Kuna gari ukiendesha unaonekana 'muhuni', inasikitisha sana

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]dah
 
Sisi ambao hatua magari kabisa tunaruhusiwa kukomenti chochote humu??.
 
Ameshindwa kuelewa jina la Subaru, ni kama ilivyo kwa Toyota ambako ndani yake kuna kizazi kama IST Land cruser, GX 110 na zingine.
We acha tu, ndio madhara ya kuparamia mada usio na uwelewa nazo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 

Umepotea sana kamanda, karibu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…