Kuna baadhi ya wazazi wanaishi kwa siri na maumivu makubwa. Wanatamani wawaombe watoto wao msamaha lakini hawajui waanzeje

Dah nimeandika comment ndefuu ya kufarijiana lkn nimefuta nimeiona kama haifai, ila tunapaswa kujua tunaishi kwenye Dunia inayo chukua njia yake kutokana na asili we can't change our fate(Sijui niiwekeje hii ili nieleweke). Samehe maisha yaendelee, ngoja niishie hapa japo Nina mengi ya kusema.
 
Aisee Mkuu natamani kuonana na Wewe still na face some trials nashukuru kuna dogo alinipa namba yako naweza kukucheki next week kuna mambo fulani naweza nikapata connection ili kufanikisha
Karibu sana sana siku hizi sipo Kilingeni Msata tena nipo mjini karibu na lile jumba jeupe😀
 
Andika kadiri uwezavyo.. Kuna tiba ya ajabu kwenye maandishi hasa kiroho
 
Sahihi kabisa
 
Karibu sana sana siku hizi sipo Kilingeni Msata tena nipo mjini karibu na lile jumba jeupe😀
Sio mambo ya Kilingeni Mkuu, nadhani unaweza ukanisaidia mahala fulani ili kupata connection fulani namba ninayo yako nitakucheki tu
 
Habari mbaya ni kuwa kuna uwezekano wa kuendeleza cheni ya utelekezaji kama ulitelekezwa. Ni rahisi aliyetelekezwa kutelekeza kuliko ambaye hakutelekezwa, isipokuwa kwa wale waliotambua trauma zao na kuamua kupona na kurekebisha kwaajili ya wengine.

Kuna vitu tunasema ile koo ina laana, si kweli kuwa ni laana bali ni trauma response zinazotengeneza tabia za kufanana kati ya wahusika na tabia zao kupelekea matokeo yakufanana.

Most of broken people wanatokea kwenye broken families. Get healed before starts a family.

Many of us carries down our issues to our children rather than addressing them and rise our kids better than we were raised.
 
Your browser is not able to play this audio.
 
Manyanza hii link haifunguki mkuu
 
Aisee Mkuu natamani kuonana na Wewe still na face some trials nashukuru kuna dogo alinipa namba yako naweza kukucheki next week kuna mambo fulani naweza nikapata connection ili kufanikisha
Nimefanikiwa kuisoma ile mada jitahidi tuwasiliane
 
Mzee wako utakua unamuonea bure, unaweza kuta chanzo cha matatizo yote ni Mama yako, sasa bora.ukae chini na mama yako akupe ukweli wote!!
 
Piga chini Haina haja ya kuwa na mahusiano na mtu asiye kupenda yeye anapenda pesa tu
 
Wahi kamsalimie kabla hajanyamaza ukajilaumu!!

Usiishie kulaumu wazee kina mama wanazingua sana haha maisha!!
Wanawake ndiyo chanzo sema wengi wanaficha, mi nina kijana mkubwa tu kaletwa ukubwani eti anataka kujua kwa nini sikuwepo katika maisha yake ya ukuwaji!? Mi mbele ya Mama yake nikamwambia hilo swali jibu lake analo Mama yako, nikamwambia haya Mama mjibu mwanao, kweli Mama mtu akajibu kua yule Baba aliyemlea alijipendekeza na maokoto kwake ikabidi na mimba ampee yule baba mwenye maokoto, na kipindi hicho mi bado niko shule sina mipango,Mama mtu ndiyo akaamua kunitosa na kuambatana na jamaa mwenye maokoto! Sasa mimi kama Baba mzazi hapo nina makosa gani ikiwa umasikini wangu ndiyo ulifanya hadi nikafichwa mtoto wangu!!? Kijana alibaki kimya hana la kusema zaidi ya kusema lakini Mama wwe ndiyo mwenye makosa, Baba wala hana makosa! Ila nikamwambia kijana kua hata Mama yako hana makosa, maana alipambana ili wwe ukuwe kwenye maisha bora,kwa hiyo usimlaumu sana!!
 
Kuna unafuu kidogo kama huyo mtoto/watoto huko wanakolelewa wakapata mapenzi kama ya mzazi halisi
Nakazia!

Mama wadogo wanatusimanga mimi na mke wangu eti kwa vile alikuja kwangu akiwa na mtoto mdogo! Nimewaambia waishie huko huko na ujinga wao maana na wenyewe siyo wasafi kama wanavyotaka kutudangaanya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…