Kuna Genge ndani ya CCM linajiandaa kumuondoa Samia 2025 kwa Mlango wa Nyuma

Kuna Genge ndani ya CCM linajiandaa kumuondoa Samia 2025 kwa Mlango wa Nyuma

Rais SSH amekuwa rais wa viwango tangu aingie madarakani 2021, Bahati mbaya ameangukia kwenye kundi lenye uroho wa Madaraka na Wapiga dili wa tangu kale.

Bahati mbaya SSH amekuwa akiamini ndio kundi lenye kumshauri vizuri,kumbe ni kundi lenye Maslahi binafsi haliamini Kama Samia anaweza akatekeleza matakwa yake yote.

Bahati mbaya SSH amekuwa akiteua ama Mawaziri ama Makatibu Wakuu ama Wenyeviti na Wakurugenzi wa Bodi mbalimbali akiamini anafanya yeye kumbe Mtandao umemchomekea Majina.

Bahati mbaya kundi linaloongozwa na JK limekuwa likisherekea kila siku kuwa wameweza kuishika Ikulu na Chama kwa kila pembe ndio maana kila Weeknd kundi hili linakutana Msoga kukata Keki na kufungua Shampeni.

Bahati mbaya haya yanafanyika Wananchi wanajua kuwa kundi la JK lilimchukia Magufuli kwa msimamo wake wa kusimamia Maslahi ya Wanyonge na Nchi kwa ujumla, nasema Bahati mbaya kwasababu Visasi vinavyofanywa Wananchi wanajua.

Bahati mbaya SSH ameshauriwa kumweka Makamu wa CCM Tanzania Bara Ndugu Kinana ambaye kwasasa Nguvu zake za ushawishi zikiwa zimepungua sana baada ya kumtukana Magufuli wakati ule na kuhusishwa hapo baadae na kifo chake, Baadhi ya Makada wa CCM hawakufurahishwa na Kinana kupewa nafasi kwasababu ya kasoro hizo.

Kinana anahusishwa kwenye kashfa nyingi za wizi, Magendo na Mitandao ya Rushwa ikiwemo Mipango ya upigaji ya Marafiki wa JK, Bahati mbaya Wananchi wanajua hili.

Bahati mbaya kwa SSH hajajua kuwa Hana Nguvu za ushawishi Ndani ya Chama na kwa Wananchi hasa Bara, na kwa Hali hiyo kundi hili limekuwa likijiandaa kumshauri asigombee Mwaka 2025 na hivyo kumshauri vibaya ili aendelee kukosea, mfano safari za Nje, Mfumko wa Bei Kama umeme na bidhaa za chakula na mikopo mingi kinyume na JPM alivyowaaminisha Wananchi.

Bahati mbaya SSH amekuwa akisifiwa na kundi hili kuwa 'Anaupiga mwingi' ili avimbe kichwa lakini uhalisia huku mitaani Hali ni mbaya sana na Kama Kura zingepigwa leo Samia hawezi kutoboa.

Bahati mbaya Wananchi wanajua kuwa SSH ana'limoti'wa na JK ndio maana kila teuzi karatasi inatoka Msoga, na hili hakuna atakae amini kuwa haya ni maamuzi huru ya Rais kwasababu wataeule wengi ni Wana Mtandao ama Wana nasaba na JK.

Bahati mbaya serikali ya SSH kwasasa imeanza kunukia " udini" hii imekwenda mpaka kwenye Chama, Samia Ni dini Moja na Makamu wake Kinana hii inanung'unikiwa sana kuwa miwani ya SSH haikuliona hilo vizuri.

Bahati mbaya SSH amekuwa akiteua watu toka Zanzibar kwenye mambo yasiyo kuwa ya Muungano, Kama Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi na Baadhi ya Taasis za kiserikali zisizohusu Muungano. Pamoja na hilo Baadhi ya Mikopo na Misaada ya Nje Zanzibar imekuwa wanufaika wakubwa huku gharama za ulipaji zikielemea bara, hii amekuwa akipigiwa makofi tu Lakini Ni kaa la Moto linaloshusha ushawishi wake upande wa Bara, Hivyo kundi hili analolibeba litatumia sababu hii kumshawishi asigombee 2025.

