Hivi hakuna mtu mwingine wa kuleta mabadiliko zaidi ya huyo mkimbizi?
Mbona wanaharakati wa mapinduzi wako wengi tu! Tena watatoka ndani ya CCM, trust me!
HakikaUhuru, haki na maendeleo ya watu. Hii slogan mheshimiwa lissu angeitendea haki. Kana si kina mwenda zake, ndugai na Mahera mheshimiwa lissu angekuwa Magogoni saa hizi.
Kumbuka CDM Haina utamaduni wa kurudia mgombea.Habari wana Jf ,kwa mara ya kwanza nimejikuta nasikitishwa sana na umasikini na Ugumu wa maisha unaoendelea kuongezeka huku kukiwa hakuna suluhisho la kueleweka Kutoka CCM .
Nimewaza sana na kujikuta naona ni Bora Tundu lissu ambae anaonekana ndiye mtu pekee kwa sasa mwenye ushawishi na uwezo wa kuongoza Nchi hasa kuiondoa CCM madarakani kupitia Chama chochote hata kipya aandaliwe na kuweza kuja kuiondoa hii CCM.
CCM imeongoza Nchi kwa zaidi ya miaka 40 lakini imeshindwa hata kuwatua kinamama ndoa za Maji mijini kote na imeshindwa kwa kiwango kikubwa katika kupiga vita Ufisadi , kuendeleza na kujenga viwanda ,kuondoa shida ya ajira ,kuboresha huduma za Afya na nk .
2025 CCM inaweza Ondoka aandaliwe vizuri tu .
Kwamba CCM imeoza, bt Sa100 yupo fresh kabisa!!!!! Rudi shule.Ni mama Samia suluhu Hassani Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania ndio chaguo la watanzania kwa Sasa, Hakuna mpinzani Wala chama chochote kinachoweza itikisa CCM kwa Sasa
Katika uongozi wa mh mama Samia suluhu Hassani ndio ameupoteza kabisa upinzani kwa kuunyima ajenda, maana anatekeleza na kufanyia kazi Kero za wananchi,
Ndio maana huwezi ukawambia watanzania habari za upinzani wakakuelewa kwa sasa,
Huyo Tundu lisu ndio maana unaona kajitulia zake huko aliko bila makerere maana ameshaona namna mama anavyofanya kazi zinazogusa maisha ya watu na namna watanzania tunavyomuunga mkono Rais wetu
Wewe jamaa mkoa wako hauna miundombinu na huduma mhimu hospital, barabara, vituo vya afya kuanzia kantaramba,iyula mpaka igamba wilaya yako ya mbozi mpaka chunya hakna hospitali,hata barabara ya lami hakuna, lakini huoni umuhimu wa Mabadiliko .maji hakuna, ukifika pale Tunduma toka Uhuru hakuna maji ni matope tu..Watu mnakua mumelogwa walahi!!Ni mama Samia suluhu Hassani Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania ndio chaguo la watanzania kwa Sasa, Hakuna mpinzani Wala chama chochote kinachoweza itikisa CCM kwa Sasa
Katika uongozi wa mh mama Samia suluhu Hassani ndio ameupoteza kabisa upinzani kwa kuunyima ajenda, maana anatekeleza na kufanyia kazi Kero za wananchi,
Ndio maana huwezi ukawambia watanzania habari za upinzani wakakuelewa kwa sasa,
Huyo Tundu lisu ndio maana unaona kajitulia zake huko aliko bila makerere maana ameshaona namna mama anavyofanya kazi zinazogusa maisha ya watu na namna watanzania tunavyomuunga mkono Rais wetu
Inaonesha wewe huna shida na CCM, ila huwapendi baadhi ya viongozi wa CCM.Habari wana Jf ,kwa mara ya kwanza nimejikuta nasikitishwa sana na umasikini na Ugumu wa maisha unaoendelea kuongezeka huku kukiwa hakuna suluhisho la kueleweka Kutoka CCM .
Nimewaza sana na kujikuta naona ni Bora Tundu lissu ambae anaonekana ndiye mtu pekee kwa sasa mwenye ushawishi na uwezo wa kuongoza Nchi hasa kuiondoa CCM madarakani kupitia Chama chochote hata kipya aandaliwe na kuweza kuja kuiondoa hii CCM.
CCM imeongoza Nchi kwa zaidi ya miaka 40 lakini imeshindwa hata kuwatua kinamama ndoa za Maji mijini kote na imeshindwa kwa kiwango kikubwa katika kupiga vita Ufisadi , kuendeleza na kujenga viwanda ,kuondoa shida ya ajira ,kuboresha huduma za Afya na nk .
