Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Hivo hivo unamuona mtu mzuri unatamani akukuleMfano kwangu mimi labda niseme naweza muona mwanamke mzuri ameumbika nikajikuta ghafla nimetamani kumla.. sasa unataka kuniambia na nyie wanawake mnavutiwa na wanaume wazuri kama sisi tunavyovutiwa na wanawake wazuri??
Mi sitaki kuamini hivo, nahisi wanawake mna vipaumbele vyenu vya tofauti na mimi sipendi kuwaweka kwenye mizani moja.
Mwanamke haridhiki labda aamue kukuheshimu. Ukimkuna vzr, atatamani mwenye pesa. Ukimuhonga sana atatamani showshowHili ni swali ambalo wanaume tumekuwa tunalitafutia majibu kutoka kwa wanawake. Mfano, kwa mwanamke ukiwa kwenye relation na mtu ambaye anakuridhisha sana kitandani, ni sababu ipi inaweze kupelekea uka cheat mbali na wewe kuridhishwa kimapenzi?
Nikiweka other factors constant, mfano kama mpenzi wako pia amekuwa na uwezo wa kutatua changamoto zako za kifedha japo sio zote (mwanaume mwenye uchumi wa kawaida kukuhudumia shida zako walau kwa asilimia 55)
Mtu wa namna hiyo, kuna asilimia ngapi za wewe kuweza kumcheat na sababu inakuwa ni nini haswa?
Nawasilisha
Ukimpa vyote hapo juu, ataona unamkamia sababu ya pesa na ubabe kitandani. Atatafuta mwingineNi kweli na kama hilo suala ni jipya duniani bhasi wanawake wasingekeketwa enzi hizo ili kuwaondolea hamu na ladha ya tendo la ndoa kiasi cha kutoweza kucheat.
Kwa hiyo toka enzi na enzi, mtu akishaweza kuwa na mahusiano mengi kabla ya ndoa inamaanisha anakuwa analinganisha alicholipata, anachokipata na ambacho anaweza kukipata kama ataingia tena mjini.
Kwa hiyo binadamu wa aina hiyo ni kiasi cha kujituliza kwa kuridhika na anachokipata
Silika ya mtuDaaah hiyo ya huruma inatia hasira kweli ... hapo mwanamke unakuwa umeambiwa nini mpaka upate huruma kiasi hicho??
Walau unahoja mkuu (kweli kabisa mwadamu haridhishwi isipokuwa anaamua mwenyewe kurithika na pia mke kuchepuka inategea hofu ya Mungu alonayo na anamuheshimu MUME wake kiasi gani....Unadhani bado upo kwenye dunia ambayo sex ni mwiko kwa mwanamke kabla ya ndoa. Pole sana
Nikusaidie tu. Binadamu haridhishwi, Ila anaamua kuridhika na kutosheka
Binadamu hatulizwi, Ila anajituliza
Kwa hiyo kama bado unafikiri kuwa fundi na kutoa pesa umemaliza. Pole sana kwa sababu binadamu yoyote ana tabia ya kukinai na kukichukulia poa kile anachokipata daily. Hivyo kiu ya kupata kitu kipya au tofauti huwa ni kawaida sanaa
Kwa hiyo ni kheri hata wenye hofu ya Mungu au wenye upendo mkubwa kwako watajizuia.. Ila wengine mkuu, hesabu maumivu
Walau unahoja mkuu (kweli kabisa mwadamu haridhishwi isipokuwa anaamua mwenyewe kurithika na pia mke kuchepuka inategea hofu ya Mungu alonayo na anamuheshimu MUME wake kiasi ganiUnadhani bado upo kwenye dunia ambayo sex ni mwiko kwa mwanamke kabla ya ndoa. Pole sana
Nikusaidie tu. Binadamu haridhishwi, Ila anaamua kuridhika na kutosheka
Binadamu hatulizwi, Ila anajituliza
Kwa hiyo kama bado unafikiri kuwa fundi na kutoa pesa umemaliza. Pole sana kwa sababu binadamu yoyote ana tabia ya kukinai na kukichukulia poa kile anachokipata daily. Hivyo kiu ya kupata kitu kipya au tofauti huwa ni kawaida sanaa
Kwa hiyo ni kheri hata wenye hofu ya Mungu au wenye upendo mkubwa kwako watajizuia.. Ila wengine mkuu, hesabu maumivu
Kwani umefunga nae ndoa!?Hili ni swali ambalo wanaume tumekuwa tunalitafutia majibu kutoka kwa wanawake. Mfano, kwa mwanamke ukiwa kwenye relation na mtu ambaye anakuridhisha sana kitandani, ni sababu ipi inaweze kupelekea uka cheat mbali na wewe kuridhishwa kimapenzi?
Nikiweka other factors constant, mfano kama mpenzi wako pia amekuwa na uwezo wa kutatua changamoto zako za kifedha japo sio zote (mwanaume mwenye uchumi wa kawaida kukuhudumia shida zako walau kwa asilimia 55)
Mtu wa namna hiyo, kuna asilimia ngapi za wewe kuweza kumcheat na sababu inakuwa ni nini haswa?
