Kuna delutional theory imesambaa kwenye jamii zetu za kiafrika kwamba kuoa kunafungua milango ya mafanikio

You have said it all Sir
 
Kwani si tulisha fika hapa, wewe ukasema KE yeyote asie bikira ni mdangaji.
Kimila na kidini non-virgin woman anatambulika kama malaya. Tatizo tunaishi katika nyakati ambazo dunia imemezwa na ufeminia ambapo mwanaume kanyong'ezwa na kupandikizwa fikra kwamba kusimamia misingi yake ni ukatili na kukubali kuingia kwenye mfumo wa mwanamke ndio ustaarabu(wewe pia unaingia kwenye hili kundi)

Tutaandika hapa kila kitu lakini ukweli unabaki kuwa bikira ni kigezo muhimu sana cha kuzingatia linapokuja suala la kuoa.

Kimaadili mwanamke bikira ni kiashiria cha kwamba amejitunza na kuheshimu mwili wake.

Kijamii inalinda heshima na hadhi ya mwanaume. Kuna dhiaka na dharau unaweza kukutana nazo ukioa mwanamke ambae uchi wake ushafunuliwa na wanaume wengine.

Kidini bikira ni kigezo pia ndio maana wanawake wasiokua bikira hawakuwa na uhalali wa kutolewa mahari nanpia imeamliwa wapigwe mawe mpaka kufa.

Waumini wa masuala ya kiroho pia wanaamini kila mwanamke anabeba roho za wanaume wote aliofanya nao sex, kwaiyo ukishiriki nae sex nawe pia unachukua roho za waliokutangulia sasa kama walikua na laana au mikosi nawe unazibeba pia

Kisaikolojia vile vile kutengeneza chemistry ya sex na mwanamke ambae ana flashback ya kufanya sex na wanaume wengine ni ngumu ukikinganisha na yule ambae anamjua mwanaume mmoja tu, na hapa ambapo hii chemistry inakosekana ndipo instict ya kucheat inaanzia.

Hakuna kigezo kimoja pekee ambacho non-virgin woman anaweza kupiga KO virgin waman. Lakini tunavigezo vingi ambavyo vikisimamishwa kimoja tu virgin woman anampiga KO non-virgin.

Tutatetea mademu na wake zetu kwa sababu hatukuwakuta bikira lakini ukweli unabaki pale pale mwanamke bikira na ambae sio bikira hauwezi kuwaweka kwenye mzani mmoja
 
Mimi wala sipo kwenye hilo kundi unalofikiria wewe.

Unatakiwa kuandika mambo yatakayo wasaidia vijana wa sasa na sio kueleza mambo yaliyoko kuwa yakifanyika zamani.

Kama kwa Sasa viongozi wa dini hawafuatilii hayo mambo ya bikira wakati wa kuoana, unadhani hayo mambo utakayo andika yatakuwa na msaada gani kwa vijana wa sasa. Zitakuwa stories tu.
 
Mimi wala sipo kwenye hilo kundi unalofikiria wewe.

Unatakiwa kuandika mambo yatakayo wasaidia vijana wa sasa na sio kueleza mambo yaliyoko kuwa yakifanyika zamani.
Bila shaka wewe ni mmoja wa vijana ambao akili zenu zimepumbazwa na mfumo jike ambao dunia inahuishi leo hii.

Tunaishi katika dunia ambayo mwanaume kaaminishwa kusimama kwenye standards zake ni unyanyasaji/ubaguzi wa kijinsia lakini kuzishusha standards zake na kupuuzia ujinga na machafu ya mwanamke ndio uanaume.

Ukisikia mwanaume anaitwa nice guy, real man au gentleman basi ndio hawa wanaume wa aina yako

Ni wale vijana ambao mnaamini kuoa mwanamke bikira ni utaratibu ambao umepitwa na wakati lakini kuoa mwanamke aliekitombesha, single mother na mwenye trauma za mahusiano yake ya nyuma ndio uanaume
Kama kwa Sasa viongozi wa dini hawafuatilii hayo mambo ya bikira wakati wa kuoana, unadhani hayo mambo utakayo andika yatakuwa na msaada gani kwa vijana wa sasa. Zitakuwa stories tu.
wewe hauwezi kujiongeza bila kuambiwa na kiongozi wa dini? Kwanza dini ishakuambia mwanamke asiye bikira ni malaya sasa unataka uyo kiongozi wa dini afanye nini, amkague uyo mwanamke anaetaka kumuoa?
 
Kwenye Biblia hujui Kama wazee walokuwa wakifuatilia mambo ya bikira walikuwa pia ni viongozi wa dini kwenye Masinagogi.

Anyway umeshindwa kutetea hoja yako ya bikira.
 
Kwenye Biblia hujui Kama wazee walokuwa wakifuatilia mambo ya bikira walikuwa pia ni viongozi wa dini kwenye Masinagogi.

Anyway umeshindwa kutetea hoja yako ya bikira.
Kuweka kanuni si ndo kufatilia uko au ulitaka wanawake wawe wanafunuliwa uchi kukaguliwa? yaani unataka hao bikira wafuatiliwe kwa njia zipi.
 
Mi sijui mnakutanaga na wanawake wa dizaini gani yaani tttu!! Mfano mimi nimelewa na mwanzo wa maisha yetu mr ndio akikua na kipato kuzd mm, ila saiv mm namzidi, mali tumechangia kuzitafuta kwa pamoja, ada za watoto analipa term mbili na mm namalizia mbili. Matumizi ya nyumbn menginemengine yeye anafanya zaidi yangu mm nampa back up anapokwama
Sasa sielewi unaposema yeye ni mtumwa wangu duh!!

Una mentality mbaya sana sana, nyie ndio wale wanaume/wanandugu mnaonyanyasaga wake/wajane wenu.
Ninhuzuni sana
Jua kwamba dunia imebadilika saivi kila mzazi anajitahidi kumkomboa mwanaea kike kifikra na kiuchumi ili kumwandaa kuzikabili changamoto za dunia ya sasa, watoto wakike siku izi sio wote ni tegemezi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…