Kuna haja ya Tundu Lissu kuandaliwa kuiondoa CCM 2025 madarakani?

Kuna haja ya Tundu Lissu kuandaliwa kuiondoa CCM 2025 madarakani?

Hivi hakuna mtu mwingine wa kuleta mabadiliko zaidi ya huyo mkimbizi?
Mbona wanaharakati wa mapinduzi wako wengi tu! Tena watatoka ndani ya CCM, trust me!

CCM haina wanaharakati wa mapinduzi bali kuna majizi ya kura na watu wa kujikomba. Watu wanaotegemea vyombo vya dola tu kufanya siasa wana jeuri gani?
 
Habari wana Jf ,kwa mara ya kwanza nimejikuta nasikitishwa sana na umasikini na Ugumu wa maisha unaoendelea kuongezeka huku kukiwa hakuna suluhisho la kueleweka Kutoka CCM .

Nimewaza sana na kujikuta naona ni Bora Tundu lissu ambae anaonekana ndiye mtu pekee kwa sasa mwenye ushawishi na uwezo wa kuongoza Nchi hasa kuiondoa CCM madarakani kupitia Chama chochote hata kipya aandaliwe na kuweza kuja kuiondoa hii CCM.

CCM imeongoza Nchi kwa zaidi ya miaka 40 lakini imeshindwa hata kuwatua kinamama ndoa za Maji mijini kote na imeshindwa kwa kiwango kikubwa katika kupiga vita Ufisadi , kuendeleza na kujenga viwanda ,kuondoa shida ya ajira ,kuboresha huduma za Afya na nk .

2025 CCM inaweza Ondoka aandaliwe vizuri tu .
Kumbuka CDM Haina utamaduni wa kurudia mgombea.

Pia KATIBA mpya na Tume huru vikipatikana kabla ya uchaguzi wowote, tutapunguza tatizo la kutegemea watu Badala ya kutegemea mifumo imara ya kiongozi.

Ameeeen
 
Ni mama Samia suluhu Hassani Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania ndio chaguo la watanzania kwa Sasa, Hakuna mpinzani Wala chama chochote kinachoweza itikisa CCM kwa Sasa

Katika uongozi wa mh mama Samia suluhu Hassani ndio ameupoteza kabisa upinzani kwa kuunyima ajenda, maana anatekeleza na kufanyia kazi Kero za wananchi,

Ndio maana huwezi ukawambia watanzania habari za upinzani wakakuelewa kwa sasa,

Huyo Tundu lisu ndio maana unaona kajitulia zake huko aliko bila makerere maana ameshaona namna mama anavyofanya kazi zinazogusa maisha ya watu na namna watanzania tunavyomuunga mkono Rais wetu
Kwamba CCM imeoza, bt Sa100 yupo fresh kabisa!!!!! Rudi shule.
 
Ni mama Samia suluhu Hassani Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania ndio chaguo la watanzania kwa Sasa, Hakuna mpinzani Wala chama chochote kinachoweza itikisa CCM kwa Sasa

Katika uongozi wa mh mama Samia suluhu Hassani ndio ameupoteza kabisa upinzani kwa kuunyima ajenda, maana anatekeleza na kufanyia kazi Kero za wananchi,

Ndio maana huwezi ukawambia watanzania habari za upinzani wakakuelewa kwa sasa,

Huyo Tundu lisu ndio maana unaona kajitulia zake huko aliko bila makerere maana ameshaona namna mama anavyofanya kazi zinazogusa maisha ya watu na namna watanzania tunavyomuunga mkono Rais wetu
Wewe jamaa mkoa wako hauna miundombinu na huduma mhimu hospital, barabara, vituo vya afya kuanzia kantaramba,iyula mpaka igamba wilaya yako ya mbozi mpaka chunya hakna hospitali,hata barabara ya lami hakuna, lakini huoni umuhimu wa Mabadiliko .maji hakuna, ukifika pale Tunduma toka Uhuru hakuna maji ni matope tu..Watu mnakua mumelogwa walahi!!
 