Bahati mbaya SSH hajui kuwa kundi hili analolibeba taswira yake inanuka ufisadi na kwa namna wanavyomshauri atadumbukia kwenye mtego wa kuachia ngazi ya kugombea urais 2025 nao wataweka mtu wao ili kuendeleza upigaji wa tangu enzi zile.

Bahati mbaya SSH hana washauri wazuri Ndani ya serikali na Chama ambao watamshauri kuchunga kauli zake zinazochochea kugawa watu ama kuwafanya wafanyabishara kupandisha bei kiholela, kundi lake linafurahi anapokosea ili iwe rahisi azma yao ya 2025.

Bahati mbaya mpaka 2025 sifa za SSH zitakuwa zimeshuka sana kwa kiwango cha kutisha hasa Bara na hapo kazi ya kundi hili itakuwa rahisi kumwambia arudi Kizimukazi kulea Wajukuu na kutunza Ndoa na wake wenzie.

Rai ya uzi huu ni kumushauri SSH kuwa Makini na kundi la JK na kuangalia upya uteuzi wa Kinana maana hauna Taswira nzuri KIDINI na kiutendaji na hasa kumbukumbu ya Kinana na kundi lake kutukana Wasukuma na JPM kuwa ni washamba, Asiposikia na kulijua hili zigo litamrudia 2025, ama Ndani ya Chama ama kwa Wananchi.

Rai kwa SSH awe makini na Mawaziri mizigo ambao wanafanya serikali yake kukosa mvuto na kuvunja Imani ya Wananchi, asiposikia 2025 zigo litamrudia.

Bahati mbaya kufa kwa Kenge mpaka damu itoke masikioni.

Bahati mbaya Wapambe watamwambia huu uzi ni upepo tu utapita.
Wewe ndo huna mawazo kabisa!

Kwahiyo samia kumteua kinana ni udini?

Vipi magu na mangula wote walivyokua m.kiti na makamu mwenyekiti wote wakristo naye tuhesabu alifanya udini?Pumbafu
 
Rais SSH amekuwa rais wa viwango tangu aingie madarakani 2021, Bahati mbaya ameangukia kwenye kundi lenye uroho wa Madaraka na Wapiga dili wa tangu kale.

Bahati mbaya SSH amekuwa akiamini ndio kundi lenye kumshauri vizuri,kumbe ni kundi lenye Maslahi binafsi haliamini Kama Samia anaweza akatekeleza matakwa yake yote.

Bahati mbaya SSH amekuwa akiteua ama Mawaziri ama Makatibu Wakuu ama Wenyeviti na Wakurugenzi wa Bodi mbalimbali akiamini anafanya yeye kumbe Mtandao umemchomekea Majina.

Bahati mbaya kundi linaloongozwa na JK limekuwa likisherekea kila siku kuwa wameweza kuishika Ikulu na Chama kwa kila pembe ndio maana kila Weeknd kundi hili linakutana Msoga kukata Keki na kufungua Shampeni.

Bahati mbaya haya yanafanyika Wananchi wanajua kuwa kundi la JK lilimchukia Magufuli kwa msimamo wake wa kusimamia Maslahi ya Wanyonge na Nchi kwa ujumla, nasema Bahati mbaya kwasababu Visasi vinavyofanywa Wananchi wanajua.

Bahati mbaya SSH ameshauriwa kumweka Makamu wa CCM Tanzania Bara Ndugu Kinana ambaye kwasasa Nguvu zake za ushawishi zikiwa zimepungua sana baada ya kumtukana Magufuli wakati ule na kuhusishwa hapo baadae na kifo chake, Baadhi ya Makada wa CCM hawakufurahishwa na Kinana kupewa nafasi kwasababu ya kasoro hizo.

Kinana anahusishwa kwenye kashfa nyingi za wizi, Magendo na Mitandao ya Rushwa ikiwemo Mipango ya upigaji ya Marafiki wa JK, Bahati mbaya Wananchi wanajua hili.