Nawasilisha
Kilitokea nini mkuu?Siko mbali kuna mchangiaji mmoja kazungumza kitu kimoja "binadamu tunatabia ya Kuchoka ya kukinai kile kitu ambacho tu nakutumia Kila siku"
Nikupe testimony nilikuwa na mpenz wangu tulikuwa tunafanya mapenz Ata mara tano kwa sikušsiku moja akaniambia "nimekinai akaongezea jitahidi uwe unakaa Ata mwez ndo unakuja kunitembelea" mimi nikapuuzia kilicho Kuja kutokea itabaki stort mkuuš
Nikusanue tu mjomba angu.Hili ni swali ambalo wanaume tumekuwa tunalitafutia majibu kutoka kwa wanawake. Mfano, kwa mwanamke ukiwa kwenye relation na mtu ambaye anakuridhisha sana kitandani, ni sababu ipi inaweze kupelekea uka cheat mbali na wewe kuridhishwa kimapenzi?
Nikiweka other factors constant, mfano kama mpenzi wako pia amekuwa na uwezo wa kutatua changamoto zako za kifedha japo sio zote (mwanaume mwenye uchumi wa kawaida kukuhudumia shida zako walau kwa asilimia 55)
Mtu wa namna hiyo, kuna asilimia ngapi za wewe kuweza kumcheat na sababu inakuwa ni nini haswa?
Nawasilisha
Kwa mwanamke atakupenda kama utampa malazi, watoto, pesa, that's 99.9%. Kumridhisha that's only 0.1%. Bisha uone!Hili ni swali ambalo wanaume tumekuwa tunalitafutia majibu kutoka kwa wanawake. Mfano, kwa mwanamke ukiwa kwenye relation na mtu ambaye anakuridhisha sana kitandani, ni sababu ipi inaweze kupelekea uka cheat mbali na wewe kuridhishwa kimapenzi?
Nikiweka other factors constant, mfano kama mpenzi wako pia amekuwa na uwezo wa kutatua changamoto zako za kifedha japo sio zote (mwanaume mwenye uchumi wa kawaida kukuhudumia shida zako walau kwa asilimia 55)
Mtu wa namna hiyo, kuna asilimia ngapi za wewe kuweza kumcheat na sababu inakuwa ni nini haswa?
Nawasilisha
Hawa akili yao wataalam washasema haieleweki na hawajui wanataka nini hasa.Hili ni swali ambalo wanaume tumekuwa tunalitafutia majibu kutoka kwa wanawake. Mfano, kwa mwanamke ukiwa kwenye relation na mtu ambaye anakuridhisha sana kitandani, ni sababu ipi inaweze kupelekea uka cheat mbali na wewe kuridhishwa kimapenzi?
Nikiweka other factors constant, mfano kama mpenzi wako pia amekuwa na uwezo wa kutatua changamoto zako za kifedha japo sio zote (mwanaume mwenye uchumi wa kawaida kukuhudumia shida zako walau kwa asilimia 55)
Mtu wa namna hiyo, kuna asilimia ngapi za wewe kuweza kumcheat na sababu inakuwa ni nini haswa?
Nawasilisha
Na hii nayo ni hoja mkuu"Hili ni swali ambalo wanaume wapumbavu wanalitafutia majibu"
Mwanamke anatoka nje ya ndoa sababu ajiheshimu, hii sio miaka ya kufuatana na wanawake, ni kufanya vizuri kama Baba kila eneo lako, wakiamua kutoka nje wewe Fanya sala basi na lea watoto!
Hawa ndio watoto wa afmbiliš¤£Akiwa ananicheat namcheat na yeye kupunguza maumivu tena namcheat kwa kutumia pesa zake natft mme aliyemzidi kila kitu
Fafanua braza!!!Kwa mwanamke atakupenda kama utampa malazi, watoto, pesa, that's 99.9%. Kumridhisha that's only 0.1%. Bisha uone!
Ya MUngu mengi....unaweza kumridhisha mbele akaogopa kukujuza MPALANGENI hivyo akachepuka...Hili ni swali ambalo wanaume tumekuwa tunalitafutia majibu kutoka kwa wanawake. Mfano, kwa mwanamke ukiwa kwenye relation na mtu ambaye anakuridhisha sana kitandani, ni sababu ipi inaweze kupelekea uka cheat mbali na wewe kuridhishwa kimapenzi?
Nikiweka other factors constant, mfano kama mpenzi wako pia amekuwa na uwezo wa kutatua changamoto zako za kifedha japo sio zote (mwanaume mwenye uchumi wa kawaida kukuhudumia shida zako walau kwa asilimia 55)
Mtu wa namna hiyo, kuna asilimia ngapi za wewe kuweza kumcheat na sababu inakuwa ni nini haswa?
Nawasilisha
Faiza hakuna mwanaume anayecheat, kucheat ni term inawahusu wanawake tuKwani wanaume wanao "cheat" huwa hawaridhishwi na wake zao?