Kuna haja ya Tundu Lissu kuandaliwa kuiondoa CCM 2025 madarakani?

Kuna haja ya Tundu Lissu kuandaliwa kuiondoa CCM 2025 madarakani?

Lissu ameeendelea kuwa mtu bora sana wakati woote.

Ni ngumu sana mtu mchafu kukemea machafu akakubalika.

Tunamhitaji Mr Clean, Mr Haki, Mr Maendeleo. Tundu Antiphas Lissu.
Huyo mkimbizi akiwa rais ni bora nikaishi Somalia. Kwanza haiwezekani kamwe na hatakuja kutokea
 
Utakuwa huna uzazi kabisa wewe dada.
Unathubutu kumuita Lissu mkimbizi?
Mtu aliyemwaga damu yake kwa kitetea wanyonge?.

Nchi hii tangu uhuru hajatokea mtetezi jasiri kama Lissu.
Wewe mpumbavu hujui maana ya kumwaga damu! Nyamaza tu!
 
Hivi hakuna mtu mwingine wa kuleta mabadiliko zaidi ya huyo mkimbizi?
Mbona wanaharakati wa mapinduzi wako wengi tu! Tena watatoka ndani ya CCM, trust me!
Miaka 60 hakuna lililopo. Na kwahiyo ccm hakuna wakuleta mapinduzi tena.

Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
 
Inaonesha wewe huna shida na CCM, ila huwapendi baadhi ya viongozi wa CCM.
Ndio maana unamtaka TUNDU LISSU.
KIFUPI: Sioni mabadiliko ya kuitoa CCM Madarakani kwa sasa hivi( Labda itokee external force, kama ilivyotokea LIBYA).
2025 inakuja
 
Kuna Haja ya CCM kutoka madarakani aisee
 
Ni mama Samia suluhu Hassani Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania ndio chaguo la watanzania kwa Sasa, Hakuna mpinzani Wala chama chochote kinachoweza itikisa CCM kwa Sasa

Katika uongozi wa mh mama Samia suluhu Hassani ndio ameupoteza kabisa upinzani kwa kuunyima ajenda, maana anatekeleza na kufanyia kazi Kero za wananchi,

Ndio maana huwezi ukawambia watanzania habari za upinzani wakakuelewa kwa sasa,

Huyo Tundu lisu ndio maana unaona kajitulia zake huko aliko bila makerere maana ameshaona namna mama anavyofanya kazi zinazogusa maisha ya watu na namna watanzania tunavyomuunga mkono Rais wetu
Mmhh hapo sasa🤔
 
Tundu Lissu Hana uwezo wa ku-mobilise watu wa chini.

Ana vijikauli vingi sana vya dharau kama Mimi sina Hela huku anajenga ghorofa Tegeta.

Mabadiliko huletwa na watu wa chini
Project yake ya kuomba pesa ugaibuni na kuja na mahela kujidai anakuja kugombea urais inalipa saana. Usiongelee ghorofa tu, anajizatiti sana kiuchumi.
 
Lisu anafaa kuitoa ccm madarakani Ila tatizo Ni Sacco's ya mtei 🤣🤣🤣 labda agombee kupitia Act
 
Hii nchi ukimuondoa hayati Magufuli anaye fata Kwa uwezo tabia na uzalendo Kwa nchi yake ni Tundu Lissu. Kama Yuko tayari deep state tuandalieni huyu mwamba.
 
Ni mama Samia suluhu Hassani Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania ndio chaguo la watanzania kwa Sasa, Hakuna mpinzani Wala chama chochote kinachoweza itikisa CCM kwa Sasa

Katika uongozi wa mh mama Samia suluhu Hassani ndio ameupoteza kabisa upinzani kwa kuunyima ajenda, maana anatekeleza na kufanyia kazi Kero za wananchi,

Ndio maana huwezi ukawambia watanzania habari za upinzani wakakuelewa kwa sasa,

Huyo Tundu lisu ndio maana unaona kajitulia zake huko aliko bila makerere maana ameshaona namna mama anavyofanya kazi zinazogusa maisha ya watu na namna watanzania tunavyomuunga mkono Rais wetu
Alichaguliwa na nani?
Kama ni kuteuliwa na yule muuaji jambazi shetani aliyepo kaburini basi hafai hata wa kulumangia. Aendeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Back
Top Bottom