Kumruhusu binti akajitafutie maisha ni kumfanya awe Malaya

Hapo mwisho kwnye Mwanaume hana nyumba hata 1 ht alizojenga nimekubali sana mkuu [emoji106][emoji106]
 
Hayo yalikuwa ni ya enzi za Ujima na yaliwezekana kipindi hicho.

Ila sasa mambo yamebadilika, huwezi kumchagulia binti mtu wa kuolewa nae na wala huwezi kumlazimisha kuolewa.

Kwa kifupi uliyoyaandika karibia yote hayawezekani.
Kwa ufupi huyu kijana ni theretical sana.
 
Kuna mtu wangu wa karibu Sana, kamruhusu binti yake kwenda moja ya jiji hapa nchini akatafute maisha binti hana kazi wala biashara,,, aisee ni aibu yani na busara zote ukali misimamo ya yule mzee ila bintiye kamshindwa,, Ni masikitiko
 
Kuna mtu wangu wa karibu Sana, kamruhusu binti yake kwenda moja ya jiji hapa nchini akatafute maisha binti hana kazi wala biashara,,, aisee ni aibu yani na busara zote ukali misimamo ya yule mzee ila bintiye kamshindwa,, Ni masikitiko

😂😂😂
Huko ni kumzingua tuu Binti wa watu.
Rushwa ya ngono kupata kazi,
Kama hajapata kazi, kuanza kujiuza ndio kunafuatia.

Hapo ndipo Waswahili wanapopata hoja kuwa, Kama mkwe wao Hana uwezo waje waishi palepale nyumbani na binti Yao, wakifanya vishughuli vyao vya hapa na pale
 
Nadharia nyingiii
Baadhi nzuri zinatekelezeka
Baadhi hazitekelezeki

Unadhani kuna mtu anapenda maisha ya misukosuko?
Kuandika ni kazi rahisi sana

Una binti?
 
Alhamdullilah umejaaliwa

Maisha yatakuonyesha uhalisia
Mark this thread afu uje uisome wakiwa arnd 30 yrs of age

Maisha yanaongozwa na Supernatural power, hayajiendeshi yenyewe.
Nilichokieleza ndichi kinapaswa kufanywa bila kujali matokeo yatakuwaje.
 
Maisha yanaongozwa na Supernatural power, hayajiendeshi yenyewe.
Nilichokieleza ndichi kinapaswa kufanywa bila kujali matokeo yatakuwaje.
Kupanga ni kuzuri sana
Ila uhalisia wote tunaujua
Na Mungu nae anapanga
Ngoja mabinti wakue kwanza

Saivi ni rahisi kuwasema wa wengine
 
Kupanga ni kuzuri sana
Ila uhalisia wote tunaujua
Na Mungu nae anapanga
Ngoja mabinti wakue kwanza

Saivi ni rahisi kuwasema wa wengine

Sisemi wawengine nasema vile Wababa wanavyotakiwa kuwa Mabaya Kwa kufanya wajibu wao kulinda na kutunza mabinti zao.

Watoto kuharibika 90% wazazi ndio chanzo, mzazi hawezi kukwepa Jambo hilo kivyovvyote.

Kauli za kusema subiri mtoto akue ni Kauli za watu walioshindwa na wenye mtazamo wa kushindwa

Unanikumbusha wakati ninakua nikiwa nawaambia watu sitokunywa pombe wala kuvuta sigara baadhi ya watu wakawa wananiambia vikauli mshenzi Kama vyako,
😂😂

Maisha Kwa sehemu kubwa 90% ni maamuzi na machaguo ya mtu, 10% ni Accidentally.
 
Hata mm siwez kumwacha binti yangu akajitegemee ili hali hana chakufanya wala ajira....ukimwacha unamtengenezea mazingira ya ushawishi natamaa...#kama mm kipindi sina ajira siku achwa nawazazi wangu kwann bint yangu nimwache...#
 
Mi walaaa

Langu moja tu subiri mabinti wakue
Ndipo utaelewa wazazi wengine

Kwa sasa naona bado unajadili the shoes ur not wearing

Pombe na sigara ni maamuzi binafsi mtu unaweza kujidhibiti


Ila hali na tabia ya watoto wako u cant control 100%
Hali yako ya kiafya,kiuchumi na kimaisha wakiwa wakubwa bado hujaijua
Hali ya maisha nchini,duniani ktk soko la ajira,kujiajiri na soko la ndoa bado hujalijua

Langu la mwisho
Tusubiri mabinti wakue

Wakishakua ndio utaelewa

Ni kama vile asiye na mtoto akufundishe kulea mwanao saivi
 
Hata mm siwez kumwacha binti yangu akajitegemee ili hali hana chakufanya wala ajira....ukimwacha unamtengenezea mazingira ya ushawishi natamaa...#kama mm kipindi sina ajira siku achwa nawazazi wangu kwann bint yangu nimwache...#
Akipata ajira mbali na nyumbani asiende?.
 
Mwanamke ananyumba mbili, Kwao na Kwa mume wake. Wakati mwanaume hana nyumba hata moja. Hata alizojenga sio zake
Daaaaah maisha ya mwanaume yamejaa tabu hadi anaingia kaburini
 
Umeshasema akipata ajira, inamaana atakuwa nakitu kinachomuingizia kitasababisha asiwe na tsmaa
Mtoa mada kasema akipata ajira ya mbali asiende ama aende na msindikizaji
Hao wasindikizaji wapo sikuhizi?
 
Mwanamke ananyumba mbili, Kwao na Kwa mume wake. Wakati mwanaume hana nyumba hata moja. Hata alizojenga sio zake
Daaaaah maisha ya mwanaume yamejaa tabu hadi anaingia kaburini
Ujenge afu usipaite kwako
Ni kwako na mkeo
Misalaba mingine mnajibebesha
 
Alhamdullilah umejaaliwa

Maisha yatakuonyesha uhalisia
Mark this thread afu uje uisome wakiwa arnd 30 yrs of age
Nafikir hakuna haja ya kumuapiza mtoa mada. Kimsingi aliyoyaongea yana ukweli kwa kiasi kikubwa. Kwa wanaoishi maeneo ya kinondoni, Sinza Kuna mabinti wengi wamemaliza chuo wamepangisha vyumba wanajitegemea wakiwa hawana kazi maalum. Ni aibu kwakweli, mdada anakuwa na wanaume wengi km Kijiji lkn anakwambia Hana jinsi maana anataka kulipa Kodi, umeme, maji, taka, ulinzi na chakula chake. Ni muhim wasichana kubaki nyumbani mpaka atakapopata shughuli ya uhakika ndo akajitegemee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…