Kuna delutional theory imesambaa kwenye jamii zetu za kiafrika kwamba kuoa kunafungua milango ya mafanikio

Kuna delutional theory imesambaa kwenye jamii zetu za kiafrika kwamba kuoa kunafungua milango ya mafanikio

Kuna delusional theory imesambaa kwenye jamii zetu za kiafrika kwamba kuoa kunafungua milango ya mafanikio kwa mwanaume. Kwa kijana yoyote wa kiume kama wewe ni muumini wa iyo nadharia basi leo nakufungulia code kwamba umedanganywa.

Vijana wengi mmejazwa uongo vichwani mwenu kwa kuaminishwa kwamba mafanikio yenu yatapatikana kwenye ndoa. Sikiliza kijana, kabla ya kuoa ndio muda unaotakiwa kufungua milango ya mafanikio yako, huo ndio muda wa kufurahia maisha na uhuru wako kwa sababu ukioa hautapata iyo nafasi.

Kuoa ni kujivalisha minyororo ya utumwa, na katika kutimiza utumwa huo ipasavyo jamii na mamlaka za kiserikali zitakua macho kuakikisha hautoki nje ya mstari. Jaribio lolote la kujitoa kwenye utumwa huo matokeo yake ni jela au kufilisika.

Ndoa haimuongezei mwanaume chochote chenye thamani, tofauti na mwanamke ambae kwake ndoa ni ajira ya kudumu, ni mradi wa kibiashara na njia rahisi ya kuwa entitled kwenye mali za mwanaume bila kuchangia chochote kifedha au kitaaluma.

Takwimu zinaonesha 92% ya wanawake mabilionea wamepata utajiri wao kupitia talaka. Waliolewa na wanaume matajiri, wakadai talaka, wakapata mgao wa mali.

Hakuna mwanamke anaekuja kwenye maisha yako na solutions za changamoto zako au kukuwezesha kuyapata hayo mafanikio unayoambiwa utayapata ndoani. Siku zote mwanamke anakuja kwenye maisha yako ili wewe umpe suluhisho la matatizo yake na umfanyie kazi ili yeye aweze kuishi maisha rahisi kadiri iwezekanavyo.

Mwanamke hatafuti mpenzi, anatafuta mtumwa. Anataka mtumwa atakae gharamia lifestyle yake, atakaelipa bills zake na kusuluhisha matatizo yake yote hapa duniani.

Huyu mtumwa anapata nini in return? nothing beneficial, ni hasara, maangaiko, maumivu na majuto tu, kwa sababu huyu mwanamke hana chochote chenye thamani cha kuleta mezani. Mwanaume kataa kuwa mtumwa.

Mafanikio ya mwanaume ni mchakato wa nidhamu, jitihada, vikwazo na muda, sio ndoa. Mwanamke utakaemuoa hatokupa hela ya mtaji wa biashara au connection ya kazi nzuri zaidi ya uliyonayo, isipokua atakuongezea stress na gharama za maisha tu.
Hili nalo neno....vijana chakateni mbususu
 
Ni delusional na sio delutional kama ulivoandika.
Ni typing error tu mkuu, bahati mbaya kuedit title hapa jf haiwezekani
Mwanaume unatakiwa ujipange kuendesha maisha yako na familia yako bila kumtegemea mke wako. Mke anakuja kwenye ndoa kwa ajili ya mambo ya ndoa sio kukuongezea kipato.
kImsingi hiki ndicho nilichomaanisha. Fungua kwanza milango ya mafaniko ndio uoe sio uoe halafu utegemee ndoa itakufungulia milango ea mafanikio.
 
Na pia unavyosema eti alimzalia watoto, kwanini hao watoto ni wa Mengi peke yake?? Kwanin huwa mnaona mkizaa na sisi ni kama mnatufanyia hisani?
halafu sasa hao watoto wenyewe wanawaandaa kisaikolojia tangu wakiwa watoto kabisa wawapende wao kuliko baba zao. Ndio maana watoto wakiwa wakubwa huwa wanam-prefer zaidi mama.

Wanawake ni mabingwa wa kupanga mikakati ya ushindi huku wakiwa wana-play victim role.
 
Kwamba hiyo "delusional theory " ungeandika kwa kiswahili usingeeleweka au unataka ukiandika kwa kiingereza ndo tukuone umesoma sana tukubaliane nawe?
Pumbav
Kiswahili kina misiamiti michache, maneno kama delusion, password n.k kuyajua kwa neno moja la kiswahili mpaka ukapekua kwenye kamusi

kuhusu typing error hapa jf kuedit title haiwezekani.

Anyway, hatupo kwenye darasa la lugha, tujikite zaidi kwenye dhima ya mada.
 
