Kuna delutional theory imesambaa kwenye jamii zetu za kiafrika kwamba kuoa kunafungua milango ya mafanikio

Kuna delutional theory imesambaa kwenye jamii zetu za kiafrika kwamba kuoa kunafungua milango ya mafanikio

Unataka confirmation gani? Nimekuambia mpenzi wangu nimemkuta bikira hicho ni kiashiria kwamba mabikira wapo, sasa wewe unataka confirmatiin gani? tuwafunue wanawake wote tupu zao tuwakague kama wana bikira au?
Usi aminishe watu kwamba mabikira wapo, Sasa nani Ana amini confirmation yako ?

Wewe vipi aisee.
 
Unataka confirmation gani? Nimekuambia mpenzi wangu nimemkuta bikira hicho ni kiashiria kwamba mabikira wapo, sasa wewe unataka confirmatiin gani? tuwafunue wanawake wote tupu zao tuwakague kama wana bikira au?
Umewahi kusikia Biologist yeyote ka prove uwepo wa virginity kwa binadamu ?

Au unataka kutuletea utafiti uchwara wako uliofanya kwa huyo demu wako.
 
Kama ilivyo kampeni ya kumnyanyua mwanamke na mtoto wa kike huku wanaume na mtoto wakiume wakionekana wabaya na wanyama.
Tunaishi kwenye dunia ambayo imemezwa na mfumo jike, kinachosikitisha mpaka wanaume pia wamebebwa naniyo kasumba.

Mafeminist yanapewa platform ya kusambaza jeuri, maadili mabovu, ubaguzi na chuki za kijinsia eti ndio 50/50.

Lakini mwanaume ukisimamia misingi ya kiume na kukataa kupelekeshwa na mfumo dume utapigwa vita mpaka na wanaume wenzako.

Mtu wa aina iyo uliemjibu sio ajabu kwenye mawazo yake anafikiri kushusha standard zake na kukubaliana na disrespects na ujinga wa mwanamke huo ndio uanaume, wenyewe wanajiita gentleman au real man
 
Sasa mbona bado mnaoa ilihali hamlazimishwi, wanawake inajulikana wanaingia kwenye ndoa sababu ya financial security na society pressure, haya wanaume kinachowapeleka kwenye hizo ndoa ni kipi
Tunaoa kwa techniques zile zile za Ashraf Hakim.
 
Ukiyachoka hayo mwanamke unadai talaka na mwanaume atawajibishwa kwa kupoteza sehemu ya mali zake ambapo unapewa wewe kama compensation ya muda na mchango wako kwenye iyo ndoa.

Sasa tubadilishe upande mwanamke ndie umechepuka, mlevi, unachelewa kurudi nyumbani, umebeba mimba nje ya ndoa na mwanaume anataka mtalakiane je sheria itakuwajibisha vipi wewe mwanamke?
Wee jamaa🙌🏾
 
Kuto Kuoa ama Kuoa hakuwezi kukufanya ufanikiwe ama ushindwe.

Japo Kuoa Kuna nafasi kubwa sana za kukufanya Ufanikiwe.

~Unapooa, kama hujanunua kiwanja utaanza kufikiria kununua na kujenga
~Utaachana na kubadirisha Wanawake, hivyo utakuwa na nafasi ya kutulia na Mwanamke mmoja ambaye mtafanya naye maisha
~Kama ulikuwa na kawaida ya kukesha Baa, Unapooa lazima utaacha hiyo tabia hivyo kukufanya upate muda mwingi wa kujiuliza na kutafakari kuhusu maisha na kuja na mawazo mbadala ya kufanya kuongeza kipato
~Unapata heshima tofauti na ukiwa single, hivyo ni rahisi kuaminiwa Kwa nafasi mbalimbali Kazini hata biashara. Nafasi ambazo zinaweza kukuongezea kipato n.k

Vijana oeni Kwa mustakabali wa maisha yenu ya sasa na baadaye
Leo kichwa kimetulia
Hakiwazi wajukuu
 
Endeleeni kuoa.
Masculinity.png
 
Siku hizi ukitaka mke wa kuoa ni mtihani mkubwa sana. Nyie ambao mlioa zamani hamjui ni kwa kiasi Mungu kawapendelea. Dunia tulioyopo sasa hivi linapokuja suala la kuoa mtaani hakuna kitu kabisa
Kama hamtajali, wapeni Jukumu la kuwatafutia Wake zenu Wazee wenu.

Hata kama utakuwa umempata Mpenzi huko Mjini, mlete Kijiji afanyiwe screening kujua kama atakufaa ama laa

Japo inaweza kuchukuliwa kama dhihaka lakini inaweza kusaidia sana
 
Back
Top Bottom