2025 CCM inaweza Ondoka aandaliwe vizuri tu .
Utakuwa huna uzazi kabisa wewe dada.Hivi hakuna mtu mwingine wa kuleta mabadiliko zaidi ya huyo mkimbizi?
Mbona wanaharakati wa mapinduzi wako wengi tu! Tena watatoka ndani ya CCM, trust me!
CCM wote wamechafuka ni ngumu kuleta mabadiliko ya kweli, Lissu Hana makando kando ya ufisadi so ni rahisi kukemea madudu ya CCM.Hivi hakuna mtu mwingine wa kuleta mabadiliko zaidi ya huyo mkimbizi?
Mbona wanaharakati wa mapinduzi wako wengi tu! Tena watatoka ndani ya CCM, trust me!
Magufuli hakuwa mwanaharakati au "kichaa"? Alikua na haiba au lugha ya kiuongozi? Mbona alikua Rais?. Ndio maana mtoa mada kasema aandaliwe, uchaguzi ukiwa huru hata CHADEMA ikimsimamisha Dereva BodaBoda Samia anaangushwa!! She's not that popular hasa bara so hizo ni kura za bure kwa CHADEMA come 2025!!Hivi nyie sijui huwa mnawaza takataka gani Tundu lissu agombee urais ashinde? Huyo chizi akisimama na Samia kihalali kabisa samia anachukua mapema tu.Upinzani mjifunze kusimamisha watu wenye haiba ya uongozi siyo hawa wanaharakati wa ovyo,walivyo na akili matope wanaweza msimamisha hata Fatma karume au mange kimambi au yule mtoto wa sarungi.Hawa achaneni nao kabisa bora hata Peter msigwa ila isiwe mbowe wala heche mtapoteza mapema tu
Watu wa Deep State wabadilike wawe kama wa Kenya ni wazalendo kwa Nchi yao.Habari wana Jf ,kwa mara ya kwanza nimejikuta nasikitishwa sana na umasikini na Ugumu wa maisha unaoendelea kuongezeka huku kukiwa hakuna suluhisho la kueleweka Kutoka CCM .
Nimewaza sana na kujikuta naona ni Bora Tundu lissu ambae anaonekana ndiye mtu pekee kwa sasa mwenye ushawishi na uwezo wa kuongoza Nchi hasa kuiondoa CCM madarakani kupitia Chama chochote hata kipya aandaliwe na kuweza kuja kuiondoa hii CCM.
CCM imeongoza Nchi kwa zaidi ya miaka 40 lakini imeshindwa hata kuwatua kinamama ndoa za Maji mijini kote na imeshindwa kwa kiwango kikubwa katika kupiga vita Ufisadi , kuendeleza na kujenga viwanda ,kuondoa shida ya ajira ,kuboresha huduma za Afya na nk .
2025 CCM inaweza Ondoka aandaliwe vizuri tu .
Lissu ameeendelea kuwa mtu bora sana wakati woote.CCM wote wamechafuka ni ngumu kuleta mabadiliko ya kweli, Lissu Hana makando kando ya ufisadi so ni rahisi kukemea madudu ya CCM.
Tunamhitaji Mr Clean, Mr Haki, Mr Maendeleo. Tundu Antiphas Lissu.Hivi nyie sijui huwa mnawaza takataka gani Tundu lissu agombee urais ashinde? Huyo chizi akisimama na Samia kihalali kabisa samia anachukua mapema tu.Upinzani mjifunze kusimamisha watu wenye haiba ya uongozi siyo hawa wanaharakati wa ovyo,walivyo na akili matope wanaweza msimamisha hata Fatma karume au mange kimambi au yule mtoto wa sarungi.Hawa achaneni nao kabisa bora hata Peter msigwa ila isiwe mbowe wala heche mtapoteza mapema tu
Nondo za Maria Salungi inaonekana zinakutesa sana.Hivi nyie sijui huwa mnawaza takataka gani Tundu lissu agombee urais ashinde? Huyo chizi akisimama na Samia kihalali kabisa samia anachukua mapema tu.Upinzani mjifunze kusimamisha watu wenye haiba ya uongozi siyo hawa wanaharakati wa ovyo,walivyo na akili matope wanaweza msimamisha hata Fatma karume au mange kimambi au yule mtoto wa sarungi.Hawa achaneni nao kabisa bora hata Peter msigwa ila isiwe mbowe wala heche mtapoteza mapema tu
Ccm is wholy rottenInaonesha wewe huna shida na CCM, ila huwapendi baadhi ya viongozi wa CCM.
Ndio maana unamtaka TUNDU LISSU.
KIFUPI: Sioni mabadiliko ya kuitoa CCM Madarakani kwa sasa hivi( Labda itokee external force, kama ilivyotokea LIBYA).