Bahati mbaya kwa SSH hajajua kuwa Hana Nguvu za ushawishi Ndani ya Chama na kwa Wananchi hasa Bara, na kwa Hali hiyo kundi hili limekuwa likijiandaa kumshauri asigombee Mwaka 2025 na hivyo kumshauri vibaya ili aendelee kukosea, mfano safari za Nje, Mfumko wa Bei Kama umeme na bidhaa za chakula na mikopo mingi kinyume na JPM alivyowaaminisha Wananchi.

Bahati mbaya SSH amekuwa akisifiwa na kundi hili kuwa 'Anaupiga mwingi' ili avimbe kichwa lakini uhalisia huku mitaani Hali ni mbaya sana na Kama Kura zingepigwa leo Samia hawezi kutoboa.

Bahati mbaya Wananchi wanajua kuwa SSH ana'limoti'wa na JK ndio maana kila teuzi karatasi inatoka Msoga, na hili hakuna atakae amini kuwa haya ni maamuzi huru ya Rais kwasababu wataeule wengi ni Wana Mtandao ama Wana nasaba na JK.

Bahati mbaya serikali ya SSH kwasasa imeanza kunukia " udini" hii imekwenda mpaka kwenye Chama, Samia Ni dini Moja na Makamu wake Kinana hii inanung'unikiwa sana kuwa miwani ya SSH haikuliona hilo vizuri.

Bahati mbaya SSH amekuwa akiteua watu toka Zanzibar kwenye mambo yasiyo kuwa ya Muungano, Kama Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi na Baadhi ya Taasis za kiserikali zisizohusu Muungano. Pamoja na hilo Baadhi ya Mikopo na Misaada ya Nje Zanzibar imekuwa wanufaika wakubwa huku gharama za ulipaji zikielemea bara, hii amekuwa akipigiwa makofi tu Lakini Ni kaa la Moto linaloshusha ushawishi wake upande wa Bara, Hivyo kundi hili analolibeba litatumia sababu hii kumshawishi asigombee 2025.

Bahati mbaya SSH hajui kuwa kundi hili analolibeba taswira yake inanuka ufisadi na kwa namna wanavyomshauri atadumbukia kwenye mtego wa kuachia ngazi ya kugombea urais 2025 nao wataweka mtu wao ili kuendeleza upigaji wa tangu enzi zile.

Bahati mbaya SSH hana washauri wazuri Ndani ya serikali na Chama ambao watamshauri kuchunga kauli zake zinazochochea kugawa watu ama kuwafanya wafanyabishara kupandisha bei kiholela, kundi lake linafurahi anapokosea ili iwe rahisi azma yao ya 2025.

Bahati mbaya mpaka 2025 sifa za SSH zitakuwa zimeshuka sana kwa kiwango cha kutisha hasa Bara na hapo kazi ya kundi hili itakuwa rahisi kumwambia arudi Kizimukazi kulea Wajukuu na kutunza Ndoa na wake wenzie.

Rai ya uzi huu ni kumushauri SSH kuwa Makini na kundi la JK na kuangalia upya uteuzi wa Kinana maana hauna Taswira nzuri KIDINI na kiutendaji na hasa kumbukumbu ya Kinana na kundi lake kutukana Wasukuma na JPM kuwa ni washamba, Asiposikia na kulijua hili zigo litamrudia 2025, ama Ndani ya Chama ama kwa Wananchi.

Rai kwa SSH awe makini na Mawaziri mizigo ambao wanafanya serikali yake kukosa mvuto na kuvunja Imani ya Wananchi, asiposikia 2025 zigo litamrudia.

Bahati mbaya kufa kwa Kenge mpaka damu itoke masikioni.

Bahati mbaya Wapambe watamwambia huu uzi ni upepo tu utapita.
Unapoteza muda ndugu, tafuta shughuli ya kukuingizia kipato achana na hizi porojo za majuha na za kufikirika kwani hazipo. Rais Samia tunamuombea afya na uzima tu lakini panapo majaliwa ni Rais wetu hadi 2030. Kama hupendi kusikia nakushauri chimba shimo ujifukie au saga chupa umeze kwa tindikali
 
Vaa viatu vya samia ungekua wewe ungefanyaje kama waliokuingiza kwenye siasa ndio hao hao unawaita wez
 
Nikka dont understand 4 devils.

1.Lust
2.Hate
3.Jealous
4.Envy

It's Written.
 
