Kuna delutional theory imesambaa kwenye jamii zetu za kiafrika kwamba kuoa kunafungua milango ya mafanikio

Kuna delutional theory imesambaa kwenye jamii zetu za kiafrika kwamba kuoa kunafungua milango ya mafanikio

MKuu unafikiri ni nini kimefanya wanawake wa sasa wabadilike?
Nafikiri malezi, Kuna sehemu kama Wazazi tumelega kwenye malezi ya mabinti zetu.

Zamani mabinti walikuwa waoga kuanzisha mahusiano kabla ya Ndoa, Siku hizi imekuwa ni kinyume chake.

Mwanamke anapoanza mahusiano ya kingono kabla ya Ndoa, hadi aje apate Mume atakuwa ametembea na Wanaume zaidi ya 20.

Mwanamke wa hivyo kuja kutulia huwa ni nadra sana, maana Kuna vitu atakuwa anavikosa Kwa aliyemuoa ila Kuna X wake alishawahi kumpatia

That's a terrible 🙌
 
U
Kuna delusional theory imesambaa kwenye jamii zetu za kiafrika kwamba kuoa kunafungua milango ya mafanikio kwa mwanaume. Kwa kijana yoyote wa kiume kama wewe ni muumini wa iyo nadharia basi leo nakufungulia code kwamba umedanganywa.

Vijana wengi mmejazwa uongo vichwani mwenu kwa kuaminishwa kwamba mafanikio yenu yatapatikana kwenye ndoa. Sikiliza kijana, kabla ya kuoa ndio muda unaotakiwa kufungua milango ya mafanikio yako, huo ndio muda wa kufurahia maisha na uhuru wako kwa sababu ukioa hautapata iyo nafasi.

Kuoa ni kujivalisha minyororo ya utumwa, na katika kutimiza utumwa huo ipasavyo jamii na mamlaka za kiserikali zitakua macho kuakikisha hautoki nje ya mstari. Jaribio lolote la kujitoa kwenye utumwa huo matokeo yake ni jela au kufilisika.

Ndoa haimuongezei mwanaume chochote chenye thamani, tofauti na mwanamke ambae kwake ndoa ni ajira ya kudumu, ni mradi wa kibiashara na njia rahisi ya kuwa entitled kwenye mali za mwanaume bila kuchangia chochote kifedha au kitaaluma.

Takwimu zinaonesha 92% ya wanawake mabilionea wamepata utajiri wao kupitia talaka. Waliolewa na wanaume matajiri, wakadai talaka, wakapata mgao wa mali.

Hakuna mwanamke anaekuja kwenye maisha yako na solutions za changamoto zako au kukuwezesha kuyapata hayo mafanikio unayoambiwa utayapata ndoani. Siku zote mwanamke anakuja kwenye maisha yako ili wewe umpe suluhisho la matatizo yake na umfanyie kazi ili yeye aweze kuishi maisha rahisi kadiri iwezekanavyo.

Mwanamke hatafuti mpenzi, anatafuta mtumwa. Anataka mtumwa atakae gharamia lifestyle yake, atakaelipa bills zake na kusuluhisha matatizo yake yote hapa duniani.

Huyu mtumwa anapata nini in return? nothing beneficial, ni hasara, maangaiko, maumivu na majuto tu, kwa sababu huyu mwanamke hana chochote chenye thamani cha kuleta mezani. Mwanaume kataa kuwa mtumwa.

Mafanikio ya mwanaume ni mchakato wa nidhamu, jitihada, vikwazo na muda, sio ndoa. Mwanamke utakaemuoa hatokupa hela ya mtaji wa biashara au connection ya kazi nzuri zaidi ya uliyonayo, isipokua atakuongezea stress na gharama za maisha tu.
Ulishawahi kuona Tajiri ambaye hana Mke?
 
Nafikiri malezi, Kuna sehemu kama Wazazi tumelega kwenye malezi ya mabinti zetu.

Zamani mabinti walikuwa waoga kuanzisha mahusiano kabla ya Ndoa, Siku hizi imekuwa ni kinyume chake.

Mwanamke anapoanza mahusiano ya kingono kabla ya Ndoa, hadi aje apate Mume atakuwa ametembea na Wanaume zaidi ya 20.

