Mademoiselle
JF-Expert Member
- Jul 11, 2022
- 704
- 2,842
Kiujumla adui akitaka kupiga taifa, anaanzia kwenye unit ya taifa ambayo ni familia. Case zote hapa ni vita ya uzao wa mwanamke. Laana ile iliyotolewa pale bustanini. Uzao unalengwa kila leo ndo maana mara divorces, kataa ndoa, machukizo ya uharibifu, madawa ya kulevya, and many more. Mungu aturehemu sana maana kama kuna moto kweli basi kitaumana sana siku hiyo. Wanawake kwa wanaume, wababa kwa wamama, wote tunayo hatia ya kutosimama katika kuwajibika irrespective of the situation.
Na kwa yanayoendelea saivi ya single parenting hasa kwa wanawake sijui itakuwaje. Na sio kwamba wanawake ni victims, labda 20% tu, wengi ni masterminds. Yote kwa yote, pray to God, wewe baba, mama, kaka, dada hata kama kumetokea nini, simama vizuri kumlea mtoto wako. Ila duniani saivi kuna michanganyo mweee, ee Bwana tusaidie 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Na kwa yanayoendelea saivi ya single parenting hasa kwa wanawake sijui itakuwaje. Na sio kwamba wanawake ni victims, labda 20% tu, wengi ni masterminds. Yote kwa yote, pray to God, wewe baba, mama, kaka, dada hata kama kumetokea nini, simama vizuri kumlea mtoto wako. Ila duniani saivi kuna michanganyo mweee, ee Bwana tusaidie 🙏🏽🙏🏽🙏🏽