Kwenye bill ya maji, siyo? ili twende sawa na walipaji wa bill ya umeme..........ngoja nimwite fasta waziri wa tozo aje achukue hapa chanzo kingine cha mapato, si bure wewe utakuwa na undugu na Zungu, maana si kwa kubuni huku vyanzo vipya vya mapato............ππππππππbora tozo ya vidole hapa wanaangalia ka uwezekano ka kuipachika tozo kwenye bill ya maji
Acheni nyie sio kila vazi linamfaa mtu hasa hizi readymadeWalioandaa ziara hawakujua kuwa rais atalazimika kuvaa life jacket wakaandaa size yake? Convoy ya logistic bado wapo kwenye ziara au ndio kuhujumiana kwenyewe. Aliyemvisha hakumtendea haki kabisa.
Kweli kabisa. Nampenda sana maza. Inaniuma watu wakimkosea heshima. Maza atatuvukisha tu na atamuachia huru waziri wetu mkuu ndugu Freeman Aikael Mbowe.Wamuache mama ajenge nchi jamani.
HahahahaMimi hapo naona Rais ndiyo amelibana life jacket.
SamiaphobiaWalioandaa ziara hawakujua kuwa rais atalazimika kuvaa life jacket wakaandaa size yake? Convoy ya logistic bado wapo kwenye ziara au ndio kuhujumiana kwenyewe. Aliyemvisha hakumtendea haki kabisa.
Samia anachezewa sana na watu wanaomzunguka yeye hajui tu!Walioandaa ziara hawakujua kuwa rais atalazimika kuvaa life jacket wakaandaa size yake? Convoy ya logistic bado wapo kwenye ziara au ndio kuhujumiana kwenyewe. Aliyemvisha hakumtendea haki kabisa.
π π πππππππππbora tozo ya vidole hapa wanaangalia ka uwezekano ka kuipachika tozo kwenye bill ya maji
Kwakweli wamuache mama.Kweli kabisa. Nampenda sana maza. Inaniuma watu wakimkosea heshima. Maza atatuvukisha tu na atamuachia huru waziri wetu mkuu ndugu Freeman Aikael Mbowe.
Lack or seriousness (or) otherwise..... Totally unacceptable.Walioandaa ziara hawakujua kuwa rais atalazimika kuvaa life jacket wakaandaa size yake? Convoy ya logistic bado wapo kwenye ziara au ndio kuhujumiana kwenyewe. Aliyemvisha hakumtendea haki kabisa.
Juzi hapa alisema wasichana wanaofanya mazoezi wanapoteza matiti lazima tufikirie hayo kwa kuwa wanaweza wasiolewe. Labda kuna mtu mtundu alitaka kumuonyesha kuna faida za kuwa na matiti madogoπππWalioandaa ziara hawakujua kuwa rais atalazimika kuvaa life jacket wakaandaa size yake? Convoy ya logistic bado wapo kwenye ziara au ndio kuhujumiana kwenyewe. Aliyemvisha hakumtendea haki kabisa.
Yani leo ndiyo day one kwenye Royal Tour tumeanza kwa kuionyesha dunia kijast bikozi.Mwezi wa 8 2021 Tanzania imekuwa ya kutoa maboko hadharani ulimwengu ujionee wenyewe. "Loyal toul"
Twiga Stars hoyeeeeee πJuzi hapa alisema wasichana wanaofanya mazoezi wanapoteza matiti lazima tufikirie hayo kwa kuwa wanaweza wasiolewe. Labda kuna mtu mtundu alitaka kumuonyesha kuna faida za kuwa na matiti madogoπππ