Kuna baadhi ya Vijana wa Chuo ni wajinga sana

Kumbe ni miradi😆😆 bas sawa ndugu
Ni msaada maalumu kwa ajili ya wanafunzi,wewe pambana na umasikini wako mkuu!

Au endelea kubeti ipo siku utatoboa kwa kujifariji!
 
Marekani yote HAKUNA State inayoitwa Boston
 
1. Vile haviitwi vizimba, vinaitwa vimbweta.

2. Wanafunzi wa UDSM hawajapauka, hata mtu awe na shida kuna mazingira mazuri ya kuishi nazo.

3. Kwa matukio ya utapeli yaliyowahi kutokea, wewe ni mtu ambaye hukutakiwa kuaminiwa kwa namna yoyote ile. Tena watu kama nyinyi huwa mnatolewa mfano kabisa wakati wa orientation.
 
Niunganishe na huyo msweden-tanzanian
tuwasiliane boss 0767911491
pm aifunguki
 
Kama ulitapeliwa na elimu yako,basi wewe ni ZEZETA LA KIMATAIFA
 
Mkuu mimi ninaona njia uliyotumia haikua sahihi sana hasa ulimwengu wa sasa ambao uaminifu umekua jambo gumu kidogo

Ungetafuta uongozi wa chuo mfano dean of students au serikali ya wanafunzi wao wanawafahamu baadhi ya wanafunzi wenye uhitaji mkubwa wa fedha na hizo laptop labda hawana mikopo na wenda wametoka familia ambazo kikawaida zinashindwa kuwatimizia mahitaji kama hayo

Ungeomba uongozi ukukutanishe na hao wanafunzi kisha uzungumze nao, binafsi naona kazi yako ingekua nyepesi na ungefikia kundi husika la wahitaji ambayo ndio target kubwa ya huyo mtoa msaada

Kwa njia uliyotumia ni wazi kwamba kuna watu walinufaika na huo msaada wakati kimsingi sio walengwa wakuu

Kingine hizo dola 500 ungemshauri mtoa msaada azielekeze kuwalipia ada baadhi ya wanafunzi ambao wanakwama kabisa kulipa ada na wenda kusitisha masomo kwaiyo hapo kungekua na wanufaika wa hizo laptop na wanufaika wa ada (baada ya kujihakikishia kwamba ni wahitaji ungewaomba control namba zao kisha ungewalipia na kuwakabidhi pay in slip)

Maoni yangu ni hayo mkuu kama nimeongea kinyume na mapenzi yako basi unisamehe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…