Basi subiri SSH aweke demokrasia, Kura zipigwe na kuhesabiwa mchana kweupe. Amin Amin nakwambia utakuja kulalamika kwamba uchaguzi ulikuwa wa ovyo.
Hafu watu wanajimwambafy huku mtaani hakiyanani research yangu inatosha yaani mtaani hawaelewi kitu zaidi ya JPM whether alikuwa dictator , shetani , wampe kila jina ila alishateka nyoyo za watu
 
Bahati mbaya SSH amekuwa akiteua ama Mawaziri ama Makatibu Wakuu ama Wenyeviti na Wakurugenzi wa Bodi mbalimbali akiamini anafanya yeye kumbe Mtandao umemchomekea Majina.
Mada za kihuni hizi. Hata hueleweki unachoandika ni nini! Unazunguka tu na maneno, huku ukijipinga mwenyewe uliyokwishayasema mwanzo!

Hopeless.
 
Rais SSH amekuwa rais wa viwango tangu aingie madarakani 2021, Bahati mbaya ameangukia kwenye kundi lenye uroho wa Madaraka na Wapiga dili wa tangu kale.

Bahati mbaya SSH amekuwa akiamini ndio kundi lenye kumshauri vizuri,kumbe ni kundi lenye Maslahi binafsi haliamini Kama Samia anaweza akatekeleza matakwa yake yote.

Bahati mbaya SSH amekuwa akiteua ama Mawaziri ama Makatibu Wakuu ama Wenyeviti na Wakurugenzi wa Bodi mbalimbali akiamini anafanya yeye kumbe Mtandao umemchomekea Majina.

Bahati mbaya kundi linaloongozwa na JK limekuwa likisherekea kila siku kuwa wameweza kuishika Ikulu na Chama kwa kila pembe ndio maana kila Weeknd kundi hili linakutana Msoga kukata Keki na kufungua Shampeni.

Bahati mbaya haya yanafanyika Wananchi wanajua kuwa kundi la JK lilimchukia Magufuli kwa msimamo wake wa kusimamia Maslahi ya Wanyonge na Nchi kwa ujumla, nasema Bahati mbaya kwasababu Visasi vinavyofanywa Wananchi wanajua.

Bahati mbaya SSH ameshauriwa kumweka Makamu wa CCM Tanzania Bara Ndugu Kinana ambaye kwasasa Nguvu zake za ushawishi zikiwa zimepungua sana baada ya kumtukana Magufuli wakati ule na kuhusishwa hapo baadae na kifo chake, Baadhi ya Makada wa CCM hawakufurahishwa na Kinana kupewa nafasi kwasababu ya kasoro hizo.

Kinana anahusishwa kwenye kashfa nyingi za wizi, Magendo na Mitandao ya Rushwa ikiwemo Mipango ya upigaji ya Marafiki wa JK, Bahati mbaya Wananchi wanajua hili.

Bahati mbaya kwa SSH hajajua kuwa Hana Nguvu za ushawishi Ndani ya Chama na kwa Wananchi hasa Bara, na kwa Hali hiyo kundi hili limekuwa likijiandaa kumshauri asigombee Mwaka 2025 na hivyo kumshauri vibaya ili aendelee kukosea, mfano safari za Nje, Mfumko wa Bei Kama umeme na bidhaa za chakula na mikopo mingi kinyume na JPM alivyowaaminisha Wananchi.

Bahati mbaya SSH amekuwa akisifiwa na kundi hili kuwa 'Anaupiga mwingi' ili avimbe kichwa lakini uhalisia huku mitaani Hali ni mbaya sana na Kama Kura zingepigwa leo Samia hawezi kutoboa.

Bahati mbaya Wananchi wanajua kuwa SSH ana'limoti'wa na JK ndio maana kila teuzi karatasi inatoka Msoga, na hili hakuna atakae amini kuwa haya ni maamuzi huru ya Rais kwasababu wataeule wengi ni Wana Mtandao ama Wana nasaba na JK.

Bahati mbaya serikali ya SSH kwasasa imeanza kunukia " udini" hii imekwenda mpaka kwenye Chama, Samia Ni dini Moja na Makamu wake Kinana hii inanung'unikiwa sana kuwa miwani ya SSH haikuliona hilo vizuri.

