Team jiwe🤣🤣🤣Lissu huyu huyu anayenyoa viduku? Mpeni kwanza huko uenyekiti huko kwenye saccos.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Team jiwe🤣🤣🤣Lissu huyu huyu anayenyoa viduku? Mpeni kwanza huko uenyekiti huko kwenye saccos.
Huyo mkimbizi akiwa rais ni bora nikaishi Somalia. Kwanza haiwezekani kamwe na hatakuja kutokeaLissu ameeendelea kuwa mtu bora sana wakati woote.
Ni ngumu sana mtu mchafu kukemea machafu akakubalika.
Tunamhitaji Mr Clean, Mr Haki, Mr Maendeleo. Tundu Antiphas Lissu.
Sawa. Mungu ndiye mweza wa yote.Huyo mkimbizi akiwa raisi ni bora nikaishi Somalia. Kwanza haiwezekani kamwe na hatakuja kutokea
Haitakaa itokee mpuuzi mwenye maneno mengi Lisu kuwa Rais!Sawa. Mungu ndiye mweza wa yote.
Uliwahi kuamini kuwa ipo siku Spika wa bunge angeweza kutimuliwa kama mwizi?
Wewe mpumbavu hujui maana ya kumwaga damu! Nyamaza tu!Utakuwa huna uzazi kabisa wewe dada.
Unathubutu kumuita Lissu mkimbizi?
Mtu aliyemwaga damu yake kwa kitetea wanyonge?.
Nchi hii tangu uhuru hajatokea mtetezi jasiri kama Lissu.
Ha ha [emoji23][emoji23] Tundu huyu huyu au tusubiri azaliwe mwingine. Kama ni huyu wa Ubeligiji Mzee haupo serious
Miaka 60 hakuna lililopo. Na kwahiyo ccm hakuna wakuleta mapinduzi tena.Hivi hakuna mtu mwingine wa kuleta mabadiliko zaidi ya huyo mkimbizi?
Mbona wanaharakati wa mapinduzi wako wengi tu! Tena watatoka ndani ya CCM, trust me!
2025 inakujaInaonesha wewe huna shida na CCM, ila huwapendi baadhi ya viongozi wa CCM.
Ndio maana unamtaka TUNDU LISSU.
KIFUPI: Sioni mabadiliko ya kuitoa CCM Madarakani kwa sasa hivi( Labda itokee external force, kama ilivyotokea LIBYA).
Mmhh hapo sasa🤔Ni mama Samia suluhu Hassani Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania ndio chaguo la watanzania kwa Sasa, Hakuna mpinzani Wala chama chochote kinachoweza itikisa CCM kwa Sasa
Katika uongozi wa mh mama Samia suluhu Hassani ndio ameupoteza kabisa upinzani kwa kuunyima ajenda, maana anatekeleza na kufanyia kazi Kero za wananchi,
Ndio maana huwezi ukawambia watanzania habari za upinzani wakakuelewa kwa sasa,
Huyo Tundu lisu ndio maana unaona kajitulia zake huko aliko bila makerere maana ameshaona namna mama anavyofanya kazi zinazogusa maisha ya watu na namna watanzania tunavyomuunga mkono Rais wetu
Forget about that 😭 mbona unaongea vitukoKuna Haja ya CCM kutoka madarakani aisee
Mkimbizi mwingineMsikilize Ansbert Ngurumo, kuna Thread juu ya hicho unachokisema
Atarudi kwenye project yake ya kudumuAtarudi mkuu
Project yake ya kuomba pesa ugaibuni na kuja na mahela kujidai anakuja kugombea urais inalipa saana. Usiongelee ghorofa tu, anajizatiti sana kiuchumi.Tundu Lissu Hana uwezo wa ku-mobilise watu wa chini.
Ana vijikauli vingi sana vya dharau kama Mimi sina Hela huku anajenga ghorofa Tegeta.
Mabadiliko huletwa na watu wa chini
Alichaguliwa na nani?Ni mama Samia suluhu Hassani Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania ndio chaguo la watanzania kwa Sasa, Hakuna mpinzani Wala chama chochote kinachoweza itikisa CCM kwa Sasa
Katika uongozi wa mh mama Samia suluhu Hassani ndio ameupoteza kabisa upinzani kwa kuunyima ajenda, maana anatekeleza na kufanyia kazi Kero za wananchi,
Ndio maana huwezi ukawambia watanzania habari za upinzani wakakuelewa kwa sasa,
Huyo Tundu lisu ndio maana unaona kajitulia zake huko aliko bila makerere maana ameshaona namna mama anavyofanya kazi zinazogusa maisha ya watu na namna watanzania tunavyomuunga mkono Rais wetu