amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,132
- 31,149
Sasa nitajie bwanako anaitwa nani?[emoji23][emoji23]wee yule ni best friend ujue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa nitajie bwanako anaitwa nani?[emoji23][emoji23]wee yule ni best friend ujue
JamaniHivi warumi alikuwa celebrity?
Watajuanaa leoYeah mbona mimi ninao wengi tu hapa JF. Sema hawajuani.
NdiyoHusika na kichwa cha habari hapo juu
Kuna waliowahi kukutana humu na kuwa wapenzi ukweli ukweli?
HongereniMimi nilipata mke humu na tulifunga ndoa na sasa tunafamilia kubwa ya watoto wawili wazuri wa kiume.
Na ni mke mwema. Tena ni member wa siku nyingi humu jf, mnataka niwatajie ID yake?
Mke mwema au mume mwema anapatikana popote haijalishi ni jf au fb au insta , kanisani, disco, tamashani ,ila ni wewe na MUNGU wako, ukikaa sawasawa na MUNGU wako atakupa wa kufanana na wewe toka popote pale atakapo kuwepo.
Jiondolee mipaka.
Kwahiyo mkuu unafurahia kutongozwaNahisi wapo, nina ID yangu ya kike kuna PM nyingi za wanaume humu na namba zao za simu wa etuma ila nawazungusha. Kama kweli ningekuwa dem ningewakubali walao wawili.
Hiyo ID ina Followers, wakati hii ni ya kitambo sina follower hata mmoja.
Ili tushee tena[emoji23]Sasa nitajie bwanako anaitwa nani?
Nitaje kuwa ni mm tuone[emoji4][emoji4]Ili tushee tena[emoji23]
Akuu sikwambii
[emoji23][emoji23]atakuja tuUngemuitaa kwa kuongeza kuwa amu njoo umuone bebe kajiletaa na hapendagi mazoea kwa bebe wake
Ngoja akute na makopaa kopaaa[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji23][emoji23]atakuja tu
Mimi na mchumba humu sema anawivuu sanaHusika na kichwa cha habari hapo juu
Kuna waliowahi kukutana humu na kuwa wapenzi ukweli ukweli?
Unaona raha kutongozwa na wanaume wenzio[emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2297]Nahisi wapo, nina ID yangu ya kike kuna PM nyingi za wanaume humu na namba zao za simu wa etuma ila nawazungusha. Kama kweli ningekuwa dem ningewakubali walao wawili.
Hiyo ID ina Followers, wakati hii ni ya kitambo sina follower hata mmoja.
Nakukumbuka pia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Niliwahi kumpata mdada humu mzuri,bahati mbaya ulikuwa msimu wa korona sina pesa na kazi nilikua nimesimamishwa...
E popote ulipo nakukumbuka mama.
[emoji4][emoji4][emoji4]Niliwahi kumpata mdada humu mzuri,bahati mbaya ulikuwa msimu wa korona sina pesa na kazi nilikua nimesimamishwa...
E popote ulipo nakukumbuka mama.