Bahati mbaya SSH amekuwa akiteua watu toka Zanzibar kwenye mambo yasiyo kuwa ya Muungano, Kama Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi na Baadhi ya Taasis za kiserikali zisizohusu Muungano. Pamoja na hilo Baadhi ya Mikopo na Misaada ya Nje Zanzibar imekuwa wanufaika wakubwa huku gharama za ulipaji zikielemea bara, hii amekuwa akipigiwa makofi tu Lakini Ni kaa la Moto linaloshusha ushawishi wake upande wa Bara, Hivyo kundi hili analolibeba litatumia sababu hii kumshawishi asigombee 2025.

Bahati mbaya SSH hajui kuwa kundi hili analolibeba taswira yake inanuka ufisadi na kwa namna wanavyomshauri atadumbukia kwenye mtego wa kuachia ngazi ya kugombea urais 2025 nao wataweka mtu wao ili kuendeleza upigaji wa tangu enzi zile.

Bahati mbaya SSH hana washauri wazuri Ndani ya serikali na Chama ambao watamshauri kuchunga kauli zake zinazochochea kugawa watu ama kuwafanya wafanyabishara kupandisha bei kiholela, kundi lake linafurahi anapokosea ili iwe rahisi azma yao ya 2025.

Bahati mbaya mpaka 2025 sifa za SSH zitakuwa zimeshuka sana kwa kiwango cha kutisha hasa Bara na hapo kazi ya kundi hili itakuwa rahisi kumwambia arudi Kizimukazi kulea Wajukuu na kutunza Ndoa na wake wenzie.

Rai ya uzi huu ni kumushauri SSH kuwa Makini na kundi la JK na kuangalia upya uteuzi wa Kinana maana hauna Taswira nzuri KIDINI na kiutendaji na hasa kumbukumbu ya Kinana na kundi lake kutukana Wasukuma na JPM kuwa ni washamba, Asiposikia na kulijua hili zigo litamrudia 2025, ama Ndani ya Chama ama kwa Wananchi.

Rai kwa SSH awe makini na Mawaziri mizigo ambao wanafanya serikali yake kukosa mvuto na kuvunja Imani ya Wananchi, asiposikia 2025 zigo litamrudia.

Bahati mbaya kufa kwa Kenge mpaka damu itoke masikioni.

Bahati mbaya Wapambe watamwambia huu uzi ni upepo tu utapita.
We ndo umesema ila hakuna anaetaka kumnyima kuongoza
 
Rai ya uzi huu ni kumushauri SSH kuwa Makini na kundi la JK na kuangalia upya uteuzi wa Kinana maana hauna Taswira nzuri KIDINI na kiutendaji na hasa kumbukumbu ya Kinana na kundi lake kutukana Wasukuma na JPM kuwa ni washamba, Asiposikia na kulijua hili zigo litamrudia 2025, ama Ndani ya Chama ama kwa Wananchi.
Questionable
 
Rais SSH amekuwa rais wa viwango tangu aingie madarakani 2021, Bahati mbaya ameangukia kwenye kundi lenye uroho wa Madaraka na Wapiga dili wa tangu kale.

Bahati mbaya SSH amekuwa akiamini ndio kundi lenye kumshauri vizuri,kumbe ni kundi lenye Maslahi binafsi haliamini Kama Samia anaweza akatekeleza matakwa yake yote.

Bahati mbaya SSH amekuwa akiteua ama Mawaziri ama Makatibu Wakuu ama Wenyeviti na Wakurugenzi wa Bodi mbalimbali akiamini anafanya yeye kumbe Mtandao umemchomekea Majina.

Bahati mbaya kundi linaloongozwa na JK limekuwa likisherekea kila siku kuwa wameweza kuishika Ikulu na Chama kwa kila pembe ndio maana kila Weeknd kundi hili linakutana Msoga kukata Keki na kufungua Shampeni.

Bahati mbaya haya yanafanyika Wananchi wanajua kuwa kundi la JK lilimchukia Magufuli kwa msimamo wake wa kusimamia Maslahi ya Wanyonge na Nchi kwa ujumla, nasema Bahati mbaya kwasababu Visasi vinavyofanywa Wananchi wanajua.

