Kumuona Kuhani Mussa wa Kimara kwa haraka ni Tshs Laki 2

Wajonga ndio waliwao
 
Hapo ni kwa mganga anayetumia biblia
 
Na nyie wafanya hayo bure mjitathimini kama mnacho .mlichopewa

Watu wanakuja kwenu watoa bure hawapati ufumbuzi

Kelele tu ohhh tumepewa bure tunatoa bure kiko wapi hicho mnatoa bure mtu anakuja kwenu haponi ,shida zake hazitoki miaka

Akina Petro walisema kwa yule kiwete kuwa tutazame sisi tuna kitu wakijiamini wana kitu wakasema tulichonacho tunakupa bure kwa Jina la Yesu inuka na kiwete akainuka Sababu akina Petro walijua wana kitu na waweza toa bure bila shida na mtu changamoto yake ikaisha kufumba na kufumbua

Mnacho hicho cha kutoa mtu akija kwenu na mashida kibao kama petro alitamka ? au na nyie matapeli tu hamna hata cha kutoa mnatafuta waumini tu? Matapeli nyie


Na nyie kama hamna kitu cha kutoa kama Petro aliyetamka tulichonacho tunakupa na nyie ni matapeli tu wanaotumia injili kutapeli watu hamna tofauti yeyote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…