Kuna bia za kike na za kiume?

Wakati wa kabla ya TBL kuchukuliwa na makaburu, kulikuwa na Safari Lager ike ya "Mtikila".

Ile ndiyo ilikuwa beer yangu.

Bia ilikuwa na heshima yake ukinywa ile watu wanauliza "Wewe unakunywa bia hiyoo?"
Safari za sasa kuna namna hazina ule ubora wa zamani 🤔
 
mchagua bia si mlevi gentleman 🐒
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…