Nyarupala
JF-Expert Member
- Jun 2, 2024
- 494
- 856
Vijana hicho kitu hawazingatii sasa, ndyo shida iliyopoKaka kuna pombe kali zina viwango bora ukizingatia mlo maji ya kunywa na mazoezi pombe kali ni bora kiafya kuliko bia naona hivyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijana hicho kitu hawazingatii sasa, ndyo shida iliyopoKaka kuna pombe kali zina viwango bora ukizingatia mlo maji ya kunywa na mazoezi pombe kali ni bora kiafya kuliko bia naona hivyo.
Hapo ni hatari zaidi , ila bia zinaleta kitambi korofi ukipiga tizi ndio kinakuja kwa fujo sasa😁 japo tunakunywa tu, kijanja lakin🤣🤣Vijana hicho kitu hawazingatii sasa, ndyo shida iliyopo
Bia yangu safari lagerHapo ni hatari zaidi , ila bia zinaleta kitambi korofi ukipiga tizi ndio kinakuja kwa fujo sasa😁 japo tunakunywa tu, kijanja lakin🤣🤣
Dah ila sita parefu sana mkuu😁😁Bia yangu safari lager
Nikipiga 6 aaaah mambo blu blu
Safari lager 6 ni wastani kabisaDah ila sita parefu sana mkuu😁😁
Yeah ila bia 6 kawaida tu kwa mtu mnywaji.Safari lager 6 ni wastani kabisa
Kuna watu wanapiga 15 kama me zamani ila Sasa napunguza ulevi sana
Wanawake wanaokunywa konyagiHiyo ni mitazamo tu kwa sababu bia zote za light kwa sababu zina kilevi kidogo na laini zinachukuliwa ni za kike.
Na zile zenye kilevi kikubwa na nzito lagers zinachukuliwa ni za kiume .
Ila mtu yeyote anaweza tumia bia yoyote tu kulingana na matakwa yake.
Wanaume hatuna hiyo clit kwahyo ilo sio swali, neeeext kwesheni please.Ila wine inafanya clitoris kublink blink sa we ukiinywa unajisikiaje
Ni kawaida mno hapo ukitia nusu ya mchemsho wa kukuYeah ila bia 6 kawaida tu kwa mtu mnywaji.
Yeah hata kibiologia tu mwanamke ana athirika na pombe haraka kuliko mwanaume , hivyo hata mimi namchukulia ni mlevi .Wanawake wanaokunywa konyagi
Huwa unawachukuliaje kwa upande wako mkuu
Binafsi mie huwa nawaona kama ni walevi kupita kiasi
Kanywe Redds ukiwashwa Kunako shauri yakoHakuna bia ya kike wala ya kiume
Hizi bia wengi hawanywi kwa sababu ya bei, bei ingekuwa cheap zingenyweka sana.Hasa dume zima unakunywa desparado upo desparate na nini?
Umenikumbusha mbali kipindi hicho nipo na mama watoto kabla ya kufika nyumba kutokea ulevini nilikua kuna majani natafuna kupoteza ushahidi 😁😁😁Ni kawaida mno hapo ukitia nusu ya mchemsho wa kuku
Hata ukifika home unamwambia mama Watoto kuwa ulikuwa unachek mechi ya Arsenal
😂😂Ukila machungwa ukifika unapiga hadi busy hata hataguaUmenikumbusha mbali kipindi hicho nipo na mama watoto kabla ya kufika nyumba kutokea ulevini nilikua kuna majani natafuna kupoteza ushahidi 😁😁😁
Mikazo ya hovyo hovyo🤣Eti mwanaume anakunywa wine daaah.....
Sijui hata huwa anajisikiaje, make ke akinywa wine kuna namba unaskia clit ina blink blink
Kwa nini sio kwel?Sio kweli
kuna ukweli kwenye hilo?We kaka wewe,Mungu anakuona
Kwani mwanaume hana hamu?