Bahati mbaya SSH ameshauriwa kumweka Makamu wa CCM Tanzania Bara Ndugu Kinana ambaye kwasasa Nguvu zake za ushawishi zikiwa zimepungua sana baada ya kumtukana Magufuli wakati ule na kuhusishwa hapo baadae na kifo chake, Baadhi ya Makada wa CCM hawakufurahishwa na Kinana kupewa nafasi kwasababu ya kasoro hizo.

Kinana anahusishwa kwenye kashfa nyingi za wizi, Magendo na Mitandao ya Rushwa ikiwemo Mipango ya upigaji ya Marafiki wa JK, Bahati mbaya Wananchi wanajua hili.

Bahati mbaya kwa SSH hajajua kuwa Hana Nguvu za ushawishi Ndani ya Chama na kwa Wananchi hasa Bara, na kwa Hali hiyo kundi hili limekuwa likijiandaa kumshauri asigombee Mwaka 2025 na hivyo kumshauri vibaya ili aendelee kukosea, mfano safari za Nje, Mfumko wa Bei Kama umeme na bidhaa za chakula na mikopo mingi kinyume na JPM alivyowaaminisha Wananchi.

Bahati mbaya SSH amekuwa akisifiwa na kundi hili kuwa 'Anaupiga mwingi' ili avimbe kichwa lakini uhalisia huku mitaani Hali ni mbaya sana na Kama Kura zingepigwa leo Samia hawezi kutoboa.

Bahati mbaya Wananchi wanajua kuwa SSH ana'limoti'wa na JK ndio maana kila teuzi karatasi inatoka Msoga, na hili hakuna atakae amini kuwa haya ni maamuzi huru ya Rais kwasababu wataeule wengi ni Wana Mtandao ama Wana nasaba na JK.

Bahati mbaya serikali ya SSH kwasasa imeanza kunukia " udini" hii imekwenda mpaka kwenye Chama, Samia Ni dini Moja na Makamu wake Kinana hii inanung'unikiwa sana kuwa miwani ya SSH haikuliona hilo vizuri.

Bahati mbaya SSH amekuwa akiteua watu toka Zanzibar kwenye mambo yasiyo kuwa ya Muungano, Kama Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi na Baadhi ya Taasis za kiserikali zisizohusu Muungano. Pamoja na hilo Baadhi ya Mikopo na Misaada ya Nje Zanzibar imekuwa wanufaika wakubwa huku gharama za ulipaji zikielemea bara, hii amekuwa akipigiwa makofi tu Lakini Ni kaa la Moto linaloshusha ushawishi wake upande wa Bara, Hivyo kundi hili analolibeba litatumia sababu hii kumshawishi asigombee 2025.

Bahati mbaya SSH hajui kuwa kundi hili analolibeba taswira yake inanuka ufisadi na kwa namna wanavyomshauri atadumbukia kwenye mtego wa kuachia ngazi ya kugombea urais 2025 nao wataweka mtu wao ili kuendeleza upigaji wa tangu enzi zile.

Bahati mbaya SSH hana washauri wazuri Ndani ya serikali na Chama ambao watamshauri kuchunga kauli zake zinazochochea kugawa watu ama kuwafanya wafanyabishara kupandisha bei kiholela, kundi lake linafurahi anapokosea ili iwe rahisi azma yao ya 2025.

Bahati mbaya mpaka 2025 sifa za SSH zitakuwa zimeshuka sana kwa kiwango cha kutisha hasa Bara na hapo kazi ya kundi hili itakuwa rahisi kumwambia arudi Kizimukazi kulea Wajukuu na kutunza Ndoa na wake wenzie.

Rai ya uzi huu ni kumushauri SSH kuwa Makini na kundi la JK na kuangalia upya uteuzi wa Kinana maana hauna Taswira nzuri KIDINI na kiutendaji na hasa kumbukumbu ya Kinana na kundi lake kutukana Wasukuma na JPM kuwa ni washamba, Asiposikia na kulijua hili zigo litamrudia 2025, ama Ndani ya Chama ama kwa Wananchi.

