Kuna tukio jingine kama hilo huko mikoani, dogo mmoja wa kike wa kishua alikuwa anaelezea siku wanasafiri usiku kutoka shamba baada ya mzee wao kudhani atawahi mjini, sikumbuki vizuri ila nadhani nayo ilikuwa sikukuu.
Kwamba walikutana na gogo barabarani na washenzi wenye silaha wakatokea, mzee wao akasimamisha gari. (Sipendi watu dhaifu kwa kigezo cha kupenda amani, waliokosa ego, hasira na wanaoogopa conflicts, fujo na vita. I fuking hate victims. Pambana kufa lakini usikubali kuwa victim, ni mbaya zaidi ya kifo, that's why wajapan wana-commit seppuku kwa kujichoma kisu na kukata utumbo kama wameshindwa, lakini hawatokubali kuwa victims.)
Akashuka yeye na familia yake, akiwemo huyo dogo. Yule mzee akajaribu kuwa peaceful kwamba wachukue gari na kila kitu, lakini haikuwa hivyo. Wale watu sio wa kuongea na kuelewana (That's why napenda ile quote ya "we don't negotiate with terrorists, we fuk them up then send them straight to hell") sometimes hawataki pesa wala gari yako (That's why napenda sana ile quote nyingine kwamba "some men can't be negotiated or reasoned with... some men just want to watch the world burn") kwamba wanataka tu kukuharibia maisha yako na kukuona unateseka sababu kwao ni mchezo wa furaha.
Wale mbwa wakasema wao hawataki chochote, sio gari wala pesa. Then wale jamaa wakapigisha magoti familia nzima kama wanafunzi wa standard 5 waliochelewa namba. Mmoja baada ya mwingine wakaitwa mbele, walianza watoto, wanainamishwa mbele ya gari alafu wale mbwa wanapita kwa zamu. Huku yule mzee analazimishwa kuangalia jinsi familia yake inavyodharirishwa na kuteketea huku akilia kama mtoto mdogo pamoja na mkewe na watoto wake. Watoto wakaisha, akafatiwa mke, akapitiwa kwa zamu, watoto na baba wakilazimishwa kuangalia. Na mwishoni kabisa, the even worst part of that nightmare. Ikafika zamu ya baba. Watoto na mke wakalazimishwa kumuangalia baba yao vilevile akipitiwa kwa zamu. Baada ya hapo akalazimishwa kumuingilia na binti yake wa kike. Lakini alishindwa kufanya hivyo. (Yeah, kuna mashetani hapa duniani yanaotakiwa kukatwa vichwa hadharani, naona tabu hata kuandika huu uchafu)
Wale wasenge walioolaniwa walivyomaliza kazi yao karibu na alfajiri wakawaacha kama walivyowakuta na vitu vyao vyote waondoke, isipokuwa walichukua vitu muhimu sana, navyo ni Utu wao na uanaume wa yule mtu mzima. Anasema walikaa kimya kipindi chote wapo ndani ya gari. Familia na heshima yote vilifutika hata kuigiza haikuwezekana. Hawakusema kwa mtu yoyote. Baada ya miezi kadhaa kupita baba akajitoa uhai kwa kujipiga risasi sababu ya msongo wa mawazo. Mke akafa kwa presha baada ya kifo cha mume, na kubaki dogo na wenzake. Huyo dogo alikuwa analia muda wote anahadithia hiyo experience mbaya ambayo ni sawa na nightmare. Inasikitisha.
Na hiyo ndiyo sababu usisimame wala kusita ukikutana na hao wanyama barabarani, kumbukuka full thrust mbele, wakisimama kati kanyaga. Kama mbele kuna kizuizi basi full thrust nyuma ulikotoka, nenda kageuze mbali sana. Usithubutu kupiga U-turn hapohapo. Na ndani ya muda huo hawatakuwa na uwezo wa kuweka vizuizi nyuma vilivyo vizito zaidi ya kuzuia gari in full throttle. Cha muhimu zaidi ni kuepuka safari za usiku za mbali au kiujumla, especially na familia.
Adios!