MAKONGOLOSII
JF-Expert Member
- Jul 31, 2024
- 413
- 640
Dah nimeandika comment ndefuu ya kufarijiana lkn nimefuta nimeiona kama haifai, ila tunapaswa kujua tunaishi kwenye Dunia inayo chukua njia yake kutokana na asili we can't change our fate(Sijui niiwekeje hii ili nieleweke). Samehe maisha yaendelee, ngoja niishie hapa japo Nina mengi ya kusema.