Kuna haja ya Tundu Lissu kuandaliwa kuiondoa CCM 2025 madarakani?

Uko sahihi
 
Anayewaza vyema kwa sasa ni yule tu anayepanga kukinukisha kwa kudai katiba kwa mtutu! Na back up kidogo ya West!
Nyingine ni porojo.
Tuwatoe kwenye comfort zone kwanza walafi.

(IF YOU WANT PEACE START A WAR)
Kwa Violence wasalinu
 
Usalama w taifa waovu wanataka kuua wTu potential Ili nchi ibaki na wtu wPuuzi
 
Uhuru, haki na maendeleo ya watu. Hii slogan mheshimiwa lissu angeitendea haki. Kana si kina mwenda zake, ndugai na Mahera mheshimiwa lissu angekuwa Magogoni saa hizi.
It was supper those days. Mungu yupo lakini one day Yes.
 
Mr Haki, Mr Maendeleo ni Lissu tu.
 
Anayewaza vyema kwa sasa ni yule tu anayepanga kukinukisha kwa kudai katiba kwa mtutu! Na back up kidogo ya West!
Nyingine ni porojo.
Tuwatoe kwenye comfort zone kwanza walafi.

(IF YOU WANT PEACE START A WAR)
🤣🤣we jamaa
 
Anayewaza vyema kwa sasa ni yule tu anayepanga kukinukisha kwa kudai katiba kwa mtutu! Na back up kidogo ya West!
Nyingine ni porojo.
Tuwatoe kwenye comfort zone kwanza walafi.

(IF YOU WANT PEACE START A WAR)
Kuna kapoint flani lakini umekaongea.
 
Tundu Lissu Hana uwezo wa ku-mobilise watu wa chini.

Ana vijikauli vingi sana vya dharau kama Mimi sina Hela huku anajenga ghorofa Tegeta.

Mabadiliko huletwa na watu wa chini
Duuh yaani kagorofs kake tu kamoja ndio una reference kama sifa ya kukosa urais?

Mkuu acha mawazo ya kimaskini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…