Kuna aliyewahi kupata mapenzi humu?

Kuna aliyewahi kupata mapenzi humu?

Mimi nilipata mke humu na tulifunga ndoa na sasa tunafamilia kubwa ya watoto wawili wazuri wa kiume.

Na ni mke mwema. Tena ni member wa siku nyingi humu jf, mnataka niwatajie ID yake?

Mke mwema au mume mwema anapatikana popote haijalishi ni jf au fb au insta , kanisani, disco, tamashani ,ila ni wewe na MUNGU wako, ukikaa sawasawa na MUNGU wako atakupa wa kufanana na wewe toka popote pale atakapo kuwepo.

Jiondolee mipaka.
Hongereni
 
Unapata tena mke mwema kabisa
 
Nahisi wapo, nina ID yangu ya kike kuna PM nyingi za wanaume humu na namba zao za simu wa etuma ila nawazungusha. Kama kweli ningekuwa dem ningewakubali walao wawili.
Hiyo ID ina Followers, wakati hii ni ya kitambo sina follower hata mmoja.
Kwahiyo mkuu unafurahia kutongozwa
 
Natamani sana nipate japo mmoja please just mmoja tu. Ajitokeze
 
Nahisi wapo, nina ID yangu ya kike kuna PM nyingi za wanaume humu na namba zao za simu wa etuma ila nawazungusha. Kama kweli ningekuwa dem ningewakubali walao wawili.
Hiyo ID ina Followers, wakati hii ni ya kitambo sina follower hata mmoja.
Unaona raha kutongozwa na wanaume wenzio[emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2297]
Jesus have mercy.
 
Niliwahi kumpata mdada humu mzuri,bahati mbaya ulikuwa msimu wa korona sina pesa na kazi nilikua nimesimamishwa...

E popote ulipo nakukumbuka mama.
[emoji4][emoji4][emoji4]
 
Back
Top Bottom