Mwanamke wa hivyo kuja kutulia huwa ni nadra sana, maana Kuna vitu atakuwa anavikosa Kwa aliyemuoa ila Kuna X wake alishawahi kumpatia

That's a terrible 🙌
Vipi kasumba ya vijana kukubali kushusha standards zetu? Nyie vijana wa zamani kuna vigezo vya muhimu sana mliviangalia mfano bikira, past ya mwanamke n.k. sasa hivi ukimwambia kijana kuhusu hayo mambo atakuja na utetezi wa ajabu wa past doesn't matter na blah blah kibao. Haouni kama hii inaweza kuwa sababu ya wanwake kufanya ngono kiholela holela wakijua hata baada ya kumalizana na uchafu wote wataolewa tu.?
 
Vijana wanakaza shingo, utasema sisi Baba zao tuliwalea bila Mama zao
Kuna mambo ambayo inatakiwa tuvumiliane kidogo. Unajua ni sawa mmetutangulia lakini haoindoi ukweli kwamba na nyie kuna maeneo mlikosea, sasa pale tunapohoji masuala ya msingi ni vyema mkatupa majibu yenye afya na yanalingana na uhalisia wa maisha mtaani kuliko kututaka tuwafuate tu blindly just because mmetutangulia. Things changes, hatuwezi kuishi na fikra zile zile milele.
 
Kuna delusional theory imesambaa kwenye jamii zetu za kiafrika kwamba kuoa kunafungua milango ya mafanikio kwa mwanaume. Kwa kijana yoyote wa kiume kama wewe ni muumini wa iyo nadharia basi leo nakufungulia code kwamba umedanganywa.

Vijana wengi mmejazwa uongo vichwani mwenu kwa kuaminishwa kwamba mafanikio yenu yatapatikana kwenye ndoa. Sikiliza kijana, kabla ya kuoa ndio muda unaotakiwa kufungua milango ya mafanikio yako, huo ndio muda wa kufurahia maisha na uhuru wako kwa sababu ukioa hautapata iyo nafasi.

Kuoa ni kujivalisha minyororo ya utumwa, na katika kutimiza utumwa huo ipasavyo jamii na mamlaka za kiserikali zitakua macho kuakikisha hautoki nje ya mstari. Jaribio lolote la kujitoa kwenye utumwa huo matokeo yake ni jela au kufilisika.

Ndoa haimuongezei mwanaume chochote chenye thamani, tofauti na mwanamke ambae kwake ndoa ni ajira ya kudumu, ni mradi wa kibiashara na njia rahisi ya kuwa entitled kwenye mali za mwanaume bila kuchangia chochote kifedha au kitaaluma.

Takwimu zinaonesha 92% ya wanawake mabilionea wamepata utajiri wao kupitia talaka. Waliolewa na wanaume matajiri, wakadai talaka, wakapata mgao wa mali.

Hakuna mwanamke anaekuja kwenye maisha yako na solutions za changamoto zako au kukuwezesha kuyapata hayo mafanikio unayoambiwa utayapata ndoani. Siku zote mwanamke anakuja kwenye maisha yako ili wewe umpe suluhisho la matatizo yake na umfanyie kazi ili yeye aweze kuishi maisha rahisi kadiri iwezekanavyo.

Mwanamke hatafuti mpenzi, anatafuta mtumwa. Anataka mtumwa atakae gharamia lifestyle yake, atakaelipa bills zake na kusuluhisha matatizo yake yote hapa duniani.

Huyu mtumwa anapata nini in return? nothing beneficial, ni hasara, maangaiko, maumivu na majuto tu, kwa sababu huyu mwanamke hana chochote chenye thamani cha kuleta mezani. Mwanaume kataa kuwa mtumwa.

Mafanikio ya mwanaume ni mchakato wa nidhamu, jitihada, vikwazo na muda, sio ndoa. Mwanamke utakaemuoa hatokupa hela ya mtaji wa biashara au connection ya kazi nzuri zaidi ya uliyonayo, isipokua atakuongezea stress na gharama za maisha tu.
Natumaini sijachelewa 😃
Tafiti zinaonesha, wanaume waliooa wanatengeneza pesa nyingi kuliko wasiooa.
Na waliooa wenye watoto wengi wanatengeneza pesa nyingi kuliko waliooa bila watoto.
Key hapa ni waliooa
Kwa ambao hawajaoa lakini wana watoto mbali mbali..Iwe kwa mama tofauti au mama mmoja, hawana tofauti na kiwango cha yule ambaye hajaoa
 
Back
Top Bottom