Kuna delutional theory imesambaa kwenye jamii zetu za kiafrika kwamba kuoa kunafungua milango ya mafanikio

Kuna delutional theory imesambaa kwenye jamii zetu za kiafrika kwamba kuoa kunafungua milango ya mafanikio

Apataye mke apata kitu chema, amepata kibali kwa kwa Bwana, zingatia neno kibali,

Huwez kuwa kiongozi mkubwa bila kuoa, lazima uwe na mke ndipo uaminike, Hata Ben alilazimika kuoa ili awe Raisi, kuna fursa kama hizo huwezi pata kama haujaoa mkuu
 
Hizo points zote mtu makini na aliye serious na maisha anaweza kuzifanya hata akiwa single.

kama hivyo vitu kuvifanya ni mpka uoe basi utakuwa una tatizo mahali. Na unaingia nalo kwenye ndoa.
Machaguo ni yenu Mkuu

Ila kumbukeni, Wazee wenu nao wasingeoa huenda msingepata nafasi ya Kukua kufikia Rika hilo hadi kuaminika makazini kwenu pamoja na sehemu za biashara mzifanyazo

Ndoa ndiyo msingi wa Kila jambo kwenye jamii zetu
 
Endelea na punyeto mpaka siku uje kusahau jina lako ...Uzinzi sio mzuri ila tambua binadamu ana vitu vya asili , kimoja wapo ni kushiriki tendo la ndoa ndio maana unaanza kutokwa na mbegu ukifika umri fulani sio bure hizo .
 
Kuna delutional theory imesambaa kwenye jamii zetu za kiafrika kwamba kuoa kunafungua milango ya mafanikio kwa mwanaume. Kwa kijana yoyote wa kiume kama wewe ni muumini wa iyo nadharia basi leo nakufungulia code kwamba umedanganywa.

Vijana wengi mmejazwa uongo vichwani mwenu kwa kuaminishwa kwamba mafanikio yenu yatapatikana kwenye ndoa. Sikiliza kijana, kabla ya kuoa ndio muda unaotakiwa kufungua milango ya mafanikio yako, huo ndio muda wa kufurahia maisha na uhuru wako kwa sababu ukioa hautapata iyo nafasi.

Kuoa ni kujivalisha minyororo ya utumwa, na katika kutimiza utumwa huo ipasavyo jamii na mamlaka za kiserikali zitakua macho kuakikisha hautoki nje ya mstari. Jaribio lolote la kujitoa kwenye utumwa huo matokeo yake ni jela au kufilisika.

Ndoa haimuongezei mwanaume chochote chenye thamani, tofauti na mwanamke ambae kwake ndoa ni ajira ya kudumu, ni mradi wa kibiashara na njia rahisi ya kuwa entitled kwenye mali za mwanaume bila kuchangia chochote kifedha au kitaaluma.

Takwimu zinaonesha 92% ya wanawake mabilionea wamepata utajiri wao kupitia talaka. Waliolewa na wanaume matajiri, wakadai talaka, wakapata mgao wa mali.

Hakuna mwanamke anaekuja kwenye maisha yako na solutions za changamoto zako au kukuwezesha kuyapata hayo mafanikio unayoambiwa utayapata ndoani. Siku zote mwanamke anakuja kwenye maisha yako ili wewe umpe suluhisho la matatizo yake na umfanyie kazi ili yeye aweze kuishi maisha rahisi kadiri iwezekanavyo.

Mwanamke hatafuti mpenzi, anatafuta mtumwa. Anataka mtumwa atakae gharamia lifestyle yake, atakaelipa bills zake na kusuluhisha matatizo yake yote hapa duniani.

Huyu mtumwa anapata nini in return? nothing beneficial, ni hasara, maangaiko, maumivu na majuto tu, kwa sababu huyu mwanamke hana chochote chenye thamani cha kuleta mezani. Mwanaume kataa kuwa mtumwa.

