Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Chukizo mbele za MUNGUHii nchi ukimuondoa hayati Magufuli anaye fata Kwa uwezo tabia na uzalendo Kwa nchi yake ni Tundu Lissu. Kama Yuko tayari deep state tuandalieni huyu mwamba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chukizo mbele za MUNGUHii nchi ukimuondoa hayati Magufuli anaye fata Kwa uwezo tabia na uzalendo Kwa nchi yake ni Tundu Lissu. Kama Yuko tayari deep state tuandalieni huyu mwamba.
Aingie umoja partyTundu lissu labda aje na chama kingine.
Atahama hata ChamaKumbuka CDM Haina utamaduni wa kurudia mgombea.
Pia KATIBA mpya na Tume huru vikipatikana kabla ya uchaguzi wowote, tutapunguza tatizo la kutegemea watu Badala ya kutegemea mifumo imara ya kiongozi.
Ameeeen
heko! maneno machache maana ndefu!Hakuna demokrasia ya kuiondoa CCM madarakani.
Tundu Lissu, too emotional,, just like stone,,, [emoji23]Ikiwa mnataka kufanya la maana basi mgombea hapaswi kuwa Tundu Lissu.
No way,, hata jpm alikomba kura nyingi kumzidi Lissu,, CCM bado wana watu kona zote,, sio rahisi kama mdhaniavyoUhuru, haki na maendeleo ya watu. Hii slogan mheshimiwa lissu angeitendea haki. Kana si kina mwenda zake, ndugai na Mahera mheshimiwa lissu angekuwa Magogoni saa hizi.
Straight to the point...Watu wa Deep State wabadilike wawe kama wa Kenya ni wazalendo kwa Nchi yao.
Uchaguzi wa kenya uwe chachu system za ccm ziamke.
We need to step up. Dunia inakimbia sisi tunatembea bado na mabakuli ya kuomba misaada ya matundu ya choo.
Tundu lisu, too emotional,, just like stone,,, [emoji23]
Kwa watu waliosoma psychology, Tundu ni too emotional ni kama JPM tu akishika madaraka.Lissu will make one of the worst presidents ever.......he is good for who he is.....mpinzani bora, ila si kiongozi bora
sio kweliLissu will make one of the worst presidents ever.......he is good for who he is.....mpinzani bora, ila si kiongozi bora
Kwa watu waliosoma psychology, Tundu ni too emotional ni kama JPM tu akishika madaraka.
Yule hata fanya kazi mpaka amalize jukumu la kulipa visasi, ni vyema upinzani upate mgombea mwingine.
Tundu Lissu hawezi kutufanya kuondoa CCM mdarakani. Atafutwe kwa makini mtu mwingine makini asiye mwanaharakati awe mgombea. Na ni rahisi kumshinda mgombea wa CCM kama watamsimamisha mama.Habari wana Jf, kwa mara ya kwanza nimejikuta nasikitishwa sana na umasikini na ugumu wa maisha unaoendelea kuongezeka huku kukiwa hakuna suluhisho la kueleweka Kutoka CCM. Nimewaza sana na kujikuta naona Tundu Lissu ndiye anaonekana mtu pekee kwa sasa mwenye ushawishi na uwezo wa kuongoza nchi, hasa kuiondoa CCM madarakani kupitia chama chochote hata kipya, aandaliwe na kuweza kuja kuiondoa CCM.
CCM imeongoza nchi kwa zaidi ya miaka 40 lakini imeshindwa hata kuwatua kina mama ndoo za maji mijini kote. Pia imeshindwa kwa kiwango kikubwa katika kupiga vita ufisadi, kuendeleza na kujenga viwanda, kuondoa shida ya ajira, kuboresha huduma za afya na nk.
2025 CCM inaweza ondoka, aandaliwe vizuri tu.
Atamwongoza nani mtu mwoga kiasi hicho?Habari wana Jf, kwa mara ya kwanza nimejikuta nasikitishwa sana na umasikini na ugumu wa maisha unaoendelea kuongezeka huku kukiwa hakuna suluhisho la kueleweka Kutoka CCM. Nimewaza sana na kujikuta naona Tundu Lissu ndiye anaonekana mtu pekee kwa sasa mwenye ushawishi na uwezo wa kuongoza nchi, hasa kuiondoa CCM madarakani kupitia chama chochote hata kipya, aandaliwe na kuweza kuja kuiondoa CCM.
CCM imeongoza nchi kwa zaidi ya miaka 40 lakini imeshindwa hata kuwatua kina mama ndoo za maji mijini kote. Pia imeshindwa kwa kiwango kikubwa katika kupiga vita ufisadi, kuendeleza na kujenga viwanda, kuondoa shida ya ajira, kuboresha huduma za afya na nk.
2025 CCM inaweza ondoka, aandaliwe vizuri tu.
Basi kama humpendi ndio unabinya sifa zake njema? He is still the best candidate ever.Lissu will make one of the worst presidents ever.......he is good for who he is.....mpinzani bora, ila si kiongozi bora
Mmeanza dhihaka tena? Hamjifunzi kwa Lowasa?Kwa jinsi ninavyoumwa, am sad (glad) that I may not be alive by 2025!
And if am departed, I will be glad to be departed by the age of 40+!