi
9. Prof. Adolf Mkenda-Elimu
10. Mwigulu Nchemba-Fedha

NB:

Mawaziri wengine wamefanya vizuri lakini si kwa kiwango cha watajwa hapo juu.

Ninaomba kuwasilisha.
Dr. Dorothy Gwajima naomba awekwe bamba moja hapo juu kabisa! Sister anaupiga mwingi sana! Anayefuatia anatakiwa awe Bashungwa!
 
Wanasema kipindi cha covid alifanya maajabu eti


Mmnh hata angekuwepo mtu mwingine angefanya kama alivyofanya na naamini hata kumzidi yeye alichofanya.
Kwanza hakukuwa na uwazi na ukweli.
Serikali kujitoa kuzika hatari ikawa zaidi kwa wananchi na kudhurika, n.k
 
Back
Top Bottom