Mafanikio ya mwanaume ni mchakato wa nidhamu, jitihada, vikwazo na muda, sio ndoa. Mwanamke utakaemuoa hatokupa hela ya mtaji wa biashara au connection ya kazi nzuri zaidi ya uliyonayo, isipokua atakuongezea stress na gharama za maisha tu.
Nimesoma heading tu.

Kuoa ni kweli kunafungua milango ya mafanikio kwa sababu utapata mtu wa kukuhoji na kukusimamia, utaacha kutumia hela hovyo.
 
Japo Kuoa Kuna nafasi kubwa sana za kukufanya Ufanikiwe.
Kuoa kuna ambatana na kuchelewesha mafanikio ya kijana kwa sababu atabeba jukumu la kumuhudumia mwanamke, gharama hizi za kuhudumia mke kijana huyu angeweza kuweka akiba na kufanya uwekezaji. Hapo sijagusa gharama za mahari.
~Unapooa, kama hujanunua kiwanja utaanza kufikiria kununua na kujenga
Hili ni suala ambalo halina uhusiano na kuoa. Mimi nimeshanunua kiwanja na kuanza ujenzi na bado sijaoa.
~Kama ulikuwa na kawaida ya kukesha Baa, Unapooa lazima utaacha hiyo tabia hivyo kukufanya upate muda mwingi wa kujiuliza na kutafakari kuhusu maisha na kuja na mawazo mbadala ya kufanya kuongeza kipato
Kukesha bar hakuhusiani na kuoa ni lifestyle tu ya mtu, hata waliooa tunakesha nao bar
~Unapata heshima tofauti na ukiwa single, hivyo ni rahisi kuaminiwa Kwa nafasi mbalimbali Kazini hata biashara. Nafasi ambazo zinaweza kukuongezea kipato n.k
Heshima ni legacy tu utayoiweka kwenye jamii. Wewe ambae umeoa na vunjabei ambae yupo single mkiomba appointment na Mo Dewji unafikiri nani atazingatiwa zaidi?
 
Kuto Kuoa ama Kuoa hakuwezi kukufanya ufanikiwe ama ushindwe.

Japo Kuoa Kuna nafasi kubwa sana za kukufanya Ufanikiwe.

~Unapooa, kama hujanunua kiwanja utaanza kufikiria kununua na kujenga
~Utaachana na kubadirisha Wanawake, hivyo utakuwa na nafasi ya kutulia na Mwanamke mmoja ambaye mtafanya naye maisha
~Kama ulikuwa na kawaida ya kukesha Baa, Unapooa lazima utaacha hiyo tabia hivyo kukufanya upate muda mwingi wa kujiuliza na kutafakari kuhusu maisha na kuja na mawazo mbadala ya kufanya kuongeza kipato
~Unapata heshima tofauti na ukiwa single, hivyo ni rahisi kuaminiwa Kwa nafasi mbalimbali Kazini hata biashara. Nafasi ambazo zinaweza kukuongezea kipato n.k

Vijana oeni Kwa mustakabali wa maisha yenu ya sasa na baadaye

Yote unaweza kuyafanya hata bila kuoa, na in fact waoaji wengi huwa tayari washayafanya hayo! Ndoa ni scam tu japo mie nimeoa na naishi kwa amani na furaha na mke. Lakini contribution yake ya maana ni kunipa uchi tu, otherwise ni zero ila yeye anaamini asiponipikia siwezi kufanya kazi wala kupata mafanikio, wakati mimi najua naweza kula na kujifanyia mambo yangu bila shaka yoyote! Haya mambo walitulietea wazungu na sasa hata wao wanaona yamepitwa na wakati. Nipo tayari kwa povuz...
 
Endelea na punyeto mpaka siku uje kusahau jina lako ...Uzinzi sio mzuri ila tambua binadamu ana vitu vya asili , kimoja wapo ni kushiriki tendo la ndoa ndio maana unaanza kutokwa na mbegu ukifika umri fulani sio bure hizo .
Kwani kuoa kuna uhusiano gani hilo tendo mkuu wangu? Kwamba tusio oa hatulipati mpaka tupige nyeto ???
 
