Simtukuzi Kuhani Musa, ila nimemuombea abarikiwe, ninamtukuza YESU pekee...Duh, hapo husikii kitu zaidi ya Mussa! Mumeo kazi anayo! Eti madhabahau! Acheni kumtania Mungu!
Mkuu Consutancy fee hiyo!TRA Mkatoze Kodi Kwa Kuhani
[emoji1787]Laki mbili [emoji849][emoji849] yupo uchi au ??
Waumini wote kushiriki hii imekaaje bila kujali huyu ni wawapi yule Yuko wapi wote kua pamojaDuh, hapo husikii kitu zaidi ya Mussa! Mumeo kazi anayo! Eti madhabahau! Acheni kumtania Mungu!
AmenNishazoea kuitwa hivyo ..
Ukiongea mambo ya Rohoni lazima uitwe chizi ni kawaida sana...
Kwaajili ya Imani yangu kwa Yesu Kristo hata ukinitukana zaidi ya hapo...
Bado nitakuwa imara...
Wala mimi sio Mtakatifu, Mtakatifu ni Yesu Kristo pekee yake..Anajifanya mtakatifu mnoo.
Wai mirembeNishazoea kuitwa hivyo ..
Ukiongea mambo ya Rohoni lazima uitwe chizi ni kawaida sana...
Kwaajili ya Imani yangu kwa Yesu Kristo hata ukinitukana zaidi ya hapo...
Bado nitakuwa imara...
Wajonga ndio waliwaoUkifika pale Temboni unataka kumuona Kuhani Mussa Richard, kuna dau kama ilivyo kwa manabii wengine ila jamaa kaongeza kitu kinaitwa FAST TRACK. Hiyo ukitoa haina foleni, ile unamaliza kuhesabu pesa tu huyu hapa anakufanyia maombi.
Ila msisahau kubeba pesa za kununulia vifaa vya kiroho ambayo pia vina grade zake. Kuna vya matokeo ya papo hapo, na vile vya gradually Yaani mdogo mdogo.
Hapa sijaelewa nini ulimaanisha mkuuView attachment 2815885
Aliyekataza wasitoze watu pesa ndiye wanasingizia kuwa wanamtangaza.
Kama wangekuwa wanamtangaza yeye wangeacha uzinzi na wasingetoza watu pesa
Kuhani namheshimu ..Ogopa sanaa vitu viwili kwa mkeo ...
1. Mchungaji wangu
2. Bodaboda wangu
#YNWA
Kwenye madhabahu ya Ngome ya Yesu kwa Kuhani Musa ndipo ndipo nilipomjua YESU aliyehai...
Mpaka sasa nina nguvu za Rohoni sababu ya madhabahu ya hiyo...
Mungu azidi kumbariki Kuhani Musa
Bwana YESU atukuzwe
Hapo ni kwa mganga anayetumia bibliaUkifika pale Temboni unataka kumuona Kuhani Mussa Richard, kuna dau kama ilivyo kwa manabii wengine ila jamaa kaongeza kitu kinaitwa FAST TRACK. Hiyo ukitoa haina foleni, ile unamaliza kuhesabu pesa tu huyu hapa anakufanyia maombi.
Ila msisahau kubeba pesa za kununulia vifaa vya kiroho ambayo pia vina grade zake. Kuna vya matokeo ya papo hapo, na vile vya gradually Yaani mdogo mdogo.
Tuma Hela!Picha za kuhani tafadhali
Jamani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tuma Hela!
Na nyie wafanya hayo bure mjitathimini kama mnacho .mlichopewaMUNGU si kigeugeu.
Hawezi kupingana na neno lake.
Kama kuna mtu anawatoza pesa kwa njia yoyote ile ili awape vifaa vya kiroho huyo ni wakala wa Ibilisi haijalishi watu wanapona au la.
My father ni mganga nguli mpaka vichaa wanapona kwahiyo uponyaji sio kigezo kusema fulani ana MUNGU.
Muda mwingine muache kuenenda kwa hisia .
View attachment 2815751
Ongezea kukosa maarifa, akili, busara, hekima!!!Mi ni binadamu nimepungukiwa na utukufu
Nakukatalia ..Ongezea kukosa maarifa, akili, busara, hekima!!!