Una nguvu gani wewe?Kwenye madhabahu ya Ngome ya Yesu kwa Kuhani Musa ndipo ndipo nilipomjua YESU aliyehai...
Mpaka sasa nina nguvu za Rohoni sababu ya madhabahu ya hiyo...
Mungu azidi kumbariki Kuhani Musa
Bwana YESU atukuzwe
Za Rohoni au za Roho Mtakatifu...Una nguvu gani wewe?
😂😂😂😂😂nimecheka leo, kama mazuri😂😂😂😂😂. Huyu haja lipa laki mbili, akilipa hyu, anaona uchi wako bila kuvua nguo😂😂😂😂😂mamaeeeZa Rohoni au za Roho Mtakatifu...
Ni na macho ya Rohoni pia...
Acha nisali nilale
Sijalipa hata Senti kumi, nilikuwa naenda ibadani, ila sio kila mara, na nasikiliza neno kwa Tv na Redio...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka leo, kama mazuri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Huyu haja lipa laki mbili, akilipa hyu, anaona uchi wako bila kuvua nguo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mamaeee
Jielimishe kuhusu kukua kiroho,,kwa kimombo huitwa SPIRITUAL AWAKENING. Hautakuja na hizo swaga nyepesi za kukua kiroho.Za Rohoni au za Roho Mtakatifu...
Ni na macho ya Rohoni pia...
Hii ndio maana ya kukua kiroho...
Bwana YESU atukuzwe
Acha nisali nilale
Hizi ni juhudi zangu, za kisikiliza neno na kuliishi na kuomba kwa Imani ..Jielimishe kuhusu kukua kiroho,,kwa kimombo huitwa SPIRITUAL AWAKENING. Hautakuja na hizo swaga nyepesi za kukua kiroho.
Wakristo acha wapigwe,watakuambia Kobaz wanamuonea gereUkifika pale Temboni unataka kumuona Kuhani Mussa Richard, kuna dau kama ilivyo kwa manabii wengine ila jamaa kaongeza kitu kinaitwa FAST TRACK. Hiyo ukitoa haina foleni, ile unamaliza kuhesabu pesa tu huyu hapa anakufanyia maombi.
Ila msisahau kubeba pesa za kununulia vifaa vya kiroho ambayo pia vina grade zake. Kuna vya matokeo ya papo hapo, na vile vya gradually Yaani mdogo mdogo.
Huna akiliKwenye madhabahu ya Ngome ya Yesu kwa Kuhani Musa ndipo ndipo nilipomjua YESU aliyehai...
Mpaka sasa nina nguvu za Rohoni sababu ya madhabahu ya hiyo...
Mungu azidi kumbariki Kuhani Musa
Bwana YESU atukuzwe
Huna lolote wewe,Hizi ni juhudi zangu, za kisikiliza neno na kuliishi na kuomba kwa Imani ..
Huwezi kukua kiroho kirahisi tu, lazima umtafute Mungu kwa bidii zote...
Walio wa Rohoni wanajuana, wewe huwezi nijua maana ni wa mwilini
Tena hao wa makobazi ndio walio na Imani na Yesu, na wanatoa shuhuda hatare[emoji1787][emoji1787]Wakristo acha wapigwe,watakuambia Kobaz wanamuonea gere
Ubarikiwe na MunguHuna lolote wewe,
Nasubiri kwa hamu ujibu swali langu. Je kwa uzoefu wako, kama ukimwomba Mungu kwa imani katika Jina la Yesu bila kutumia hivyo "vifaa vya kiroho", je utajibiwa maombi yako?Hizi ni juhudi zangu, za kisikiliza neno na kuliishi na kuomba kwa Imani ..
Huwezi kukua kiroho kirahisi tu, lazima umtafute Mungu kwa bidii zote...
Walio wa Rohoni wanajuana, wewe huwezi nijua maana ni wa mwilini
Ukiacha kusali humkomoi yeyote ila wewe binafsi.Ndio maana niliacha kusali mimi ah yanini ujinga huo.
Hamna akili wagalatiaNimepitia comments lakin sioni mantiki ya mtu ambae hawezi kutoa hela kumuona kuhani au mtumishi yoyote kumsema vibaya yule ambae yeye binafsi anaweza. halafu hiyo laki2 unayoongelea ndogo sana, usicheze kabisa na imani ya mtu.
Aiseee!
Yaani kumuona akufanyie maombi unalipia?
Yesu alisema umepewa bure toa bure
Math10:8
Kinyume na hapo,siyo maagizo ya Kristo..
Kama si ya Kristo basi ni maagizo toka sehemu nyingine ila siyo kwa Mungu.
[emoji3][emoji3][emoji3]Laki mbili [emoji849][emoji849] yupo uchi au ??
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Laki mbili [emoji849][emoji849] yupo uchi au ??