Kuto Kuoa ama Kuoa hakuwezi kukufanya ufanikiwe ama ushindwe.

Japo Kuoa Kuna nafasi kubwa sana za kukufanya Ufanikiwe.

~Unapooa, kama hujanunua kiwanja utaanza kufikiria kununua na kujenga
~Utaachana na kubadirisha Wanawake, hivyo utakuwa na nafasi ya kutulia na Mwanamke mmoja ambaye mtafanya naye maisha
~Kama ulikuwa na kawaida ya kukesha Baa, Unapooa lazima utaacha hiyo tabia hivyo kukufanya upate muda mwingi wa kujiuliza na kutafakari kuhusu maisha na kuja na mawazo mbadala ya kufanya kuongeza kipato
~Unapata heshima tofauti na ukiwa single, hivyo ni rahisi kuaminiwa Kwa nafasi mbalimbali Kazini hata biashara. Nafasi ambazo zinaweza kukuongezea kipato n.k

Vijana oeni Kwa mustakabali wa maisha yenu ya sasa na baadaye
Babu Grahams mtoa mada ameeleza vizuri sana kuwa kufanikiwa ni suala la nidhamu muda na consistency. Hivi kijana unaweza kuwa navyo hata bila kuoa kama atakuwa na nia ya kutafuta mafanikio. Pia unaweza kuoa hivyo nidhamu ukawa huna pia na mafanikio usiwe nayo babu.
 
Kuoa kuna ambatana na kuchelewesha mafanikio ya kijana kwa sababu atabeba jukumu la kumuhudumia mwanamke, gharama hizi za kuhudumia mke kijana huyu angeweza kuweka akiba na kufanya uwekezaji. Hapo sijagusa gharama za mahari.

Hili ni suala ambalo halina uhusiano na kuoa. Mimi nimeshanunua kiwanja na kuanza ujenzi na bado sijaoa.

Kukesha bar hakuhusiani na kuoa ni lifestyle tu ya mtu, hata waliooa tunakesha nao bar

Heshima ni legacy tu utayoiweka kwenye jamii. Wewe ambae umeoa na vunjabei ambae yupo single mkiomba appointment na Mo Dewji unafikiri nani atazingatiwa zaidi?
Fanya chaguo sahihi Mkuu, ila Kuoa ni muhimu Kwa Kila Mwanaume anayejielewa
 
Hizo points zote mtu makini na aliye serious na maisha anaweza kuzifanya hata akiwa single.

kama hivyo vitu kuvifanya ni mpka uoe basi utakuwa una tatizo mahali. Na unaingia nalo kwenye ndoa.
Akili za wanaume wengi zimefungwa ndani ya matrix. Eti mawazo ya kununua kiwanja napo mpaka uoe
 
Yote unaweza kuyafanya hata bila kuoa, na in fact waoaji wengi huwa tayari washayafanya hayo! Ndoa ni scam tu japo mie nimeoa na naishi kwa amani na furaha na mke. Lakini contribution yake ya maana ni kunipa uchi tu, otherwise ni zero ila yeye anaamini asiponipikia siwezi kufanya kazi wala kupata mafanikio, wakati mimi najua naweza kula na kujifanyia mambo yangu bila shaka yoyote! Haya mambo walitulietea wazungu na sasa hata wao wanaona yamepitwa na wakati. Nipo tayari kwa povuz...
Fanya tafakari ya kina kuhusu hayo uyasemayo, lakini Kuoa ni muhimu sana Kwa Kila Mwanaume anayejielewa
 
Babu Grahams mtoa mada ameeleza vizuri sana kuwa kufanikiwa ni suala la nidhamu muda na consistency. Hivi kijana unaweza kuwa navyo hata bila kuoa kama atakuwa na nia ya kutafuta mafanikio. Pia unaweza kuoa hivyo nidhamu ukawa huna pia na mafanikio usiwe nayo babu.
Lakini angalia ni wangapi wamefanikiwa kwenye jamii zetu hao masingles ama wale wenye familia zao
 
Back
Top Bottom