Rai kwa SSH awe makini na Mawaziri mizigo ambao wanafanya serikali yake kukosa mvuto na kuvunja Imani ya Wananchi, asiposikia 2025 zigo litamrudia.

Bahati mbaya kufa kwa Kenge mpaka damu itoke masikioni.

Bahati mbaya Wapambe watamwambia huu uzi ni upepo tu utapita.
Sijui tuseme ni WA awamu Yako pendwa,kwani mawazo ya chuki na hisia hasi zimejaa kwenye andiko lako,ila bado anamzidi mbali sana unayempigia chapuo🤔
 
Mama hakuwa sehemu ya Magufuli, yeye alikuwa makamu wa rais wala hakuwa muumini wa utawala wa kidhalimu wa Magufuli. Magufuli mwenyewe alikuwa anadhihakiwa na viongozi mpaka akawa anashinda kudukua mawasiliano ya watu kinyume na sheria. Acheni kumtishia huyo mama maana anajua fika Magufuli hakuwa na ushawishi wowote zaidi ya kuburi cha madaraka.
Mkuu leo nafuturisha hapa mtaani naomba usikose. Umesema ukweli woooooooote.
 
Rais SSH amekuwa rais wa viwango tangu aingie madarakani 2021, Bahati mbaya ameangukia kwenye kundi lenye uroho wa Madaraka na Wapiga dili wa tangu kale.

Bahati mbaya SSH amekuwa akiamini ndio kundi lenye kumshauri vizuri,kumbe ni kundi lenye Maslahi binafsi haliamini Kama Samia anaweza akatekeleza matakwa yake yote.

Bahati mbaya SSH amekuwa akiteua ama Mawaziri ama Makatibu Wakuu ama Wenyeviti na Wakurugenzi wa Bodi mbalimbali akiamini anafanya yeye kumbe Mtandao umemchomekea Majina.

Bahati mbaya kundi linaloongozwa na JK limekuwa likisherekea kila siku kuwa wameweza kuishika Ikulu na Chama kwa kila pembe ndio maana kila Weeknd kundi hili linakutana Msoga kukata Keki na kufungua Shampeni.

Bahati mbaya haya yanafanyika Wananchi wanajua kuwa kundi la JK lilimchukia Magufuli kwa msimamo wake wa kusimamia Maslahi ya Wanyonge na Nchi kwa ujumla, nasema Bahati mbaya kwasababu Visasi vinavyofanywa Wananchi wanajua.

Bahati mbaya SSH ameshauriwa kumweka Makamu wa CCM Tanzania Bara Ndugu Kinana ambaye kwasasa Nguvu zake za ushawishi zikiwa zimepungua sana baada ya kumtukana Magufuli wakati ule na kuhusishwa hapo baadae na kifo chake, Baadhi ya Makada wa CCM hawakufurahishwa na Kinana kupewa nafasi kwasababu ya kasoro hizo.

Kinana anahusishwa kwenye kashfa nyingi za wizi, Magendo na Mitandao ya Rushwa ikiwemo Mipango ya upigaji ya Marafiki wa JK, Bahati mbaya Wananchi wanajua hili.

Bahati mbaya kwa SSH hajajua kuwa Hana Nguvu za ushawishi Ndani ya Chama na kwa Wananchi hasa Bara, na kwa Hali hiyo kundi hili limekuwa likijiandaa kumshauri asigombee Mwaka 2025 na hivyo kumshauri vibaya ili aendelee kukosea, mfano safari za Nje, Mfumko wa Bei Kama umeme na bidhaa za chakula na mikopo mingi kinyume na JPM alivyowaaminisha Wananchi.

Bahati mbaya SSH amekuwa akisifiwa na kundi hili kuwa 'Anaupiga mwingi' ili avimbe kichwa lakini uhalisia huku mitaani Hali ni mbaya sana na Kama Kura zingepigwa leo Samia hawezi kutoboa.

Bahati mbaya Wananchi wanajua kuwa SSH ana'limoti'wa na JK ndio maana kila teuzi karatasi inatoka Msoga, na hili hakuna atakae amini kuwa haya ni maamuzi huru ya Rais kwasababu wataeule wengi ni Wana Mtandao ama Wana nasaba na JK.

