Hii bia sijaiona labda kwetu Kanda ya ziwa hazifikiDaa umenikumbusha huyu MWAMBA aisee, sijui kapotelea wapi.
View attachment 3224982
Sinywi bia bar hiyo ni kanuni yangu ya kwanza bwasheeUtakuwa mchoyo wa kutoa bia
Dah ni zaidi ya hatari kunywa pombe kwa kiwango chochote huku unaendesha mkuu.Wapo wanawake wanao kunywa magic moments 750mls peke yao na Wana drive safely home.
Wine sioSinywi bia bar hiyo ni kanuni yangu ya kwanza bwashee
Kama uko Dar nitakuchek tupige bia mkuuDah ni zaidi ya hatari kunywa pombe kwa kiwango chochote huku unaendesha mkuu.
Nilipo kunywa pombe bar ni risk na gharama zaidi ya kunywea nyumbani kwako , hiyo kanuni nimeizoea mwisho wa siku ikawa tabia yangu.Wine sio
NimekuonaHiyo ni mitazamo tu kwa sababu bia zote za light kwa sababu zina kilevi kidogo na laini zinachukuliwa ni za kike.
Na zile zenye kilevi kikubwa na nzito lagers zinachukuliwa ni za kiume .
Ila mtu yeyote anaweza tumia bia yoyote tu kulingana na matakwa yake.
Hakika mkuu [emoji419][emoji419][emoji375]Yeah hata kibiologia tu mwanamke ana athirika na pombe haraka kuliko mwanaume , hivyo hata mimi namchukulia ni mlevi .
Nipo mkoani mkuu siku nikifika dar nitawatafuta wadau tuchuje nafaka.Kama uko Dar nitakuchek tupige bia mkuu
Wapi?Nimekuona
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wanaume hatuna hiyo clit kwahyo ilo sio swali, neeeext kwesheni please.
Hakika mkuuNipo mkoani mkuu siku nikifika dar nitawatafuta wadau tuchuje nafaka.
Dah pombe ni tamu sana , sijui hawa digidigi waliweka nini humu😊Wine sio
kwamba wanya pombe wanatoa harufu mbaya?Kwa Nini mkuu, mfano bia Zina harufu mbaya..
Ukimuongelesha mtu kwa ukaribu pia jasho mkipishana unaona kabisa huyu ni mlevi..
Kuna wanao kunywa spirit tuu, wine TU, imported beer tuu na wale wa local beer bila kusahau banana,ulanzi, GONGO, chimpumu, niagieni e.t.c 😊😊
Kwenye uzi wa wanywaji na waleviWapi?
Mi sijui mkuu🥴kuna ukweli kwenye hilo?
Anko nikumbushe kinywaji chako pendwa
InapenddzaNilipo kunywa pombe bar ni risk na gharama zaidi ya kunywea nyumbani kwako , hiyo kanuni nimeizoea mwisho wa siku ikawa tabia yangu.