Hivi wewe unatuonaje lakini? Yani nchi nzima kabisa tukose watu wenye akili timamu wa kuwachagua mpaka tumpe lisu urais? Labda mtuloge kwanza!
 
Lissu urais hafai na hauwezi....

Lissu anafaa kuwa waziri mkuu ili kichwa kikipata moto sana kuwe na mtu juu yake wa kumdhibiti.
 
Nchi hii haina upungufu wa watu wenye uwezo wa kuongoza kwa ufanisi, ni wengi sana. Bali kinachokosekana ni Katiba bora tuu.
 
Habari wana Jf ,kwa mara ya kwanza nimejikuta nasikitishwa sana na umasikini na Ugumu wa maisha unaoendelea kuongezeka huku kukiwa hakuna suluhisho la kueleweka Kutoka CCM .

Nimewaza sana na kujikuta naona ni Bora Tundu lissu ambae anaonekana ndiye mtu pekee kwa sasa mwenye ushawishi na uwezo wa kuongoza Nchi hasa kuiondoa CCM madarakani kupitia Chama chochote hata kipya aandaliwe na kuweza kuja kuiondoa hii CCM.

CCM imeongoza Nchi kwa zaidi ya miaka 40 lakini imeshindwa hata kuwatua kinamama ndoa za Maji mijini kote na imeshindwa kwa kiwango kikubwa katika kupiga vita Ufisadi , kuendeleza na kujenga viwanda ,kuondoa shida ya ajira ,kuboresha huduma za Afya na nk .

2025 CCM inaweza Ondoka aandaliwe vizuri tu .
Inaonesha wewe huna shida na CCM, ila huwapendi baadhi ya viongozi wa CCM.
Ndio maana unamtaka TUNDU LISSU.
KIFUPI: Sioni mabadiliko ya kuitoa CCM Madarakani kwa sasa hivi( Labda itokee external force, kama ilivyotokea LIBYA).
 
Hivi hakuna mtu mwingine wa kuleta mabadiliko zaidi ya huyo mkimbizi?
Mbona wanaharakati wa mapinduzi wako wengi tu! Tena watatoka ndani ya CCM, trust me!
Utakuwa huna uzazi kabisa wewe dada.
Unathubutu kumuita Lissu mkimbizi?
Mtu aliyemwaga damu yake kwa kitetea wanyonge?.

Nchi hii tangu uhuru hajatokea mtetezi jasiri kama Lissu.
 
Hivi nyie sijui huwa mnawaza takataka gani Tundu Lissu agombee urais ashinde? Huyo chizi akisimama na Samia kihalali kabisa samia anachukua mapema tu.Upinzani mjifunze kusimamisha watu wenye haiba ya uongozi siyo hawa wanaharakati wa ovyo,walivyo na akili matope wanaweza msimamisha hata Fatma Karume au Mange Kimambi au yule mtoto wa Sarungi. Hawa achaneni nao kabisa bora hata Peter msigwa ila isiwe Mbowe wala Heche mtapoteza mapema tu
 
Hivi nyie sijui huwa mnawaza takataka gani Tundu lissu agombee urais ashinde? Huyo chizi akisimama na Samia kihalali kabisa samia anachukua mapema tu.Upinzani mjifunze kusimamisha watu wenye haiba ya uongozi siyo hawa wanaharakati wa ovyo,walivyo na akili matope wanaweza msimamisha hata Fatma karume au mange kimambi au yule mtoto wa sarungi.Hawa achaneni nao kabisa bora hata Peter msigwa ila isiwe mbowe wala heche mtapoteza mapema tu
Magufuli hakuwa mwanaharakati au "kichaa"? Alikua na haiba au lugha ya kiuongozi? Mbona alikua Rais?. Ndio maana mtoa mada kasema aandaliwe, uchaguzi ukiwa huru hata CHADEMA ikimsimamisha Dereva BodaBoda Samia anaangushwa!! She's not that popular hasa bara so hizo ni kura za bure kwa CHADEMA come 2025!!
 
