Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Kwani mpaka uoe ndio utrombre?Yaani usifanye mapenzi ukiwa na miaka 28 ...Hizo mbegu unazotoa ni za maboga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mpaka uoe ndio utrombre?Yaani usifanye mapenzi ukiwa na miaka 28 ...Hizo mbegu unazotoa ni za maboga?
Kwani uongo?Pale wanaume wanapoona wao tu ndiyo wanaopoteza na wanaoteseka kwenye ndoa
Kama ilivyo kampeni ya kumnyanyua mwanamke na mtoto wa kike huku wanaume na mtoto wakiume wakionekana wabaya na wanyama.Jf inafundisha vijana kuwachukia wanawake
Usi aminishe watu kwamba mabikira wapo, Sasa nani Ana amini confirmation yako ?Unataka confirmation gani? Nimekuambia mpenzi wangu nimemkuta bikira hicho ni kiashiria kwamba mabikira wapo, sasa wewe unataka confirmatiin gani? tuwafunue wanawake wote tupu zao tuwakague kama wana bikira au?
Umewahi kusikia Biologist yeyote ka prove uwepo wa virginity kwa binadamu ?Unataka confirmation gani? Nimekuambia mpenzi wangu nimemkuta bikira hicho ni kiashiria kwamba mabikira wapo, sasa wewe unataka confirmatiin gani? tuwafunue wanawake wote tupu zao tuwakague kama wana bikira au?
Thinking capacity yako ni ndogo sana. Bila shaka naandika mambo ambayo yamekuzidi akili. Ngoja niishie hapaUsi aminishe watu kwamba mabikira wapo, Sasa nani Ana amini confirmation yako ?
Wewe vipi aisee.
Tunaishi kwenye dunia ambayo imemezwa na mfumo jike, kinachosikitisha mpaka wanaume pia wamebebwa naniyo kasumba.Kama ilivyo kampeni ya kumnyanyua mwanamke na mtoto wa kike huku wanaume na mtoto wakiume wakionekana wabaya na wanyama.
Sasa mbona bado mnaoa ilihali hamlazimishwi, wanawake inajulikana wanaingia kwenye ndoa sababu ya financial security na society pressure, haya wanaume kinachowapeleka kwenye hizo ndoa ni kipiKwani uongo?
Tunaoa kwa techniques zile zile za Ashraf Hakim.Sasa mbona bado mnaoa ilihali hamlazimishwi, wanawake inajulikana wanaingia kwenye ndoa sababu ya financial security na society pressure, haya wanaume kinachowapeleka kwenye hizo ndoa ni kipi
Endelea kujidanganya na kuwadanganya wengine.Thinking capacity yako ni ndogo sana. Bila shaka naandika mambo ambayo yamekuzidi akili. Ngoja niishie hapa
Wee jamaa🙌🏾Ukiyachoka hayo mwanamke unadai talaka na mwanaume atawajibishwa kwa kupoteza sehemu ya mali zake ambapo unapewa wewe kama compensation ya muda na mchango wako kwenye iyo ndoa.
Sasa tubadilishe upande mwanamke ndie umechepuka, mlevi, unachelewa kurudi nyumbani, umebeba mimba nje ya ndoa na mwanaume anataka mtalakiane je sheria itakuwajibisha vipi wewe mwanamke?
Kwani alikutag au?Endelea kujidanganya na kuwadanganya wengine.
Afu nishagundua kuwa ww ni hovyo sana.
Huu utakuwa ni mwisho wangu wa kufuatilia threads zako.
Kuna mtu alini tag huko juu, au hauja ufuatilia huu Uzi.Kwani alikutag au?
Leo kichwa kimetuliaKuto Kuoa ama Kuoa hakuwezi kukufanya ufanikiwe ama ushindwe.
Japo Kuoa Kuna nafasi kubwa sana za kukufanya Ufanikiwe.
~Unapooa, kama hujanunua kiwanja utaanza kufikiria kununua na kujenga
~Utaachana na kubadirisha Wanawake, hivyo utakuwa na nafasi ya kutulia na Mwanamke mmoja ambaye mtafanya naye maisha
~Kama ulikuwa na kawaida ya kukesha Baa, Unapooa lazima utaacha hiyo tabia hivyo kukufanya upate muda mwingi wa kujiuliza na kutafakari kuhusu maisha na kuja na mawazo mbadala ya kufanya kuongeza kipato
~Unapata heshima tofauti na ukiwa single, hivyo ni rahisi kuaminiwa Kwa nafasi mbalimbali Kazini hata biashara. Nafasi ambazo zinaweza kukuongezea kipato n.k
Vijana oeni Kwa mustakabali wa maisha yenu ya sasa na baadaye
Hahaha................kuweni na imani na Wazee 🤗Leo kichwa kimetulia
Hakiwazi wajukuu
Siku hizi ukitaka mke wa kuoa ni mtihani mkubwa sana. Nyie ambao mlioa zamani hamjui ni kwa kiasi Mungu kawapendelea. Dunia tulioyopo sasa hivi linapokuja suala la kuoa mtaani hakuna kitu kabisaHahaha................kuweni na imani na Wazee 🤗
Kama hamtajali, wapeni Jukumu la kuwatafutia Wake zenu Wazee wenu.Siku hizi ukitaka mke wa kuoa ni mtihani mkubwa sana. Nyie ambao mlioa zamani hamjui ni kwa kiasi Mungu kawapendelea. Dunia tulioyopo sasa hivi linapokuja suala la kuoa mtaani hakuna kitu kabisa
Sio mara zote hisia zinakua za kweli... anyway, tuambie mashaka yako yapo wapi uenda tukajifunza mawili matatu.Nina mashaka... nahisi utakuwa ulizaliwa nje ya ndoa......