Sang'udi
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 9,138
- 22,236
Elon Musk yupo single,Diamond yuko single
Ali Kiba yuko single
Bill Gates yupo single.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elon Musk yupo single,Diamond yuko single
Ali Kiba yuko single
Iyo nadharia itafanya kazi endapo utapata mwanamke mwenye mchango wa kiuchumi tu, huo ndio usahihi pekee.Ukipata mwanamke sahihi Hiyo nadharia ina ukweli ndani yake.
Tofauti na Hapo usijichanganye kusambaza kadi za michango. Utajuta.
Mzee mpili yupo singleElon Musk yupo single,
Bill Gates yupo single.
Unajua watu wanaoa bila kupata mafunzo kwa njia ya malezi toka utotoni, yakuishi na wanawake walijikomboa kiuchumi na kifikra , yani wanaume wengi tunaingia kwenye ndoa kwa dhana ya bado wanawake wana ile mind set ya miaka 47 kuhusu ndoa 🤔Utengano unatoka wapi na unatokana na nini?
Oa mke unaem’mudu,madhali ndoa imefungwa ninyi ni mwili mmoja huko kuanza kuishi kama watu wawili tofauti ndani ya familia ndiko kunakovunja mahusiano mazuri.
Hahah kweli umesoma heading tu mkuu 😶Nimesoma heading tu.
Kuoa ni kweli kunafungua milango ya mafanikio kwa sababu utapata mtu wa kukuhoji na kukusimamia, utaacha kutumia hela hovyo.
Ndio unalipata ila sio mazingira rafiki .Mkuu hatujaoa na tendo tunalipata kama kawaida 🤣🤣🤣🤣
Iyo nadharia itafanya kazi endapo utapata mwanamke mwenye mchango wa kiuchumi tu, huo ndio usahihi pekee.Ukipata mwanamke sahihi Hiyo nadharia ina ukweli ndani yake.
Tofauti na Hapo usijichanganye kusambaza kadi za michango. Utajuta.
Bila ya ndoa ndugu yangu utaishije ? Hamu utamaliza wapi zaidi ya kufanya zinaa tu na punyeto.Mbona kama vile umecomment kwenye mada tofauti.
Kwa nini isiwe mazingira rafiki ?Ndio unalipata ila sio mazingira rafiki .
Sasa kama sheria ni kandamizi unasemaje kuoa sio tatizo. Huo ukandamizaji si ndio tatizo lenyewe la kuoaMimi naona kuoa sio tatizo, tatizo lipo kwenye sheria kandamizi upande wa mwanaume.
Kama unaoa kimkakati ni sawa. Lakini kama unaoa ukitegemea mafanikio yako yatapatikana ndoani jiandae kisaikolojiaApataye mke apata kitu chema, amepata kibali kwa kwa Bwana, zingatia neno kibali,
Huwez kuwa kiongozi mkubwa bila kuoa, lazima uwe na mke ndipo uaminike, Hata Ben alilazimika kuoa ili awe Raisi, kuna fursa kama hizo huwezi pata kama haujaoa mkuu
Unataka Kusema wanawake wa Sasa waliokomboka wako vipi kimtazamoUnajua watu wanaoa bila kupata mafunzo kwa njia ya malezi toka utotoni, yakuishi na wanawake walijikomboa kiuchumi na kifikra , yani wanaume wengi tunaingia kwenye ndoa kwa dhana ya bado wanawake wana ile mind set ya miaka 47 kuhusu ndoa 🤔
Things changesMachaguo ni yenu Mkuu
Ila kumbukeni, Wazee wenu nao wasingeoa huenda msingepata nafasi ya Kukua kufikia Rika hilo hadi kuaminika makazini kwenu pamoja na sehemu za biashara mzifanyazo
Ndoa ndiyo msingi wa Kila jambo kwenye jamii zetu
Sisemi kitu mkuuUnataka Kusema wanawake wa Sasa waliokomboka wako vipi kimtazamo
Sema dg kaishapiga goal la mbali kama fei toto
Nimeenda nje ya topic?Hahah kweli umesoma heading tu mkuu 😶
Vigezo vipi anatakiwa kuwa navyo uyo mwanamke sahihi?Kuoa mwanamke sahihi ndio
Hao wenye familia zao wengi wanaoa wakiwa washafanikiwa. Mke anakuja anamkuta mume tayari ana streams za kutengeneza maokoto.Lakini angalia ni wangapi wamefanikiwa kwenye jamii zetu hao masingles ama wale wenye familia zao
Kilichotangulia ni kuoa au sheria ?. Mkuu sheria zinaweza kubadilika ila sio kuoa na kujenga familia. ninaweza kwenda hata uarabuni huko. Mkuu Kizazi bora kinatoka katika familia.Sasa kama sheria ni kandamizi unasemaje kuoa sio tatizo. Huo ukandamizaji si ndio tatizo lenyewe la kuoa