Habari wana Jf ,kwa mara ya kwanza nimejikuta nasikitishwa sana na umasikini na Ugumu wa maisha unaoendelea kuongezeka huku kukiwa hakuna suluhisho la kueleweka Kutoka CCM .

Nimewaza sana na kujikuta naona ni Bora Tundu lissu ambae anaonekana ndiye mtu pekee kwa sasa mwenye ushawishi na uwezo wa kuongoza Nchi hasa kuiondoa CCM madarakani kupitia Chama chochote hata kipya aandaliwe na kuweza kuja kuiondoa hii CCM.

CCM imeongoza Nchi kwa zaidi ya miaka 40 lakini imeshindwa hata kuwatua kinamama ndoa za Maji mijini kote na imeshindwa kwa kiwango kikubwa katika kupiga vita Ufisadi , kuendeleza na kujenga viwanda ,kuondoa shida ya ajira ,kuboresha huduma za Afya na nk .

2025 CCM inaweza Ondoka aandaliwe vizuri tu .
Watu wa Deep State wabadilike wawe kama wa Kenya ni wazalendo kwa Nchi yao.

Uchaguzi wa kenya uwe chachu system za ccm ziamke.

We need to step up. Dunia inakimbia sisi tunatembea bado na mabakuli ya kuomba misaada ya matundu ya choo.
 
CCM wote wamechafuka ni ngumu kuleta mabadiliko ya kweli, Lissu Hana makando kando ya ufisadi so ni rahisi kukemea madudu ya CCM.
Lissu ameeendelea kuwa mtu bora sana wakati woote.

Ni ngumu sana mtu mchafu kukemea machafu akakubalika.

Tunamhitaji Mr Clean, Mr Haki, Mr Maendeleo. Tundu Antiphas Lissu.
 
Hivi nyie sijui huwa mnawaza takataka gani Tundu lissu agombee urais ashinde? Huyo chizi akisimama na Samia kihalali kabisa samia anachukua mapema tu.Upinzani mjifunze kusimamisha watu wenye haiba ya uongozi siyo hawa wanaharakati wa ovyo,walivyo na akili matope wanaweza msimamisha hata Fatma karume au mange kimambi au yule mtoto wa sarungi.Hawa achaneni nao kabisa bora hata Peter msigwa ila isiwe mbowe wala heche mtapoteza mapema tu
Tunamhitaji Mr Clean, Mr Haki, Mr Maendeleo. Tundu Antiphas Lissu.
 
Hivi nyie sijui huwa mnawaza takataka gani Tundu lissu agombee urais ashinde? Huyo chizi akisimama na Samia kihalali kabisa samia anachukua mapema tu.Upinzani mjifunze kusimamisha watu wenye haiba ya uongozi siyo hawa wanaharakati wa ovyo,walivyo na akili matope wanaweza msimamisha hata Fatma karume au mange kimambi au yule mtoto wa sarungi.Hawa achaneni nao kabisa bora hata Peter msigwa ila isiwe mbowe wala heche mtapoteza mapema tu
Nondo za Maria Salungi inaonekana zinakutesa sana.

Bahati Mbaya huyo.Mange usiye mpenda ndiye alipewa Fursa ya Front Space kumpokea Rais Samia Marekani.

Kama unachukia jinyonge.

We jamaa usidhani Tanzania inajiendea endea tu kwa mihemko yako hiyo.
 
Inaonesha wewe huna shida na CCM, ila huwapendi baadhi ya viongozi wa CCM.
Ndio maana unamtaka TUNDU LISSU.
KIFUPI: Sioni mabadiliko ya kuitoa CCM Madarakani kwa sasa hivi( Labda itokee external force, kama ilivyotokea LIBYA).
Ccm is wholy rotten
 
Back
Top Bottom