Kuna clip inamuonesha jamaa anagalagala chini huku akilalamika kuachwa na Hamida

Hamida Hamida Hamida โœ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜„๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜๐Ÿ˜Š๐Ÿคฉ Ameniacha Hamida
 
.
Your browser is not able to display this video.


Jr[emoji769]
 
Hamida itakuwa ana kitu special between mana baharia kageuka kambare gafla mwenzake mabeste kaporwa mke na rafiki take kahuzunika kajikondea maisha yameendelea Hamida una mini wewe hati ya nani sitaki kabisa uwe jaribu na shori wangu usije ukasababisha yakanikuta ya mwana
 
Ni msicha mmoja ,ambaye amemfanya mwanaume akadhalilika mitandaoni๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Hamida kamuacha jamaa, jamaa analia anagalagala chini
Sasa kama huyo Hamida akichukuliwa na bishoo mwenzake wa mtaa mmoja wazazi wa huyo jamaa wajiandae kumpeleka milembe
 
Huyu jamaa kajitahidi kwa kuishia kugalagala. Najaribu kukumbuka jina la msanii m1 wa bongo movie aliyekataliwa tu akanywa simu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