Kuna baadhi ya Vijana wa Chuo ni wajinga sana

Dah.. eti Boston state?!??!! Tangu lini?
 
Sio wanafuzi tu wa vyou hata wahitim wa vyuo Hawana maarifa yoyote ya utatuzi wa chagamoto zilizomo kwenye jamii zao. Wingi waishia kujitenga na jamii zao akifikiri kwa kuwa wamesema Hawana cha KUJIFUZA kwa watu ambao hawajasoma. NDIO MAANA WASOMI WENGI WAKO MIJINI WAKIZUNGUKA NA FILI YA VYETI KUTAFUTA KAZI. NA WENGINE WAKIGEUZWA KUWA CHAWA ILI WAJE WAPATE NAFASI ZA KUIBA KODI ZA WANANCHI. TANZANIA WATU HAWAELIMIKI BALI WANAKUWA INDOCTRINATED
 
Nakubaliana na wewe mkuu!
 
Msomi mzima unatapeliwaje?
Usomi haukuondoi kwenye ubinadamu......nje ya elimu yako wewe ni binadamu kama yule mwanakijiji wa Misungwi......na mwanadamu mapungufu kaumbiwa.......na matapeli mara nyingi wanatumia mapungufu yako kutimiza azima zao......

Kwa mfano mtu anajifunga kana kwamba ana kidonda kibichi akiomba msaada wa matibabu kwa haraka haraka ni vigumu kuthibitisha madai yake
 
Bila shaka mtoa mada wewe ndo mjinga, approach uliyotumia kwenye mazingira ya mtu msomi unaonekana you are still stupid. Unagawa PC kama wauza kahawa wa kariakoo.
If it was an outreach ungefuata utaratibu, uongozi wa chuo upo, uongozi wa wanafunzi upo.
Unaleta Conservatism in a civilised environment. Unasimamisha watu ovyo barabarani then unawaita stupid.
 
Kumbuka mleta mada anajiita tukana uone
 
Wewe sidhani kama kichwa chako kina Ubongo,yawezekana umebeba Tongotongo kichwani!

Hasira zako za kutokula kampelekee bwana yako!
 
😂matapeli ndo wanafanya tusimpe mda yoyote anaetaka kutuletea stori njiani
Hii nadharia ukiwa nayo mkuu itakupeleka mbali mnoo na utashinda!.

Nadhani hii ukipeleka kwa mademu pia hutokufa kwa ngoma maana kila manzi utakayemuona barabarani utakuwa unamuona kama kaungua!,Hongera kwako🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…