Bahati mbaya serikali ya SSH kwasasa imeanza kunukia " udini" hii imekwenda mpaka kwenye Chama, Samia Ni dini Moja na Makamu wake Kinana hii inanung'unikiwa sana kuwa miwani ya SSH haikuliona hilo vizuri.

Bahati mbaya SSH amekuwa akiteua watu toka Zanzibar kwenye mambo yasiyo kuwa ya Muungano, Kama Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi na Baadhi ya Taasis za kiserikali zisizohusu Muungano. Pamoja na hilo Baadhi ya Mikopo na Misaada ya Nje Zanzibar imekuwa wanufaika wakubwa huku gharama za ulipaji zikielemea bara, hii amekuwa akipigiwa makofi tu Lakini Ni kaa la Moto linaloshusha ushawishi wake upande wa Bara, Hivyo kundi hili analolibeba litatumia sababu hii kumshawishi asigombee 2025.

Bahati mbaya SSH hajui kuwa kundi hili analolibeba taswira yake inanuka ufisadi na kwa namna wanavyomshauri atadumbukia kwenye mtego wa kuachia ngazi ya kugombea urais 2025 nao wataweka mtu wao ili kuendeleza upigaji wa tangu enzi zile.

Bahati mbaya SSH hana washauri wazuri Ndani ya serikali na Chama ambao watamshauri kuchunga kauli zake zinazochochea kugawa watu ama kuwafanya wafanyabishara kupandisha bei kiholela, kundi lake linafurahi anapokosea ili iwe rahisi azma yao ya 2025.

Bahati mbaya mpaka 2025 sifa za SSH zitakuwa zimeshuka sana kwa kiwango cha kutisha hasa Bara na hapo kazi ya kundi hili itakuwa rahisi kumwambia arudi Kizimukazi kulea Wajukuu na kutunza Ndoa na wake wenzie.

Rai ya uzi huu ni kumushauri SSH kuwa Makini na kundi la JK na kuangalia upya uteuzi wa Kinana maana hauna Taswira nzuri KIDINI na kiutendaji na hasa kumbukumbu ya Kinana na kundi lake kutukana Wasukuma na JPM kuwa ni washamba, Asiposikia na kulijua hili zigo litamrudia 2025, ama Ndani ya Chama ama kwa Wananchi.

Rai kwa SSH awe makini na Mawaziri mizigo ambao wanafanya serikali yake kukosa mvuto na kuvunja Imani ya Wananchi, asiposikia 2025 zigo litamrudia.

Bahati mbaya kufa kwa Kenge mpaka damu itoke masikioni.

Bahati mbaya Wapambe watamwambia huu uzi ni upepo tu utapita.
Maelezo mareeefu alafu pumba tu.

Magufuri aliingia ikulu kimakosa.
 
Wakati nakubaliana na mtoa hoja, Rais awe makini katika kuteua wasaidizi wake na wenyeviti wa bodi za mashirika mbalimbali.
-Siku za hivi karibuni Rais amekuwa akichagua Wastaafu wengi kuongoza bodi za taasisi mbalimbali.labda analipwa fadhila au mikakati ya 2025.

Ushauri
-Kuchagua Wastaafu siyo mbaya,lakini atoe maagizo wajumbe wa bodi wawe vijana ili walete changamoto na kujifunza
-Rais achague watumishi waandamizi Serikalini kumsaidia kuongoza Serikali yake, ili mradi anakidhi vigezo
 
Nilichokiona wewe unachuki za kidini
Tu mbona hukusema udini pale Magufuli na Mangula wote ni wakristo mbona hukusema ni udini?
 
Ungeongezea "Bahati mbaya Samia kaziba masikio wala hasikii chochote zaidi ya Kuwa mshabiki wa vita ya urusi na Ukraine japo haeleweki yupo upande GANI"
 
Nchi Haijafunguliwa Na Mama
Mnaataka Kumuondoa Wakati Ahadi Yake Ni Kutufikisha Nchi Ya Ahadi
yenye Asali Na Maziwa
 
Magufuli alikuwa ni Mungu wenu eti ..?

Tukiandika ufisadi wake mnasema tumuache apumzike
 
Back
Top Bottom