Kuna wanaume leo hii wanafikiri eti kuwa mpole na mnyenyekevu kwa mke wako wakati huo ukiprovide ndio njia ya busara Zaid kuishi nae....

Na Hawa wote wanaosemaga humu sijui ishi nae kwa akili ukichunguza ndio huwa wanaishi hivyo na wake zao... Yaani wamekuwa makondoo.
Vijana wamepumbazwa na ulimwengu wa ufeminia, wanacheza ngoma ya wanawake mbaya zaidi ngoma iyo inapigwa na wanawake wasiokua na maadili, makahaba, malaya wastaafu na wenye past chafu.

Kila mdundo vijana wakiwekewa na hawa wanawake wanaucheza tu. Wakiambiwa bikira sio ishu wanakata viuno, kuoa single mother sio ishu wanamwaga mauno tu, past doesn't matter, kukubali kulea mtoto wa kubambikiwa ni baraka vijana wao ni viuno mbele mbele tu.

Vijana simp wanajikuta gentlemen. Hawajui tofauti ya simp na real man, hawajui kama hawa wanawake wa kisasa wanatumia advantage ya ujinga wao.

They can't ask themselves even simple questions. If past doesn't matter then why women often lie about their body count?, if she think it's ok to manipulate a man and take advantage of his loyalty, kindness and resources the why she cant tolerate it if another woman do that to her brother or son?

Vijana should know that they deserve same level of respect women demand for their fathers, brothers and sons.
 
Natumaini sijachelewa 😃
Tafiti zinaonesha, wanaume waliooa wanatengeneza pesa nyingi kuliko wasiooa.
Na waliooa wenye watoto wengi wanatengeneza pesa nyingi kuliko waliooa bila watoto.
Key hapa ni waliooa
Kwa ambao hawajaoa lakini wana watoto mbali mbali..Iwe kwa mama tofauti au mama mmoja, hawana tofauti na kiwango cha yule ambaye hajaoa
Tafiti za wapi hizi? Tanzania au?
 
Sasa huyo mwanamke wa kuruka majoka anaruka peke yake huko? Atapata wa kufanana nae mruka majoka mwenzake, warukeruke wote maana wanawezana. Tatizo wanaume wengi wanategemea wachovyechovye weee halafu akitaka kuoa aoe mtu alietulia. Hapana, atapata mcharuko mwenzake maana ndio kitu pekee anachofahamu, atajuaje jambo zuri ilihali amezoea heka heka? Heka heka kwake ndio nyumabni, atapata hicho hicho
Si ndio hapo. Watapata wa kufanana nao. Wajiulize wao wanachovya na nani kama sio hao wanaume.
 
Tafiti za wapi hizi? Tanzania au?
Tizii yangu haijafanya tafiti hii bado..zipo zilizofanyika nigeria, marekani na nchi nyingine za ulaya 😃😃😃😃 unakaribishwa kufanya, nitakuunga mkono
cc: Natafuta Ajira
 

Attachments

uongo kama huu ndio unasababisha vijana kukimbilia kubeba majukumu wakati uchumi wao wenyewe tia maji tia maji
Ukitongoza demu anaye kunywa gongo vs demu anayetaka laki tano katika harakati za kutafuta laki tano utakutana na milioni mbili lkn yule anaye kunywa gongo huumizi kichwa vilevile ukiishi mwenyewe unaweza kulala njaa, familia lazima ile
 
halafu sasa hao watoto wenyewe wanawaandaa kisaikolojia tangu wakiwa watoto kabisa wawapende wao kuliko baba zao. Ndio maana watoto wakiwa wakubwa huwa wanam-prefer zaidi mama.

Wanawake ni mabingwa wa kupanga mikakati ya ushindi huku wakiwa wana-play victim role.
Yaani mtu anakwambia eti "nimekuzalia mtoto" na wakati yeye ndio ana full custody ya kukaa na mtoto huyo pale inapotokea mmetengana, na Tena kwa baadhi ya nchi za wenzetu yeye ndio anakuwa anakupangia siku za kumuona huyo mtoto..... Na kama hiyo haitoshi Bado kwa kipindi chote anachokuwa anaishi naye anamlisha sumu za Kila aina kuhusu wewe, na wakati huo pesa za matumiz unatoa wewe.... Haya siku litoto limekuwa likubwa limepata na mafanikio utaskia linasema "my mom was everything to me, she singlehandedly raised me to get where I am today"....

Ndio maana Mimi tangu nimepata akili za kiutu uzima, nikionaga mtu eti ana bifu na dingi yake huwa sikurupuki kumlaumu mzee wake.... Maana Kuna uwezekano mkubwa bifu Hilo likawa ni matokeo ya manipulation iliyofanywa na mama yake.
 
Back
Top Bottom